KOLOKOLONI
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 2,476
- 2,371
Mbumbumbu kazinUtter Nonsense from an authentic Nut.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbumbumbu kazinUtter Nonsense from an authentic Nut.
Sisteem inawalinda Wachungaji kama hawa maana wanatoa mahubiri ya imani yanayowapumbaza waumini hata kushindwa kuandamana kudai haki zao za msingi kwa serikali dhalimu na kuishia kumwachia Mungu.Tena akiwa na Matamasha yake Makubwa ( hasa ya Mkesha ) huwa anawaambia Watu wa NHC Wanaoendelea na Ujenzi wa Nyumba za Samia Housing Scheme kuwa anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia atajengea.
Haya Mamlaka Mwamposa anayatoa wapi? Na kwanini au kwa Faida ipi? Je, Wengine nao wakiamua kufanya kama Yeye wataachwq au Watazuiwa?
Tena akiwa na Matamasha yake Makubwa ( hasa ya Mkesha ) huwa anawaambia Watu wa NHC Wanaoendelea na Ujenzi wa Nyumba za Samia Housing Scheme kuwa anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia atajengea.
Haya Mamlaka Mwamposa anayatoa wapi? Na kwanini au kwa Faida ipi? Je, Wengine nao wakiamua kufanya kama Yeye wataachwq au Watazuiwa?
Sasa kama tunampenda na kumpa Kiburi chote na Jeuri zote mbele ya Mamlaka na Watanzania kwanini hatumtumii Kuwapumbaza Watanzania waikubali DP World, atusaidie kuacha Kunywa Whisky, tutunze Ndoa zetu na tusiwe Wanafiki na Wapumbavu?
Hivi huwa tunapima ni Uharibifu kiasi gani hasa wa Eneo husika la NHC na wa Mazingira ya Kawe ( hasa Tanganyika Packers ) huwa yanatokea baada ya haya Matamasha yake?
Najua kuna Wapumbavu watakuja hapa na kusema kuwa GENTAMIYCINE nina Chuki Binafsi na niko Obsessed na Mwamposa ila kwa jinsi huyu Mtu hivi sasa anakuwa Treated na Mamlaka ( Serikali ) kama Mungu wa Pili baada ya MUNGU MKUU wenye Akili tunahisi huenda akawa anatumika hata kwa Mambo mengine Hasi kwa Jamii na Taifa kupitia Imani za Watu.
Kwahiyo kuwaombeeni Kwake mpone Virusi visivyotibika hata na WHO huku akija huko katika Mahekalu yenu Makubwa ya nchini na Kuwadanganyeni na akifaidika Kimaisha na Upumbavu na Ushamba wenu ndiyo mnampa Mamlaka yote hata katika Masuala ya Kikanuni na Kiutaratibu?
Kama Mzalendo wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE nakereka na Mtu Mmoja kuvunja taratibu zilizoko za Kimamlaka kwakuwa tu ana Fedha, Analindwa na Anaogopwa kwa Maombi yake ya Kimazingaombwe na Dawa za kutoka Mozambique na Congo DR.
Siku zingine mruhusuni aje afanye Matamasha yake Magogoni na Chamwino ili awaombeeni na Matatizo yenu makubwa mliyonayo na yenye Historia ya kuanza mwaka 1981 yakitokea nchini Uganda kwa Muasisi Mvunja Ukimya Marehemu Philemon Lutaaya.
Sasa kama wanapona shida iko wapi?Zamani alikuwa anayachota hayo Mazingaombwe yake Mji wa Kanu nchini Nigeria ila kwa sasa anachanganya Dawa za Mozambique na Congo DR na chache anatoa Kijijini Kwao kwa Mmoja wa Bibi zake.
Nawaonea mno Huruma Wanaomuamini.
Mpinzani wa vuka na chakoTena akiwa na Matamasha yake Makubwa ( hasa ya Mkesha ) huwa anawaambia Watu wa NHC Wanaoendelea na Ujenzi wa Nyumba za Samia Housing Scheme kuwa anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia atajengea.
Haya Mamlaka Mwamposa anayatoa wapi? Na kwanini au kwa Faida ipi? Je, Wengine nao wakiamua kufanya kama Yeye wataachwq au Watazuiwa?
Sasa kama tunampenda na kumpa Kiburi chote na Jeuri zote mbele ya Mamlaka na Watanzania kwanini hatumtumii Kuwapumbaza Watanzania waikubali DP World, atusaidie kuacha Kunywa Whisky, tutunze Ndoa zetu na tusiwe Wanafiki na Wapumbavu?
Hivi huwa tunapima ni Uharibifu kiasi gani hasa wa Eneo husika la NHC na wa Mazingira ya Kawe ( hasa Tanganyika Packers ) huwa yanatokea baada ya haya Matamasha yake?
Najua kuna Wapumbavu watakuja hapa na kusema kuwa GENTAMIYCINE nina Chuki Binafsi na niko Obsessed na Mwamposa ila kwa jinsi huyu Mtu hivi sasa anakuwa Treated na Mamlaka ( Serikali ) kama Mungu wa Pili baada ya MUNGU MKUU wenye Akili tunahisi huenda akawa anatumika hata kwa Mambo mengine Hasi kwa Jamii na Taifa kupitia Imani za Watu.
Kwahiyo kuwaombeeni Kwake mpone Virusi visivyotibika hata na WHO huku akija huko katika Mahekalu yenu Makubwa ya nchini na Kuwadanganyeni na akifaidika Kimaisha na Upumbavu na Ushamba wenu ndiyo mnampa Mamlaka yote hata katika Masuala ya Kikanuni na Kiutaratibu?
Kama Mzalendo wa Taifa hili la Tanzania GENTAMIYCINE nakereka na Mtu Mmoja kuvunja taratibu zilizoko za Kimamlaka kwakuwa tu ana Fedha, Analindwa na Anaogopwa kwa Maombi yake ya Kimazingaombwe na Dawa za kutoka Mozambique na Congo DR.
Siku zingine mruhusuni aje afanye Matamasha yake Magogoni na Chamwino ili awaombeeni na Matatizo yenu makubwa mliyonayo na yenye Historia ya kuanza mwaka 1981 yakitokea nchini Uganda kwa Muasisi Mvunja Ukimya Marehemu Philemon Lutaaya.
Achana nae kiroja hicho. 🚮🚮🚮taahiraaaa anakutoaaa povuuu tafutaa helaaaaaaa kijanaaaaa
Yule mwamba si wa kawaida escort yake utafikiri Madam president kabisa maana miving'ora mipolisi imekaa mkao wa tayari tayari barabara Trafiki wanavuta kwa mbwembwe halafu anakuja kamtu toka Ukwamani anapiga kelele aaaahaaaaa.Mwsmbie atafute helasadakaaaaaa zinakutesaaaaaaa gari 5 na kingoraaaaa hahaaaaaa tafutaaaa helaaaa
Mtoa mada hakai ukwamani mkuu, anakaa bunda vijijini huko wala dar hajawahi kutoka..hiyo story ya mwamposa amefanya kusimuliwa tu wala hakuna kitu kama.hichoYule mwamba si wa kawaida escort yake utafikiri Madam president kabisa maana miving'ora mipolisi imekaa mkao wa tayari tayari barabara Trafiki wanavuta kwa mbwembwe halafu anakuja kamtu toka Ukwamani anapiga kelele aaaahaaaaa.Mwsmbie atafute hela
Ungepiga picha akichota utuletee. Hoja kavu kavu haina miguuZamani alikuwa anayachota hayo Mazingaombwe yake Mji wa Kanu nchini Nigeria ila kwa sasa anachanganya Dawa za Mozambique na Congo DR na chache anatoa Kijijini Kwao kwa Mmoja wa Bibi zake.
Nawaonea mno Huruma Wanaomuamini.
popoma ni popoma tu. Hivi kuna malipo ukianzisha nyuzi nyingi hapa Jf? mana huyu jamaa anachukulia ligi. Ukichek jana na leo kafungua nyuzi zaidi ya 2Leo sitokuita POPOMA umeongea point sanaa jambo ambalo linanikera sana mkuu GENTAMYCINE
Sikuizi anatumia mb za kibaba ungemkuta enzi za ubora wake kila jukwaa nyuzi 3 dailypopoma ni popoma tu. Hivi kuna malipo ukianzisha nyuzi nyingi hapa Jf? mana huyu jamaa anachukulia ligi. Ukichek jana na leo kafungua nyuzi zaidi ya 2
umechambua vyema kabisaPole sana Mbumbumbu wa karne hii na ambaye huwezi thibitisha juu ya mambo ya Imani na unaanza kutunga stori zako. Hivi huwa Uoni zile Imani zingine zinafunga kabisa barabara na kuweka matent barabarani mpaka Wiki njoo hapo Ilala,Magomeni Tandika mbona hujawahi jadili jambo hilo au Huyu Mchungaji amekukera kwa Watu kufurika kwake .Kama unajua zilipo dawa anazogawa basi usipate tabu najua hata wewe pesa unazihitaji kachukue hizo dawa anzisha ibada nao watakuja .
Mtu mwenye wafuasi wengi vile wenye elimu na nguvu za kiuchumi tena wengine wenye Mamlaka makubwa ndani na nje ya hii nchi wanakwenda kumsikiliza yeye jua wazi pale kuna jambo si kawaida ukipata fursa nenda kachunguze vizuri ili usiropoke na kuonekana huna akili.
Ebu fikiri kampuni ya Abood bus service inapeleka magari 10+ yanapark pale kutokea huko mikoani inasubiria abiria iliowaleta kutokea mikoani ,Hotel za maeneo ya Kawe,Mbezi,Tegeta,Kunduchi zimejaa waamini wake ili wahudhurie ibada,Tax,Boda,Bajaji,Daladala wanapata fursa ya kupata abiria,Television karibu tano zinapata Matangazo yake,Wafanyabiashara ndogondogo wanapata wateja,Watu walioajiriwa kwake ni wengi.Yaani wewe Mbumbumbu badala ya kuona utajiri na neema ya fursa anazoleta huyo Mchungaji wewe unaona kero tu.Roho ya kimaskini inakutafuna sana.Huu muda nilitegemea kuwa unazo Bajaji pale zinapiga hela,Unacho kigest pale Watu wanalala ,Unao mgahawa pale Watu wanakula, Eti umekuja hapa inalalamika Uzio ambao unajengeka Fasta tu wakati huo serikali imeshakusanya kodi kwenye Hotel,vyombo vya usafiri, na imesaidiwa kupunguza tatizo la ajira. Amka toka shimoni.
Ukiona Mtu anawafuasi wengi Mtazame kwa jicho la tatu Mtu wa kawaida hawezi kuwa na Ushawishi vile.
ila wajasiarliamali wa hapo wamefanya biashara bila shakaLeo si wakazi wa kawe maeneo ya picolo hatujalala kabsa ule mkesha na kelele zake ilikua siyo mchezo kelele mwanzo mwisho
anaomba abomoe Kuta na akimaliza anawaambia atajengea.
Serikali ikikuuliza Kama ulishawah kupima au kuuona uharibifu utakuwa na la kuwajibu ?Hivi huwa tunapima ni Uharibifu kiasi gani hasa wa Eneo husika la NHC na wa Mazingira ya Kawe ( hasa Tanganyika Packers ) huwa yanatokea baada ya haya Matamasha yake