Mwamposa: Watu zaidi ya Laki Nne na Nusu (450,000)+ Wameshiriki mkesha, Kawe

Mwamposa: Watu zaidi ya Laki Nne na Nusu (450,000)+ Wameshiriki mkesha, Kawe

Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 Kilimanjaro mwaka 2020, akakimbia serikali ikamuacha. Ni mambo ya ajabu mwamposa bado yuko uraiani. Mwamposa alitakiwa kua jela kwa mauaji ya kukusudia kwa kuwakanyagisha watu wafuta bila kuchukua tahadhari yoyote na kupelekea vifo vya watu wengi.
Jamaa huwa anachaa kibunda kuanzia mkuu wa mkoa, unapofanyika mkutano na vyombo vyote vya Usalama na wakuu wao, hivyo analindwa vyema.
 
Wataalam wa sociolojia na saikolojia wabobezi[kama Dr Ellie] wafanye utafiti watwambie Watz wana matatizo gani ya akili na kijamii!
Suala la Mwamposa linaongea mambo mengi kwa wakati mmoja.
Kati ya mambo hayo ni
..tuna kizazi kilichokosa suluhisho na kufikiri kumekoma.
..tuna kizaz cha kupenda matokeo ya kujileta kimiujiza.
.. serkali imekwama kutatua changamoto za msingi za watu wake.
Hasa ajira, elimu na afya.
Watz Iq zetu zimeshuka mno kias hata serkali inapotoa mwanga tunaona giza.
..elimu yetu haina package nzuri ya kutambua na kuhusianisha mazingira yetu ipasavyo.
Ambacho walau tunakubaliana wote mpaka sasa ni kwamba wale si kusanyiko linalotafsiri ucha Mungu.
Hii comment nitaiprint kwa ajili ya reference..
 
Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 Kilimanjaro mwaka 2020, akakimbia serikali ikamuacha. Ni mambo ya ajabu mwamposa bado yuko uraiani. Mwamposa alitakiwa kua jela kwa mauaji ya kukusudia kwa kuwakanyagisha watu wafuta bila kuchukua tahadhari yoyote na kupelekea vifo vya watu wengi.
Ki Msingi hilo halikua kosa la Mwaposa.

Lilikua kosa la POLISI, Maana wao ndo wako na wajibu wa kuhakikisha mikutano kama hyo inafanyikwa bira kuleta madhara.
 
Ki Msingi hilo halikua kosa la Mwaposa.

Lilikua kosa la POLISI, Maana wao ndo wako na wajibu wa kuhakikisha mikutano kama hyo inafanyikwa bira kuleta madhara.
Kosa la Polisi ni kutomkamata Mwamposa na kumchukulia hatua zingine za kisheria.

Seo hao wajinga wa imani acha wafe tu. Ni sehemu gani ya kwenye biblia Yesu aliwaamuru congregates kwenda kukanyaga mafuta ya upako, achilia mbali kuwauzia??
 
Back
Top Bottom