Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Mwamposa and Clear Malissa; The next giant ambassadors of Heaven in Africa after T.B Joshua.

Huyu C,malisa mbona amenyoa kihuni ,je muhuni anaweza kuleta nguvu za Mungu
 
Alikuwa anataka kutembelea upepo
Kila akiskia tukio anakuja eti ye ndo katabiri..
Ndoa imemshinda anamjibu shit mkewe walietoka chini kisa kashindwa kuongeza mtoto..kamfurumisha now anadate na Malaya wa kuokota humo kanisani kwake anamtambulisha eti mpenzi wake...
Endeleeni kwenda
 
TB Joshua alikuwa na maajabu gani hadi kufuka hizo level unazozisema?
Hata nikikwambia sidhani km utaelewa ht nikasema ufuatilie,duh acc zake mara 3 wamezifunga utube.

Unaweza fuatilia kupitia watt wake halafu utapata picha km hao ni watt baba alikuwaje.

Ht hivyo nimesema Africa wako watu wa hizo level yamkini hawajui lkn sio Hawa aliowataja
 
Amen Amen......

wakati wa secretarybird kuja kutoa sadaka ya shukrani
Na nilivyokuwa na tabia ya kupeperusha vinoti huku nikinesa nesa kulielekea boksi la sadaka, ili kuwadhihirishia waumini wenzangu kuwa na mimi sina uhaba wa pesa. Huwa nasahau ule mstari wa bibilia usemao sadaka uitoayo usimwoneshe jirani yako, hata mkono wako wa kushoto usije.
 
usifananishe TB JOSHUA na hawa manabii yule mtu ni level zingine.
 
Na nilivyokuwa na tabia ya kupeperusha vinoti huku nikinesa nesa kulielekea boksi la sadaka, ili kuwadhihirishia waumini wenzangu kuwa na mimi sina uhaba wa pesa. Huwa nasahau ule mstari wa bibilia usemao sadaka uitoayo usimwoneshe jirani yako, hata mkono wako wa kushoto usije.
Hahahaha aseeh uko vizuri mwamba
 
Nkitoka❌
Nikitoka☑️
Hospital❌
Hospitali☑️
Kienyej❌
Kienyeji☑️
Jion❌
Jioni☑️
Hv❌
Hivi☑️
Fln❌
Fulani☑️
Alvyonishika❌
Alivyonishika☑️
Kdg❌
Kidogo☑️
Thn❌
Then☑️
Nkahisi❌
Nikahisi☑️,,Mwanakondoo Jitahidi Usiwe Unamuaibisha Mchungaji Wako.Hongera Kwa Kuondokewa Na Mateso Ya Kansa.
Asante kwa kuhangaika. Uzuri n kwamba umeelewa nlichomaanisha
 
Wewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
Em toa ushuhuda ilikuajee?
 
Back
Top Bottom