Hope urassa
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 4,230
- 10,650
Umekula sana Maembe yangu P
Kumbeeee haelewi umekuja kipyakipyaAlafu amekula sana Maembe yangu mtoto mzuri P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umekula sana Maembe yangu P
Kumbeeee haelewi umekuja kipyakipyaAlafu amekula sana Maembe yangu mtoto mzuri P
Anajizima data madai yake.Kumbeeee haelewi umekuja kipyakipya
Jamaa huwa anachaa kibunda kuanzia mkuu wa mkoa, unapofanyika mkutano na vyombo vyote vya Usalama na wakuu wao, hivyo analindwa vyema.Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 Kilimanjaro mwaka 2020, akakimbia serikali ikamuacha. Ni mambo ya ajabu mwamposa bado yuko uraiani. Mwamposa alitakiwa kua jela kwa mauaji ya kukusudia kwa kuwakanyagisha watu wafuta bila kuchukua tahadhari yoyote na kupelekea vifo vya watu wengi.
Hii comment nitaiprint kwa ajili ya reference..Wataalam wa sociolojia na saikolojia wabobezi[kama Dr Ellie] wafanye utafiti watwambie Watz wana matatizo gani ya akili na kijamii!
Suala la Mwamposa linaongea mambo mengi kwa wakati mmoja.
Kati ya mambo hayo ni
..tuna kizazi kilichokosa suluhisho na kufikiri kumekoma.
..tuna kizaz cha kupenda matokeo ya kujileta kimiujiza.
.. serkali imekwama kutatua changamoto za msingi za watu wake.
Hasa ajira, elimu na afya.
Watz Iq zetu zimeshuka mno kias hata serkali inapotoa mwanga tunaona giza.
..elimu yetu haina package nzuri ya kutambua na kuhusianisha mazingira yetu ipasavyo.
Ambacho walau tunakubaliana wote mpaka sasa ni kwamba wale si kusanyiko linalotafsiri ucha Mungu.
450,000 x 1,000/= huja ngapi? ~450,000,000/= sio mbaya kwa usiku mmoja.View attachment 3177096Kwenye Mkesha wa 13.12.2024!!
Hili la Idadi ya Watu limekaaje Wadau wa Takwimu?
Mkusanyiko wa watu zaidi ya Laki Nne na Nusu.
Aisee.
,☹️☹️ Fake P huyu si mgeni amevaa tu kanzu nyeusiHapana baby. Ni wewe mzazi mwenzangu.
Ki Msingi hilo halikua kosa la Mwaposa.Mwamposa aliua watu zaidi ya 20 Kilimanjaro mwaka 2020, akakimbia serikali ikamuacha. Ni mambo ya ajabu mwamposa bado yuko uraiani. Mwamposa alitakiwa kua jela kwa mauaji ya kukusudia kwa kuwakanyagisha watu wafuta bila kuchukua tahadhari yoyote na kupelekea vifo vya watu wengi.
Kosa la Polisi ni kutomkamata Mwamposa na kumchukulia hatua zingine za kisheria.Ki Msingi hilo halikua kosa la Mwaposa.
Lilikua kosa la POLISI, Maana wao ndo wako na wajibu wa kuhakikisha mikutano kama hyo inafanyikwa bira kuleta madhara.