LGE2024 Mwamposa: Watu wangu nenda mjiandikishe mkapigie kura CCM

LGE2024 Mwamposa: Watu wangu nenda mjiandikishe mkapigie kura CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Huu msukule unafaidi sana kuwa na tanzania ya kijinga acha apige kampeni! Hana upako wowote! ni Shetani tu huyu! Wachungaji wa kweli wa kiroho muombeeni huyu majinuni ajulikane mission yake hapa tanzania!
Kweli kabisa mkuu. Hawa misukule wanapaswa kufutushwa hapa nchini kama alivyofurushwa kiboko ya wachawi.
 
Hivi KiTime na Shoo huwa wanafanyaga nini ?acheni kumwonea Mwamposya jamani
Kama ndivyo ni Bora mfumo wa vyama vingi ufutwe tu,kwa kuwa na waislamu na wao wakisema kura wapewe CUF au ACT sijui itakuwaje.
Chokochoko za Dini zikianza kuingilia Siasa mwisho uwa sio mzuri.
 
Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.

Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.

MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.

Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.

Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
yaani waumini wake wanavyomsikiliza na kufuata anacho sema CHADEMA wahesabu maumivu tu sasa hakuna muumini wa mwamposa ataenda kuipigia chadema yaani hilo siyo ombi ni kama sheria sasa ukiwa kwa mwamposa unaipigia ccm chadema wachore chini wabandue ndiyo kura zao
 
Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.

Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.

MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.

Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.

Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Sisiemu Kwan wametoa swadaka Kwa ajili yake ?
 
Kama ndivyo ni Bora mfumo wa vyama vingi ufutwe tu,kwa kuwa na waislamu na wao wakisema kura wapewe CUF au ACT sijui itakuwaje.
Chokochoko za Dini zikianza kuingilia Siasa mwisho uwa sio mzuri.
wanasemaga siasa na dini haviwezi uwa tofauti sasa ndiyo shida inapoanzia hapa sasa
 
Nimemshangaa sana huyu jamaa jinsi anavyowashikia akili waumini wake na kumhusisha Mungu na mambo ya kishetani (CCM). Huu uthubutu kaupata wapi? Analindwa na nani hadi awapotoshe watu hadharani kiasi hiki?
mambo ya kishetani yapo chadema siyo ccm
 
Kafanya kosa kubwa sana huyu Nabii, kura ni siri ya mtu na wala sio agizo kutoka kwa mtu mwingine.... Askofu ameharibu kila kitu, asipoangalia ataligawa hata kanisa lake.
Wala hana kosa bali ametoa ushawishi, na ni uamuzi wao kwenye sanduku la kura bado itabaki siri yao.
 
Watu wako kivipi,

Watu ni wa Mungu, ndiye aliyewaumba, wapo kwako Ili uwasaidie kumjua Mungu tu.

Watu Waache wachague viongozi wawatakao.
 
Watu wako kivipi,

Watu ni wa Mungu, ndiye aliyewaumba, wapo kwako Ili uwasaidie kumjua Mungu tu.

Watu Waache wachague viongozi wawatakao.
Anataka kuwamiliki kama wafugaji wanavyomiliki wanyama. Hao waumini ni misukule yake; ngoja airndeshe atakavyo.
 
Anataka kuwamiliki kama wafugaji wanavyomiliki wanyama. Hao waumini ni misukule yake; ngoja airndeshe atakavyo.
Ilitosha kuwahamasisha kushiriki mchakato wa uchaguzi,

Lakini kuwaelekeza Hadi chama Gani wakipigie kura hiyo ni kuwafanya waumini kama vile hawajielewi.
 
Back
Top Bottom