Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

Mwamposa: Mimi siyo Freemasons na sijui kwanini naandamwa na kusingiziwa vingi

Jumapili iliyopita nilikuwa naangalia ibada ya kanisa la WRM lipo kivule matembele ya pili. Hili kanisa lilikuwa limefungwa takribani miezi miwili na serikali. Sasa wiki iliyopita ndo likawa limefunguliwa. Yule mchingaji wake akawa anaelezea chanzo cha kufungiwa hilo kanisa. Aisee kumbe ni fitna kutoka kwa makanisa menzake hayo hayo. Siyo siri nilijisikia vibaya nikaona haya makanisa yote ni utapeli na biashara tu. Watu wa Mungu naowaamini ukiacha dhehebu langu la RC ni mwakasege na mchungaji FJ Katunzi(huyu mchungaji ntamheshimu mpaka kesho kwa sababu aliniponya pumu mwaka 2004)
Mnh. mchungaji alikuponya pumu...?
Kwa hiyo Sio Mungu tena. Haya....
 
Chifu hata mimi ningekuwa na kipaji cha kucheza cheza na vifubgu vya biblia ningekiwa kama mwamposa. Ujue ujinga wa watanzania wengi pia ni fursa kwa wajanja wanasiasa wanaishi kwa ujinga wa watz, waganga wa kienyeji wanaishi kwa ujinga wa watz, manabii na mitume vivo hivyo. Ujinga wa wengi ni fursa kwao. Dont attack mwamposa personally, dili kwanza na ujinga wa wafuasi wa mwamposa
Ha ha ha...mi mwnyw Huwa nawaza TU,
Siku maisha yakinipiga naenda Nigeria nachukua uchawi, naanzisha kanisa[emoji4]
 
Hapa bado hatujaanza Kumjadili Yeye na Dada Mrembo mwenye Massage Parlour yenye Jina Maarufu na la mwisho la Timu Mbili Kubwa Hasimu za nchini Italia moja wapo Andrea Pirlo aliichezea na nyingine Ibrahimovic aliichezea.
Milan[emoji6]
 
Wivu kitu kibaya mimi kwa sababu nafanya minyanduo sina uhalali wa kumkosoa mwamposa.. Mwamposa ni nabii na atabaki kuwa nabii na divyo
 
Mwamposa tapeli TU,
1. Kwañn viwete anaoponyesha kwny mikutano yake wote wageni eneo la mkutano, hamna hata mwenyeji mmoja[emoji2]
2. Viwete wanaoponyeshwa ulemavu,
wote magongo yao Huwa Ni mapya kabisa brand new. Huwa wanapata wapi muda wa kuyaosha yatakate yawe mapya ndo waende kwny mkutano wake[emoji1787]

3. Sijawahi kuskia mwamposa akamwangusha pepo tajiri yoyote yule,
Kwake waanguka mapepo wote Ni maskini TU[emoji38]
Great thinker wewe!
 
Chifu hata mimi ningekuwa na kipaji cha kucheza cheza na vifubgu vya biblia ningekiwa kama mwamposa. Ujue ujinga wa watanzania wengi pia ni fursa kwa wajanja wanasiasa wanaishi kwa ujinga wa watz, waganga wa kienyeji wanaishi kwa ujinga wa watz, manabii na mitume vivo hivyo. Ujinga wa wengi ni fursa kwao. Dont attack mwamposa personally, dili kwanza na ujinga wa wafuasi wa mwamposa
Umeongea ukweli, ukipata fursa tu ya kucheza na Akili za wa Tz mpaka wanakuja kukustukia ushatoboa Life kitambo. Ukiwa na uwezo na confidence ya kuongea mbele za watu unapata waumini kibao wengi wao wanawake.
 
mwamposa saah jina la kikwao limekua maarufu sana
 
Back
Top Bottom