Mwamposa: Watu zaidi ya Laki Nne na Nusu (450,000)+ Wameshiriki mkesha, Kawe

Mwamposa: Watu zaidi ya Laki Nne na Nusu (450,000)+ Wameshiriki mkesha, Kawe

uran

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2013
Posts
10,392
Reaction score
15,948
Screenshot_20241215-112510.png
Kwenye Mkesha wa 13.12.2024!!

Hili la Idadi ya Watu limekaaje Wadau wa Takwimu?

Mkusanyiko wa watu zaidi ya Laki Nne na Nusu.

Aisee.
 
Wataalam wa sociolojia na saikolojia wabobezi[kama Dr Ellie] wafanye utafiti watwambie Watz wana matatizo gani ya akili na kijamii!
Suala la Mwamposa linaongea mambo mengi kwa wakati mmoja.
Kati ya mambo hayo ni
..tuna kizazi kilichokosa suluhisho na kufikiri kumekoma.
..tuna kizaz cha kupenda matokeo ya kujileta kimiujiza.
.. serkali imekwama kutatua changamoto za msingi za watu wake.
Hasa ajira, elimu na afya.
Watz Iq zetu zimeshuka mno kias hata serkali inapotoa mwanga tunaona giza.
..elimu yetu haina package nzuri ya kutambua na kuhusianisha mazingira yetu ipasavyo.
Ambacho walau tunakubaliana wote mpaka sasa ni kwamba wale si kusanyiko linalotafsiri ucha Mungu.
 
Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 Kilimanjaro mwaka 2020, akakimbia serikali ikamuacha. Ni mambo ya ajabu mwamposa bado yuko uraiani. Mwamposa alitakiwa kua jela kwa mauaji ya kukusudia kwa kuwakanyagisha watu wafuta bila kuchukua tahadhari yoyote na kupelekea vifo vya watu wengi.
 
HAIJALISHI KIKUBWA NI YESU ANAABUDIWA. MSOSI UTAJIJIA WENYEWE AUTOMATICALLY KUPITIA MWAMBA MWENYEWE YESU.
Did Jesus ever collected anything which goes by the name of "sadaka" from the congregates or any of his disciples or sold those so-called anointing oil and sand (earth)??

There's no way I can condone daylight robbery and conmanship in the name of religion. No man. Never ever....
 
Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 Kilimanjaro mwaka 2020, akakimbia serikali ikamuacha. Ni mambo ya ajabu mwamposa bado yuko uraiani. Mwamposa alitakiwa kua jela kwa mauaji ya kukusudia kwa kuwakanyagisha watu wafuta bila kuchukua tahadhari yoyote na kupelekea vifo vya watu wengi.
Behind bars (in safe custody) is where that crook was supposed to be as of now, but instead he's just out there roaming around like nothing ever happened.

I sincerely urge my fellow Tanzanians to keep praying for me not to assume the office of the president because once I become one, buy any means, I'll run this country with an "Iron Fist" literally, like what B.M. Mkapa did back in the days, and sanitize her of all fake clergy and financially oriented religious ministries.
 
Back
Top Bottom