TATIANA
JF-Expert Member
- Dec 8, 2010
- 4,690
- 2,433
Sana, Ni muda sana mkuu....Nipo mkuu. Umenipotea sana eti?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sana, Ni muda sana mkuu....Nipo mkuu. Umenipotea sana eti?
Amen...... AmenUmefanya vyema, kule kuna vishawishi vingi vinavyoweza kutoa kwenye reli.
Muwe mnafuatilia miisho ya hawa jamaa!Amani ya Bwana iwe nanyi,
View attachment 3176041
View attachment 3176046
Amini Mungu yupo na kuna kitu ananena leo kupitia mikesha yao miwili, Mwamposa kawe, Clear Malissa Ubungo Riverside.
Nawasilisha.
Alikuwa anataka kutembelea upepoIle siku ya maono kuhusu ghorofa kariakoo alikua banana za kutosha
.....Eloi eloi lasaba Kitani.....Amen...... Amen
Mateso yake bwana Yesu,
Yalikuwa ya tabu nyingi
Lakini bwana wetu Yesu
Aliyavumilia
Alipokuwa msalabani alifadhaika sana akasema ....... Malizia
Kila akiskia tukio anakuja eti ye ndo katabiri..Alikuwa anataka kutembelea upepo
Hata nikikwambia sidhani km utaelewa ht nikasema ufuatilie,duh acc zake mara 3 wamezifunga utube.TB Joshua alikuwa na maajabu gani hadi kufuka hizo level unazozisema?
Amen Amen...........Eloi eloi lasaba Kitani.....
Sijui kama nimepatia
Na nilivyokuwa na tabia ya kupeperusha vinoti huku nikinesa nesa kulielekea boksi la sadaka, ili kuwadhihirishia waumini wenzangu kuwa na mimi sina uhaba wa pesa. Huwa nasahau ule mstari wa bibilia usemao sadaka uitoayo usimwoneshe jirani yako, hata mkono wako wa kushoto usije.
Hahahaha aseeh uko vizuri mwambaNa nilivyokuwa na tabia ya kupeperusha vinoti huku nikinesa nesa kulielekea boksi la sadaka, ili kuwadhihirishia waumini wenzangu kuwa na mimi sina uhaba wa pesa. Huwa nasahau ule mstari wa bibilia usemao sadaka uitoayo usimwoneshe jirani yako, hata mkono wako wa kushoto usije.
AMBASSADORS OF HEAVEN??????!!!!!! What the fuk is this????!!! kuna watu sijui vichwani mwenu huwa mmejaza kinyesi, mwenzenu anajenga mahoteli nyie mmeng'ang'ania mambo ya heaven, shenz taip
Asante kwa kuhangaika. Uzuri n kwamba umeelewa nlichomaanishaNkitoka❌
Nikitoka☑️
Hospital❌
Hospitali☑️
Kienyej❌
Kienyeji☑️
Jion❌
Jioni☑️
Hv❌
Hivi☑️
Fln❌
Fulani☑️
Alvyonishika❌
Alivyonishika☑️
Kdg❌
Kidogo☑️
Thn❌
Then☑️
Nkahisi❌
Nikahisi☑️,,Mwanakondoo Jitahidi Usiwe Unamuaibisha Mchungaji Wako.Hongera Kwa Kuondokewa Na Mateso Ya Kansa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huyo Malisa nahisi anaingiaga kanisani akiwa amestua kidogo maana yupo high muda wote
Hadi anacheua
Em toa ushuhuda ilikuajee?Wewe nae acha bangi zako. Kama nilipona kansa ya koo baada ya kuteseka sana hospital bila nafuu na hatimaye nkapona kwake ntaanzaje kufikiria mahoteli yake. Shenz typ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kumanyoko
Umetumwa kukusanya vichwa humu
Sasa TB Joshua ndo kibaka mkuu.Acheni kumfananisha TB Joshua na hawa vibaka jamani.mnamkosea.
Hao hapo walipo hawapatani.ka hamjui poleni
Nashukuru Mwanakondoo MtiifuAsante kwa kuhangaika. Uzuri n kwamba umeelewa nlichomaanisha
Stay blessedNashukuru Mwanakondoo Mtiifu
Kuhangaika❎
Kuangaika✔️
n❎
ni✔️
Nilichomaanisha✔️
Nlichomaanisha❎