Mwamposa jitahidi uwe unamaliza ibada zako saa 12 kamili, unawatesa waumini wako na usafiri mgumu wa kurejea makwao

Mwamposa jitahidi uwe unamaliza ibada zako saa 12 kamili, unawatesa waumini wako na usafiri mgumu wa kurejea makwao

Sina ID nyingine zaidi ya hii ya MINOCYCLINE hapa na kama nawe unaamini kuwa Mimi ni huyo Basha wenu mnayempenda na Kumshobokea Kutwa badi nawe utakuwa ni damn Fool kabisa sawa?

Hili neno lako la Copetant uliloliandika hapa lipo katika Lugha yenyewe ya Waingereza? Kwani ungeandika tu kwa Kiswahili rusingejua kuwa nawe ulikimbia Umande na Umesoma?

Pumbavu.
Pumbavu ni wewe usie kuwa na uhakika na unachokifanyanya ,Unajifanya Una AKIRI kumbe ni zero +0,think propery kuna watu unawajadili alafu siyo leval zako,wenzako wanakata kufanya final decision wewe hata namba ya mtendaji huna,umekalilishwa ujimga WA chuo ulichohitimu
 
Pumbavu ni wewe usie kuwa na uhakika na unachokifanyanya ,Unajifanya Una AKIRI kumbe ni zero +0,think propery kuna watu unawajadili alafu siyo leval zako,wenzako wanakata kufanya final decision wewe hata namba ya mtendaji huna,umekalilishwa ujimga WA chuo ulichohitimu
Hivi ni AKIRI au ni AKILI?

Pumbavu.
 
Na ndipo hapo sasa Sisi Mafisi tunapowabandua mno na tutawabandua hadi Mapepo yao yawatoke.

Hahah, angalia tu usijebandua dada mwenye maruhani akakurarua dushe...

Kuna jamaa ashawahi ruka na mchuchu kiti cha jini nani sijui, kashamsaula kyupi mchuchu, mtiti ulianzia pale jamaa alipotaka tu 'kuteka maji kisimani'...

Alipigwa shoti kama ya electric fence, akazima hapo hapo...
 
Wanajitesa wenyewe Kwan wanalazimishwa kubaki
 
Ninavyoandika hivi kuna Waumini wako (Mabinti na Wamama) wanarandaranda tu Kawe Stendi, Maringo na Ukwamani wakikosa Usafiri hivyo Fisi tuliopo Leo tumepata Nyama za Bure za Kula kwani tutawahifadhi Makwetu na Maghettoni na Kesho watakupa Ushuhuda wa Kubeba Mimba kwani Wengine tuna Mbegu Kali tukikojoa tu hapo hapo zinashika.

Ukiambiwa umalize mapema Ibada zako ili uwaokoe Waumini wako na shida ya Usafiri hutaki na unadai kuwa utamaliza Ibada muda wowote kulingana na vile Roho Mtakafifu anavyokuongoza.

Mwamposa unashindwa nini tu Kuzungumza na Wamiliki wa Daladala na muweke Utaratibu wa kuandaa Mabasi ya Kutosha hata kama Nauli ikiwa ni Tsh 1,000/= tu ila yawe ni mengi na yapaki kwa ndani Tanganyika Packers na yawe yanabeba vizuri na Kiusalama zaidi Waumini wako uliowaaminisha hata visivyowezekanika?

Hivi Mwamposa unajua kuwa kwa Kuchelewa Kwako Kumaliza Ibada zako kumepelekea Wake na Wachumba za Watu Kupigwa na hata Kuachika kutokana tu na Kuchelewa kurejea Makwao?

Achilia mbali kulalwa hovyo na Kuporwa (Kuibiwa) sana kutokana na Kukosa Usafiri, Nauli ila wengine (tena wengi tu) huwa wanakuwa na Njaa sana wakitoka Ibadani Kwako utadhani Maombi yako huwa yanamaliza Viporo vyao vyote vilivyomo Matumboni mwao kiasi kwamba hapa Mafisi ndipo huwa tunapata Advantage ya Kuwalala Usiku Kucha na Asubuhi tunawaaga kuwa Waende Makwao kwa Amani ya Shetani kutokana na Ujuha na Uzembe Wao.

Tafuta upesi sana Suluhisho la Adha ya Usafiri kwa Waumini wako ila jitahidi mno uwe unamaliza Ibada zako Saa 12 Kamili ili basi angalau hadi kufikia Saa 2 au Saa 3 wote wawe wameshafika Makwao.

Nitashukuru sana ukilifanyia Kazi hili.
Duh...bro kabisa unajiita fisi na you are proud [emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Nimekula mabinti wawili kizembe tu juzi hpo kawe wam wemekosa usafiri
Safi sana jana Jumapili nilikula Mmoja, Dakika 30 zilizopita ( Leo ) nimetoka Kumla mwingine na Kesho Saa 7 Mchana naenda Kumla mwingine Kwake Tabata Segerea kwani ana Shida ya Mimba na nimemdanganya nina Timu ya Watoto niliozaa hivyo amesema nitakuwa na Mbegu ( Shahawa ) Kali ambapo Kesho naenda Kumkojolea kisawasawa.
 
ANGALIZO

UKIWA NA MKE AU MCHUMBA ANA SALI HUKO.
POLE NYINGI SANA KWAKO.
 
Acha wakae hata masaa 24 hawa watu wakamuliwe hadi senti za mwisho walizonazo, ikiwezekana waende majumbani wakuze vitu warudi kuendelea kumkabidhi mwamposa ili waombewe! Kweli wajinga hawatakaa waishe hadi mwisho wa dunia! 🤣
 
Mwamposa anawakosesha usingiz... Uzuri ukiona mwanaume anamchukia mwanaume mwenzake basi ujue mama yake, mke wake, baba yake au dada zake wanampenda sana Mwamposa...
 
Back
Top Bottom