MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
-
- #21
Dawa zake sasa zinaanza kuisha Nguvu.Mbona anajishitukia shitukia na kujihoji ye'mwenyewe, kulikoni?
Atatufanya nasi tuliokuwa hatumuwazii lolote tuanze kumchunguza juu ya unabii wake huo.
Do you think he's that Intelligent to do so?Hakuna kitu kina nguvu ya kujibu hoja kama kukaa kimya. Angekaa kimya tu!!
Chifu hata mimi ningekuwa na kipaji cha kucheza cheza na vifubgu vya biblia ningekiwa kama mwamposa. Ujue ujinga wa watanzania wengi pia ni fursa kwa wajanja wanasiasa wanaishi kwa ujinga wa watz, waganga wa kienyeji wanaishi kwa ujinga wa watz, manabii na mitume vivo hivyo. Ujinga wa wengi ni fursa kwao. Dont attack mwamposa personally, dili kwanza na ujinga wa wafuasi wa mwamposaMwamposa tapeli TU,
1. Kwañn viwete anaoponyesha kwny mikutano yake wote wageni eneo la mkutano, hamna hata mwenyeji mmoja[emoji2]
2. Viwete wanaoponyeshwa ulemavu,
wote magongo yao Huwa Ni mapya kabisa brand new. Huwa wanapata wapi muda wa kuyaosha yatakate yawe mapya ndo waende kwny mkutano wake[emoji1787]
3. Sijawahi kuskia mwamposa akamwangusha pepo tajiri yoyote yule,
Kwake waanguka mapepo wote Ni maskini TU[emoji38]
Anakwambia, leta mchanga uombewe kwajili ya ulinzi wa familia yako yeye analindwa na mabaunsa hahahaha
Hapa bado hatujaanza Kumjadili Yeye na Dada Mrembo mwenye Massage Parlour yenye Jina Maarufu na la mwisho la Timu Mbili Kubwa Hasimu za nchini Italia moja wapo Andrea Pirlo aliichezea na nyingine Ibrahimovic aliichezea.Mwamposa tapeli TU,
1. Kwañn viwete anaoponyesha kwny mikutano yake wote wageni eneo la mkutano, hamna hata mwenyeji mmoja[emoji2]
2. Viwete wanaoponyeshwa ulemavu,
wote magongo yao Huwa Ni mapya kabisa brand new. Huwa wanapata wapi muda wa kuyaosha yatakate yawe mapya ndo waende kwny mkutano wake[emoji1787]
3. Sijawahi kuskia mwamposa akamwangusha pepo tajiri yoyote yule,
Kwake waanguka mapepo wote Ni maskini TU[emoji38]
Haa HaaHawa manabii feki siwatofautishi Ni kalyinda au deci, wanawatumia maskini na waliokosa matumaini Kama mitaji yao
Sasa yeye kama anajijua anahofu gani🤔"Juzi nilikuwa Bungeni na tulikuwa Watumishi wengi tu ila nashangaa Picha zangu tu ndizo zinasambazwa kwa Mabaya. Nikibadilisha Viatu hapa Madhabahuni, nikijifuta Jasho na Kitambaa na Nikivaa Cheni naambiwa Mimi ni Freemasons kwanini?" Amehoji Mtume Wenu Mwamposa.
Chanzo: Tv Channel yake muda huu
Kazi ipo.....!!!!!!
Duu?!! Kwamba utoe hadi zilizopo bank??Wanasadaka yao inaitwa sadaka ya kujimaliza yaani utoe hadi uishiwe wakati unaambiwa jiwekee hazina itakufaa maishani
Wa K4 Security.Anakwambia, leta mchanga uombewe kwajili ya ulinzi wa familia yako yeye analindwa na mabaunsa hahahaha
Ndio ze bulldozer mwenyewe au🤔hoja za kitoto mnoo.
ndio.Ndio ze bulldozer mwenyewe au🤔
Naunga mkono hojaMambo ya watumishi wa Mungu iwe masheikh au makaasisi waachie wenyewe maana wanajua nani wanamtumikia
Cha muhimu afanye kazi ya utumishi wa Mungu,kama anawahubiria watu neno ili waache dhambi sioni shida,hilo la kuvaa cheni,kuwa na gari za kifahari n.k. ni kaliba ya mtu binafsi,ila kama anawahubiria watu habari za Mungu mwingine,Yesu mwingine au waache kutenda mema watende mabaya hapo atakuwa hana maana katika utumishi wake...
Leo huna ngurumo la upako,,🤔ndio.
Huyu jamaa hovyo sana, anajua kudanganya watu dijui anatumia uchawi gani maana amewateka kweliAache kujipa promo za kijinga
Ni zaidi ya freemason, ni satanic agentSi bora angekuwa freemason...