Hapo ni utapeli mwanzo mwenga.Kuna dada alisema kapata mimba kwa uwezo wa roho mtakatifu na hakukutana na mwanaume tokea waachane na mumewe miaka 4 nyuma sababu hakua anazaa..................aposto ikabidi alikatae hilo maana watu walianza kuguna😁😁😁
Akila ban hii kuna ile ya @Mightier inafanya kazi. Huyu jamaa amejipanga haswaaOyaaa wazee njooni huku ....,.tukiwashe genta ale ban Tena..........
Shuhuda za watu kusema sijui umeme kukatika yani neno "umeme kukatika " ni msamiati mpya kabisa niliousikia kwa mara ya kwanza kwa mwamposa ni mpango uliondaliwa kisayansi shuhuda gani alikuja kusema neno hilo bila kupangwaHivi shuhuda Za Kupanga zipo.?
Hapo No Comments..!
Ngoja 'Walokole' Waje..!
Watakwambia Roho Mtakatifu aliingia Kwenye Kinywa cha Aliyezimia....!
Awafoki wanatembeza fire kwa shetaniSikuhizi hadi KKKT na katoriki huko et kuna yale mahubiri ya kufoka foka.Nilienda wiki flani nikakuta hivyo,nikasema wajinga hawa wataniona tena.Acha nibaki na dini yangu ambayo ni matendo na upendo wangu.
Matatizo usiombe yakukute ukiwa huna elimu kuhusu matatizo na jinsi ya kutatuaWanaoendaga kwa hawa wapumbavu nao wapumbavu
Watu wanataka miujiza tu😂😂🤣Wanaoendaga kwa hawa wapumbavu nao wapumbavu
Wewe una uwakika gani kama amempanga...?acha kumchafua mtumishi wa Mungu.Muumini wako Mmoja wa Kike aliyepanda Kutoa Ushuhuda wake kati ya Saa 5 na Robo hadi Saa 5 na dakika 20 leo Kachemsha na Kututhibitishia kuwa ni kweli hawa Watu wa Shuhuda huwa Unawapanga na Kuwaandaa.
Mwamposa huyo Dada mbele yako akiwa anashuhudia alikuambia kuwa alikuwa na Ndugu yake Mgonjwa Hoi Mahututi, hawezi hata Kuongea, hajitambui na Macho yake alikuwa ameyafunga.
Cha Kushangaza huyo Muumini wako wa leo ambaye hukumpangia vyema Script yako ya Kutudanganya Watu ( kama Kawaida ) yako alisema ( alikuambia ) kuwa wakati wakiwa njiani kumpeleka Hospital huyo Mgonjwa wao aliyekuwa Mahututi na Hoi akawaambia wqmlete Kwako Kanisani Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers
Pole sana Mwamposa kwani nilikuona hata Wewe Director wa hii Movie na Muandaaji wa Script yako ya Uwongo na Kutudanganya tusiojitambua Ulishtuka kwa Kukosea Kwake huko na Ukakwazika ila ukatumia Akili Kubwa kwa Kuzuga na kuanza Kuimba Wimbo wako pendwa wa ....Namshukuru Mungu..... Namshukuru Bwana...ambao hata hivyo huwa unauharibu kwa Sauti yako mbaya ya Mkwaruzano.
Nilikuwa sijui kumbe Mgonjwa aliye Hoi, Mahututi, hajitambui na amefumba Macho yake anaweza Kuwaambia waliombeba kuwa wamlete Kanisani Kwako hapo Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers?
Haya Mfukunyuku Mbobezi MINOCYCLINE nimemaliza huku nikiendelea kuwapa Pole Waumini wako.
Kazi kweli kweli hakyanani....!!!!!!
Hili bunge linadharauliwa sanaWajinga waliwao
Huyo ndio alialikwa bungeni kwa wanaojadili waganga [emoji1]
kwahiyo matatizo anayamilza mwamposaMatatizo usiombe yakukute ukiwa huna elimu kuhusu matatizo na jinsi ya kutatua
Nut.
Bunge linajadili ng'ombe kuvalishwa vikuku ni maajabuHili bunge linadharauliwa sana
Ova
Wacha wajinga hawa waadabishwe na huyu tapeli Mwamposa, wakija shituka mwenzao tycoon.