Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapa hakuna Jesus wewe nanga. Ni tapeli kawadanganya wajinga waende kupata shortcut za matatizo yao. Upande mmoja una tapeli na upande wa pili wajinga wanaodhani shida zao zitatatuliwa kimuujiza. Hapa walienda kwa nia ya kuabudu ni wachache mno.JESUS FIRST JESUS FOREVER
IN JESUS WE MUST TRUST, BELIEVE AND WORSHIP
JESUS IS GOD WHETHER YOU LIKE IT OR NOT
HUNIAMBII KITU KUHUSU YESU
Malaria 2 Adiosamigo Jagina
Nyau de adriz
Pesa ndogo sana anaongeza YUTONG moja tuChukulia kila mmoja ametoa sadaka 1,000/=. Kakusanya shilingi ngapi ?
Hiyo 1000 makadirio ya chini sana.Chukulia kila mmoja ametoa sadaka 1,000/=. Kakusanya shilingi ngapi ?
Mkuu walevu usituhusishe na hao nyumbu mkuu.wategemea mujiza ni kama walevi ni moja ya kundi la wapumbavu ulimwenguni
ni pwagu na pwaguzi nduguMkuu walevu usituhusishe na hao nyumbu mkuu.
Aiseee! Kwa hiyom serikali inamjua tapeli na hamna kitu inamfanyaHapa hakuna Jesus wewe nanga. Ni tapeli kawadanganya wajinga waende kupata shortcut za matatizo yao. Upande mmoja una tapeli na upande wa pili wajinga wanaodhani shida zao zitatatuliwa kimuujiza. Hapa walienda kwa nia ya kuabudu ni wachache mno.
All religious institutions which came into existence soon after Mwalimu Nyerere stepped down, are supposed to be suspended.Yani huwa najisikia faraja sana mwamposa akipiga pesa kwa kutumia biblia , hiyo biblia ndio iliyofanya wakoloni wakatutapelia lakini sisi wamatumbi tukiitumia kupiga pesa mnalalama kwa nini lakini?
Hahaha hapana walevi tunajenga uchumi wa nchi na tunalipa kodi, tafadhali sana.ni pwagu na pwaguzi ndugu
Wewe ulishaona matapeli a dini wakichukuliwa hatua? Utamchukulia kwa kifungu gani?Aiseee! Kwa hiyom serikali inamjua tapeli na hamna kitu inamfanya
Hapana mkuu utakua unaminya haki ya wengine kuamini wanachokitaka, kila mtanzania anayo haki ya kuamini .All religious institutions which came into existence soon after Mwalimu Nyerere stepped down, are supposed to be suspended.
Conmanship (of any kind and form) should not be given a chance in our land.
....and sadly enough, within that same congregation, some had once attended it for the past two years, but their financial and other difficulties still remain the same or worse than before.Hapa hakuna Jesus wewe nanga. Ni tapeli kawadanganya wajinga waende kupata shortcut za matatizo yao. Upande mmoja una tapeli na upande wa pili wajinga wanaodhani shida zao zitatatuliwa kimuujiza. Hapa walienda kwa nia ya kuabudu ni wachache mno.
Daslam bhana.
Kamuulize ma**ko maswali ya kijinga limekaaje kvp??View attachment 3177096Kwenye Mkesha wa 13.12.2024!!
Hili la Idadi ya Watu limekaaje Wadau wa Takwimu?
Mkusanyiko wa watu zaidi ya Laki Nne na Nusu.
Aisee.
There's no freedom without boundaries. One can better understand this if s/he is a parent.Hapana mkuu utakua unaminya haki ya wengine kuamini wanachokitaka, kila mtanzania anayo haki ya kuamini .