LGE2024 Mwamposa: Watu wangu nenda mjiandikishe mkapigie kura CCM

LGE2024 Mwamposa: Watu wangu nenda mjiandikishe mkapigie kura CCM

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
MWAMPOSA ANAWAKOSESHA USINGIZ, ANAWANYIMA RAHA, ANAWAKERA WAPUMBAV NDIO MAANA KILASIKU MNAMJADILI MWANAUME KIDUME WENU...


Kama kweli ni nabii na ametumwa kuwasadia watu kwa nini hajawahi kwenda Zanzibar kuuza maji na mafuta ya upako ?
Au Zanzibar hakuna wapiga kura na wenye shida ?

Kwa nini wanasubiri mapadri wa kanisa katoliki wauawe ,wamwagiwe tindikali ,makanisa yao yachomwe moto na bado kanisa katoliki linafanya ibada zake Zanzibar kumtangaza Kristo katika ya madhila makubwa na hata kupoteza maisha yao . Kesho Wazanzibar waligeuka wakawa na upendo mkubwa kwa ukristo na kukubali kuweka uhuru wa kila mtu kubadili dini anayotaka bila kubaguliwa na akishaona kuna Wakatoliki wengi ,waluteri wengi , waanglicana wengi ambao ni kama samaki waliokwisha kuvuliwa na kuwekwa kwenye ndoo ndipo hao manabii matumbo watakwenda na suti zao kuokota samaki kwenye ndoo za wengine kwa kuwadanganya waumini kuwa huko kwa wakatoliki hakuna wokovu . Lakini wakati mapadri wanauawa kwa kumtetea Kristo wao walijificha Dar es salaam kutapeli watu kuwa wao ni manabii .

Huyo Mwamposa angeenda Zanzibar aue watu nane kwa siku moja kama kule Moshi ndio tungejua kuwa kweli ni ni bulldozer . Zanzibar akijiita tu mtume ameliwa kiPDiddy.

Acheni kuwadharau walioleta nuru katikati ya giza kuu.

Zanzibar kuna kanisa la Anglicana,Lutherani na Roman Catholic zaidi ya karne moja sasa katika mazingira magumu sana sio haya ya akina Mwamposa amekuta dini nyingine zimeshawafundisha watu wanaamini na kujua hata kuwa kuna mitume na manabii.
 
Mimi namsubiri siku moja aende hospitali ya Mubimbili na kuwafanyia wagonjwa miujiza na kupona. Ila siyo hao wa mchongo wanaoenda kujitangaza ili kuvutia wajinga wengine.

Mimi namsubiri aende Zanzibar kutoa mafuta ya upako .
Au anafikiri Mapadri kuvumilia kumwagiwa tindikali na makanisa yao kuchomwa moto ni jambo rahisi tu kama kuuza maji na mafuta . !!?
 
Kama kweli ni nabii na ametumwa kuwasadia watu kwa nini hajawahi kwenda Zanzibar kuuza maji na mafuta ya upako ?
Au Zanzibar hakuna wapiga kura na wenye shida ?

Kwa nini wanasubiri mapadri wa kanisa katoliki wauawe ,wamwagiwe tindikali ,makanisa yao yachomwe moto na bado kanisa katoliki linafanya ibada zake Zanzibar kumtangaza Kristo katika ya madhila makubwa na hata kupoteza maisha yao . Kesho Wazanzibar waligeuka wakawa na upendo mkubwa kwa ukristo na kukubali kuweka uhuru wa kila mtu kubadili dini anayotaka bila kubaguliwa na akishaona kuna Wakatoliki wengi ,waluteri wengi , waanglicana wengi ambao ni kama samaki waliokwisha kuvuliwa na kuwekwa kwenye ndoo ndipo hao manabii matumbo watakwenda na suti zao kuokota samaki kwenye ndoo za wengine kwa kuwadanganya waumini kuwa huko kwa wakatoliki hakuna wokovu . Lakini wakati mapadri wanauawa kwa kumtetea Kristo wao walijificha Dar es salaam kutapeli watu kuwa wao ni manabii .

Huyo Mwamposa angeenda Zanzibar aue watu nane kwa siku moja kama kule Moshi ndio tungejua kuwa kweli ni ni bulldozer . Zanzibar akijiita tu mtume ameliwa kiPDiddy.

Acheni kuwadharau walioleta nuru katikati ya giza kuu.

Zanzibar kuna kanisa la Anglicana,Lutherani na Roman Catholic zaidi ya karne moja sasa katika mazingira magumu sana sio haya ya akina Mwamposa amekuta dini nyingine zimeshawafundisha watu wanaamini na kujua hata kuwa kuna mitume na manabii.
Broo umeabudu sana masanamu kanisan kwenu hadi akili imekuruka umekuwa mbumbumbu... Ukitaka akili ikurudi acha kuabudu masanamu mliyochonga kanisan kwenu na kuyaita yesu na bikira la maria 💩💩💩🐖 ndio maana mapadir wenu wameamua kuzaa na wake zenu na mama zenu...
 
Broo umeabudu sana masanamu kanisan kwenu hadi akili imekuruka umekuwa mbumbumbu... Ukitaka akili ikurudi acha kuabudu masanamu mliyochonga kanisan kwenu na kuyaita yesu na bikira la maria 💩💩💩🐖 ndio maana mapadir wenu wameamua kuzaa na wake zenu na mama zenu...

Unajua aliyempa elimu ya dini Mohamadi walikua ni mapadri na ndio waliombashiria kuwa mtume na ndio maana hadithi zote za mtume ni zile zilizoandikwa kwenye vitabu vilivyoko kwenye Biblia ya Kanisa la Katoliki .

Hauna elimu ya dini zaidi ya kukaribishwa na hautaki kusoma vitabu ukafunguka macho .

Kaukurasa kamoja kwa kukariri unadhani ndio ulemjua Mungu na Elimu ya dini na upana wake .

Kwani Mapadri walizaa na wake zao inakuhusi nini wewe mzinzi mwenzao na basha na shoga anayejiingiza kidole matakoni kutoa kinyesi.

Kama mnampenda Kweli Mwamposa mbona hamwaliki Zanzibar akatoe majini yenu ya ushoga ulikithiri Pwani na Visiwani . ?
Wabaguzi wakubwa mnajifucha kwenye kichaka cha dini wakati hamjui chochote zaidi ya ugaidi .

Leta Hadithi moja ya mtume nikuonyeshe alipoitoa kwenye kitabu cha Wakatoliki . Unafikiri Wakatoliki walikua wajinga kugawa dini kwa kila jamii na kuwaacha waanze kurukaruka nazo.
Roman Empire iliwatangulia Mbele kisayansi na kijamii na kila kitu kwa karne nyingi sana na walijua mbinu nyingi za kuwagawa wetu na kuwatawala moja wapo ni kuwapa dini yao ili wasije wakapokea Ukristo ule ulioachwa na Yesu maana ulikua ni tishio kwa watawala . Na waliwahifia waarabu kuwa wakiwa Wakristo watawazidi .
Ukristo ulikua umeshaingia Uturuki,Libya Misri ,Tunisia ,Ethiopia , Lebanoni , Syria na karibu nchi zote za Kiarabu karni za kwanza kabisa jambo lililowaogopesha sana Warumi ndio maana wakaja na mkakati wa kutengeneza dini ya Waarabu ili waachane na Ukristo wa kweli ule wa Yesu aliouacha .

Protestant walipewa ya kwao na sehemu ya maandiko ndio hiyo Biblia mnayocheza nayo kila siku mnafikiri ndiyo ya Kanisa Katoliki. Wakampa na Mohamadi sehemu ya vitabu vya Musa na mafundisho ya vitabu vya mashairi na vitabu vya Hekima basi akawa anawasimulia mazuzu wakajua ana Elimu kubwa ya mambo ya dini kumbe amefundisha na mapadri wa kikatoliki.

Soma vitabu na chimbuko la hizi dini uachane na ujinga wa kuona kuwa wakristo wakikaa kimya hawajui uislam ulikotoka na unayoyafanya .

Wapumbavu wanapewa kasehemu kadogo ka dini ili warukeruke nako na kuuna wenyewe kama kule Somalia na Afghanistan.
 
CDM ni kama ukoma kwa taifa la Tanzania.

Ni CDM ndio ilianza ku-promote watu wa dini kuwapa sauti watu wa dini ili ku-promote upinzani.

Mwingine alielea huu upuuzi ni Magufuli kuanzisha utaratibu wa ma-padre, maaskofu na masheikh kuliombea taifa.

Sasa kama wewe ni civil servant mlinda nchi, ukiingia JF jukwaa la ‘international’ ndio utaona mataahira yaliyojazana nchini kwako (na fikra zao).

Serikali ndio inajukumu la kuwapa watu mtazamo wa by (shaping social thinking), not religious leaders na wataalamu wana mbinu za control narrative wanayotaka jamii yao iwe nayo kwa kiasi kikubwa.

Ni hivi shughuli ya kuongoza nchi sio shughuli nyepesi kabisa.

Ndio maana huko kwa wenzetu senior civil servants sio watu wa mzaha-mzaha kabisa na kufika hizo nafasi it takes a long time of succession planning na ukiwa kwenye hizo nafasi ni afisa usalama automatically.

Binafsi sasa hivi naelewa kwanini nchi zetu wazungu wanazidharau; sisi ni watu wa hovyo.

We can’t run a country, huo ndio uhalisia.

Unaweza kabisa kuruhusu mhubiri wa kanisa ku-promote siasa. Huo upuuzi waliotuzidi democracy hawawezi ruhusu kwao miaka 800 kwa sababu waendesha nchi wanajua madhara yake.

Dini kwenye siasa zinaingia ni pale ambapo religious ethics zinaguswa tu. Lakini kutumia wahubiri kwa sababu ya waumini wao ili ku-mobilise public support that’s a no-no-no kwa nchi zilizoendelea.

Hilo ni time bomb-but then Tanzania is a shitty country. Hatuko hapa kwa bahati mbaya ni kwa sababu ya watu wenye uwezo mdogo wanaoendesha nchi.

Kazi ya kuendesha nchi siyo nyepesi, hasa kwa senior civil servants. We are just living in a shitty country. Nyumba inakutwa na kichwa cha mtoto aliechinjwa huo ni mjadala wa social media sio mkuu wa wilaya, mkuu wa mkoa, waziri wa mambo ya ndani; let alone mkuu wa nchi kuwa concernedZ

What a shitty county
 
Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.

Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.

MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.

Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.

Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Kwani Askofu Mwamakula ameshindwa kuwahimiza waumini (kama anao) wake kujiandikisha na kuipigia kura Chadema
 
Tukumbuke mwampoo hufanya biashara bila kulipa Kodi...
Anauza maji bilakodi
Anauza mafuta bilakodi
Anauza majarida bilakodi
Aliuza udongo wa Israel bilakodi
Anakusanya sadaka za kujimaliza...
Anajilimbikizia mali kupitia Imani...
Anajua vyema anatakiwa kula bila kumgusa kipofu mkono...
wahubiri kadhaa wasasa ni janjajanja wapiga dili kujipatia utajiri kwakuhimiza waumini watoe vyoote walivyonavyo huku wao wakijijengea mahoteli,kujenga majumba yakifahari,magari yaghali,kumhonga wadada waziri,kuendeleza familia zao,kuishi kifahari huku wakiwa wagumu wao kutoa misaada😭😭😭
 
Mimi nazungumzia huyo Nabii wenu. Hayo ya michango au Chadema waulize wenyewe. Nabii wenu ni muhuni, Mwizi na tapeli. Period.
Ina maana hayo MAOKOTO ambayo yameliwa na cdm toka kwa wananchi maskini sio uwizi?
 
CCM inaongoza kwa hadaa dhidi ya wananchi. Mwamposa naye anafanya biashara yake kwa hadaa dhidi ya wajinga.

Hawa ni lazima wasaidiane. Mwamposa analipa fadhila kwa serikali ya CCM iliyomruhusu afanye biashara za kitapeli dhidi ya wajinga.
 
Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Nabii huyo amesema hayo leo jioni wakati akiwahubiria mamia ya waumini wake waliofurika kwenye kiwanja alipokuwa akihubiri na kutoa mafundisho ya Yesu. "Hata Yesu alihesabiwa, hivyo nawasihi watu wangu wote mwende mjiandikishe na kuwapigia kura wagombea wa CCM". Amesema.

Askofu Mwamposa alitumia takribani saa nzima kabla ya kuanza mahubiri kuwahimiza, kuwasihi na kuwashawishi wafuasi wake wafanye kama alivyowaagiza na Mungu atawabariki.

MAONI YANGU
Huyu askofu sasa naona mahubiri yanakaribia kumshinda. Hakuwa na haja ya kuwahimiza wafuasi wake kuwapigia kura CCM kwa sababu waumini wake wote sio wanaCCM.

Asitake kutumia fimbo ya upako na miujiza kulazimisha mambo kwa matakwa yake binafsi. Angeishia tu kuwahimiza wakajiandikishe kuliko kwenda mbali zaidi kuwaelekeza aina ya wagombea watakaowapigia kura.

Hii ni sawa na kuwageuza binadamu wenzake kuwa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Aseme chama chake ni ccm D.
 
Kada maarufu wa CCM na Askofu wa kanisa la Arise and Shine, Dr Boniface Mwamposa (Buldozer) leo amewahimiza waumini wake waende wakajiandikishe kwenye daftari la kupiga kura na kuwapigia kura wagombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM).

wa misukule yake. Haifai, haipendezi na Mungu hapendi.
Huyu jamaa ni tapeli tu kama alivyokuwa kiboko ya wachawi.
Nani kamtuma kuja kusema maneno haya
Anasema watu wake
Yeye ana watu?
Mtanzania yeyote mwenye pesa ukimuona yuko CCM jua kuwa huyo pesa zake ni za haramu.
CCM ndio njia nzuri ya kuzilinda pesa zako za haramu katika nchi hii
Mwamuzi wa Tanzania Asante sana kwa majibu yako ya kueleweka.
Uchawa unalipa sana kwa waliokengeuka.
 
Unajua aliyempa elimu ya dini Mohamadi walikua ni mapadri na ndio waliombashiria kuwa mtume na ndio maana hadithi zote za mtume ni zile zilizoandikwa kwenye vitabu vilivyoko kwenye Biblia ya Kanisa la Katoliki .

Hauna elimu ya dini zaidi ya kukaribishwa na hautaki kusoma vitabu ukafunguka macho .

Kaukurasa kamoja kwa kukariri unadhani ndio ulemjua Mungu na Elimu ya dini na upana wake .

Kwani Mapadri walizaa na wake zao inakuhusi nini wewe mzinzi mwenzao na basha na shoga anayejiingiza kidole matakoni kutoa kinyesi.

Kama mnampenda Kweli Mwamposa mbona hamwaliki Zanzibar akatoe majini yenu ya ushoga ulikithiri Pwani na Visiwani . ?
Wabaguzi wakubwa mnajifucha kwenye kichaka cha dini wakati hamjui chochote zaidi ya ugaidi .

Leta Hadithi moja ya mtume nikuonyeshe alipoitoa kwenye kitabu cha Wakatoliki . Unafikiri Wakatoliki walikua wajinga kugawa dini kwa kila jamii na kuwaacha waanze kurukaruka nazo.
Roman Empire iliwatangulia Mbele kisayansi na kijamii na kila kitu kwa karne nyingi sana na walijua mbinu nyingi za kuwagawa wetu na kuwatawala moja wapo ni kuwapa dini yao ili wasije wakapokea Ukristo ule ulioachwa na Yesu maana ulikua ni tishio kwa watawala . Na waliwahifia waarabu kuwa wakiwa Wakristo watawazidi .
Ukristo ulikua umeshaingia Uturuki,Libya Misri ,Tunisia ,Ethiopia , Lebanoni , Syria na karibu nchi zote za Kiarabu karni za kwanza kabisa jambo lililowaogopesha sana Warumi ndio maana wakaja na mkakati wa kutengeneza dini ya Waarabu ili waachane na Ukristo wa kweli ule wa Yesu aliouacha .

Protestant walipewa ya kwao na sehemu ya maandiko ndio hiyo Biblia mnayocheza nayo kila siku mnafikiri ndiyo ya Kanisa Katoliki. Wakampa na Mohamadi sehemu ya vitabu vya Musa na mafundisho ya vitabu vya mashairi na vitabu vya Hekima basi akawa anawasimulia mazuzu wakajua ana Elimu kubwa ya mambo ya dini kumbe amefundisha na mapadri wa kikatoliki.

Soma vitabu na chimbuko la hizi dini uachane na ujinga wa kuona kuwa wakristo wakikaa kimya hawajui uislam ulikotoka na unayoyafanya .

Wapumbavu wanapewa kasehemu kadogo ka dini ili warukeruke nako na kuuna wenyewe kama kule Somalia na Afghanistan.
Mkuu umemaliza kila kitu. Endelea kutoa elimu kwa hawa maamuma hatimaye watafunguka akili na kuelewa chimbuko halisi la dini za ulimwengu. Hata mamba ukimuelimisha mara kwa mara hatimaye huelewa mafundisho. Asante sana kwa elimu hii nzuri mkuu. Elimu haina mwisho.
 
Achana na watu kama hao. Ukiona hivyo fahamu tu kuwa ni miongoni mwa wale OTHERS
Possibly! Hawa watu ni wagumu sana kuelewa utadhani vichwani mwao wamebeba akili za wanyama.
 
Kwani Askofu Mwamakula ameshindwa kuwahimiza waumini (kama anao) wake kujiandikisha na kuipigia kura Chadema
Mjadala huu unahusu Mwamposa na uhamasishaji wa "watu wake" kuipigia kura CCM. Mwamakula anaingiaje hapa mkuu? Jielekeze kwenye hoja iliyopo kwenye uzi.
 
Ccm wakishamtumia au akionekana ni threat kwa namna yoyote hamna rangi ataacha ona.

Ila kwa sasa acheze karata vizuri yupo mahali salama.
 
Fursa sio uovu, yule Mwamposa hakuna sheria aliovunja
Mwamposa kuwahimiza 'watu wake' kuwapigia kura wagombea wa CCM hajavunja sheria? Are you serious or just kidding?
 
Mwamposa kuwahimiza 'watu wake' kuwapigia kura wagombea wa CCM hajavunja sheria? Are you serious or just kidding?
Ni haki yake kuchagua chama anacho penda, vile vile yeye ametoa mawazo yake kuwa waipigie ccm, ila kura ni siri ya mtu , wale waumini wanaweza kubali au kukataa kwa namna wanavyoona wao inafaa, hajavunja sheria yeyote
 
Back
Top Bottom