CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 11,635
- 21,347
Mwamposa ni mpigaji tu kama walivyo maccm wote.Tapeli mkubwa na freemason huyu. Na ni mkwepa kodi ndiyo maana anajigonga kwa CCM
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwamposa ni mpigaji tu kama walivyo maccm wote.Tapeli mkubwa na freemason huyu. Na ni mkwepa kodi ndiyo maana anajigonga kwa CCM
Kweli kabisa mkuu. Hawa misukule wanapaswa kufutushwa hapa nchini kama alivyofurushwa kiboko ya wachawi.Huu msukule unafaidi sana kuwa na tanzania ya kijinga acha apige kampeni! Hana upako wowote! ni Shetani tu huyu! Wachungaji wa kweli wa kiroho muombeeni huyu majinuni ajulikane mission yake hapa tanzania!
Kama ndivyo ni Bora mfumo wa vyama vingi ufutwe tu,kwa kuwa na waislamu na wao wakisema kura wapewe CUF au ACT sijui itakuwaje.Hivi KiTime na Shoo huwa wanafanyaga nini ?acheni kumwonea Mwamposya jamani
yaani waumini wake wanavyomsikiliza na kufuata anacho sema CHADEMA wahesabu maumivu tu sasa hakuna muumini wa mwamposa ataenda kuipigia chadema yaani hilo siyo ombi ni kama sheria sasa ukiwa kwa mwamposa unaipigia ccm chadema wachore chini wabandue ndiyo kura zaoKada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Sisiemu Kwan wametoa swadaka Kwa ajili yake ?Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.
Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.
MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.
Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.
Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
wanasemaga siasa na dini haviwezi uwa tofauti sasa ndiyo shida inapoanzia hapa sasaKama ndivyo ni Bora mfumo wa vyama vingi ufutwe tu,kwa kuwa na waislamu na wao wakisema kura wapewe CUF au ACT sijui itakuwaje.
Chokochoko za Dini zikianza kuingilia Siasa mwisho uwa sio mzuri.
mambo ya kishetani yapo chadema siyo ccmNimemshangaa sana huyu jamaa jinsi anavyowashikia akili waumini wake na kumhusisha Mungu na mambo ya kishetani (CCM). Huu uthubutu kaupata wapi? Analindwa na nani hadi awapotoshe watu hadharani kiasi hiki?
Wala hana kosa bali ametoa ushawishi, na ni uamuzi wao kwenye sanduku la kura bado itabaki siri yao.Kafanya kosa kubwa sana huyu Nabii, kura ni siri ya mtu na wala sio agizo kutoka kwa mtu mwingine.... Askofu ameharibu kila kitu, asipoangalia ataligawa hata kanisa lake.
Wanaangamizwaati na yeye ana watu wake, hao aliowakusanya wamletee pesa ajenge hoteli. kweli watu wanaaangamia kwa kukosa maarifa.
Anataka kuwamiliki kama wafugaji wanavyomiliki wanyama. Hao waumini ni misukule yake; ngoja airndeshe atakavyo.Watu wako kivipi,
Watu ni wa Mungu, ndiye aliyewaumba, wapo kwako Ili uwasaidie kumjua Mungu tu.
Watu Waache wachague viongozi wawatakao.
Ilitosha kuwahamasisha kushiriki mchakato wa uchaguzi,Anataka kuwamiliki kama wafugaji wanavyomiliki wanyama. Hao waumini ni misukule yake; ngoja airndeshe atakavyo.
Ni misukule yake ndiyo maana anawafinyanga atakavyoWatu wako kivipi,
Watu ni wa Mungu, ndiye aliyewaumba, wapo kwako Ili uwasaidie kumjua Mungu tu.
Watu Waache wachague viongozi wawatakao.
Ni kweli hawajielewi ndiyo maana wanazidi kumtajirisha kwa vipato vyao vidogo.Ilitosha kuwahamasisha kushiriki mchakato wa uchaguzi,
Lakini kuwaelekeza Hadi chama Gani wakipigie kura hiyo ni kuwafanya waumini kama vile hawajielewi.