Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

Mwamposa huyu Muumini wako wa leo hukumpanga vizuri hadi Akakuaibisha kwa Uongo hadi Wewe ukashtuka?

Hivi shuhuda Za Kupanga zipo.?

Hapo No Comments..!

Ngoja 'Walokole' Waje..!

Watakwambia Roho Mtakatifu aliingia Kwenye Kinywa cha Aliyezimia....!
Shuhuda za watu kusema sijui umeme kukatika yani neno "umeme kukatika " ni msamiati mpya kabisa niliousikia kwa mara ya kwanza kwa mwamposa ni mpango uliondaliwa kisayansi shuhuda gani alikuja kusema neno hilo bila kupangwa
 
Nenda kidimbwi ambako ndipo mungu wako alipo! Au bar yoyote na kwa mganga wako ambao ndio unaowaabudu !! Usituletee fitina kwa watumishi wa mungu ! Mchawi mkubwa wewe!! Umesimama kwa niaba ya shetani bila kujijua ndio maana unashughulishwa na mambo madogo madogo ukijua unaweza kuidhoofisha kazi ya mungu kupitia Mikono Yako michafu 'bila Shaka una dini Yako unayoiamini tatueni matatizo ya watu kuliko kukosoa watumishi wa mungu wanaojitahidi kwa kadiri ya muda walionao kuombea watu pepo mkubwa wewe ufe!!
 
Muumini wako Mmoja wa Kike aliyepanda Kutoa Ushuhuda wake kati ya Saa 5 na Robo hadi Saa 5 na dakika 20 leo Kachemsha na Kututhibitishia kuwa ni kweli hawa Watu wa Shuhuda huwa Unawapanga na Kuwaandaa.

Mwamposa huyo Dada mbele yako akiwa anashuhudia alikuambia kuwa alikuwa na Ndugu yake Mgonjwa Hoi Mahututi, hawezi hata Kuongea, hajitambui na Macho yake alikuwa ameyafunga.

Cha Kushangaza huyo Muumini wako wa leo ambaye hukumpangia vyema Script yako ya Kutudanganya Watu ( kama Kawaida ) yako alisema ( alikuambia ) kuwa wakati wakiwa njiani kumpeleka Hospital huyo Mgonjwa wao aliyekuwa Mahututi na Hoi akawaambia wqmlete Kwako Kanisani Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers

Pole sana Mwamposa kwani nilikuona hata Wewe Director wa hii Movie na Muandaaji wa Script yako ya Uwongo na Kutudanganya tusiojitambua Ulishtuka kwa Kukosea Kwake huko na Ukakwazika ila ukatumia Akili Kubwa kwa Kuzuga na kuanza Kuimba Wimbo wako pendwa wa ....Namshukuru Mungu..... Namshukuru Bwana...ambao hata hivyo huwa unauharibu kwa Sauti yako mbaya ya Mkwaruzano.

Nilikuwa sijui kumbe Mgonjwa aliye Hoi, Mahututi, hajitambui na amefumba Macho yake anaweza Kuwaambia waliombeba kuwa wamlete Kanisani Kwako hapo Arise and Shine Kawe Tanganyika Packers?

Haya Mfukunyuku Mbobezi MINOCYCLINE nimemaliza huku nikiendelea kuwapa Pole Waumini wako.

Kazi kweli kweli hakyanani....!!!!!!
Wewe una uwakika gani kama amempanga...?acha kumchafua mtumishi wa Mungu.
 
Hili bunge linadharauliwa sana

Ova
Bunge linajadili ng'ombe kuvalishwa vikuku ni maajabu

Kwani huwa hawaangalii mabunge duniani wanachojadili jamani

Ni kweli litadharaulika kwa baadhi ya michango isiyokuwa na tija
 
Back
Top Bottom