Tetesi: Mwamposa mbioni kuinunua E-FM, TV-E

Ni kweli aisee niliwahi kukaa nawafanyakazi wa RFA,Star TV na Kiss FM kipindi za moto.Ila walikuwa na njaa kali sana ila majina makubwaaa.
Hatari sana
 
Reactions: EEX
Babu una mengi jamani? Hadi kuoa kabisa?
Loh!

Siwezi kukuacha peke yako na mkweo, huchelei kumpa mbinu za kijangili.
Yalikuwa ni mapito tu Mjukuu, na bahati mbaya ndiyo kipindi nilipokea pension yangu ya Mkupuo 😜

Huyo Mkwe siwezi kumpa mbinu za kufanya aongeze Mke, zaidi zaidi nitampa zitakazowafanya mdumu pamoja hadi mtakapofikia umri wetu Babu zenu 🤗
 
Acha Injili iendelee
 
Na ushindani unazidi kua mkubwa sana, crown, wasafi, bongo fm na nyinginezo zote zina maudhui sawa na hao EFM.

Competition imekua kali upande huo, ukilegea umeliwa na watangazaji maarufu watakukimbia.
 
Na ushindani unazidi kua mkubwa sana, crown, wasafi, bongo fm na nyinginezo zote zina maudhui sawa na hao EFM.

Competition imekua kali upande huo, ukilegea umeliwa na watangazaji maarufu watakukimbia.
Leo Vishu umeacha utata, umetema facts.
Safi.
 
Amen, pole kwa mapito Babu.
 
Oooyeeeah ni Niffer tena...

Na chanzo chetu ni kile kile kama TBC ukweli na uhakika n swala la muda let's wait and see...
Chanzo makini, hakijawahi kuyumba!
 
UKiona mtu anakwenda kwa Mwamposa ujue kuwa anachangamoto zake,wewe ambae hauna changamoto yoyote ya kiafya wala kiuchumi utawaona wanaokwenda kuwa niwajinga na MUNGU akusimamie mkuu kwa hilo yasikukute!. By theway Nimeipenda T shirt ya mtume Mwamposa.
 
Majizzo ameuza unga kakamata mahela akaamua ayatakatishe kwenye media business.
Sema alitumia akili kutojifanya yeye sio mmilike peke yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…