Atlantic Star
JF-Expert Member
- Feb 22, 2023
- 539
- 1,696
......😀😀 mwananchi mwenye hasira kali, usitukane tafadhali....Hasira zitaishaje bila hivyo sasa? Ningejua hili tokea jana ingenisaidia sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
......😀😀 mwananchi mwenye hasira kali, usitukane tafadhali....Hasira zitaishaje bila hivyo sasa? Ningejua hili tokea jana ingenisaidia sana.
Offside ingetokea iwapo tu Aziz Ki angepiga krosi na wala ye hakuona mchezaji wa Yanga , ye aliliona goli tu akashoot direct na kumtungua kipa Williams, kweli Aziz Ki world class player apewe maua yake!!
Mchezaji wa Yanga aliekuwa eneo la offside hakuungilia mchezo, hapa Othman Kazi atakusaidia kolo , hoja huna tulia
OFFSIDE. Ndo maana refa hakutoa KONA KWA UTOPOLO. Sasa kama unabisha hayo ni matatizo yako binafsiOffside ingetokea iwapo tu Aziz Ki angepiga krosi na wala ye hakuona mchezaji wa Yanga , ye aliliona goli tu akashoot direct na kumtungua kipa Williams, kweli Aziz Ki world class player apewe maua yake!!
Mchezaji wa Yanga aliekuwa eneo la offside hakuungilia mchezo, hapa Othman Kazi atakusaidia kolo , hoja huna tulia
Kama is ingekuwa OFFSIDE. utopolo wangepiga KONA maana aliytoa ni mchezaji wa mamelodi kwa kichwa.AKILI UNAZO ZITUMIE.We jamaa mbona unaropoka sana!?
Kuna offside gani pale??
Kila mchezaji alikua on side na alichoamua yeye ni kuwa sio goli hakusema kuwa offside.
Nina wasi wasi utakua mjinga halisi kama ID yako.
Na kwanini alianzisha mpira kwa kumpa golikipa wakati mpira ulitolewa nje na mchezaji wa Masandawana? Kwanini haikuwa kona?Goli lilifungwa dakika ya 57, maamuzi kaja kuyafanya dakika ya 62. Muda wote huo wa dakika 5 mpira ulikuwa umesimama. Je, hakuona sababu ya yeye mwamuzi wa kati kwenda kuangalia mwenyewe kwenye VAR wakati ilikuwepo just pale pembeni ya Uwanja? Yaani dakika 5 zinazopelekea mpira kusimama rega hauni ulazima, udadisi wala umuhimu wa kushuhudia tukio hilo?
Mbaya zaidi, mpira ule uliporudi uwanjani ulitolewa nje na mchezaji wa Mamelody Sundowns, lakini mwamuzi alipokataa goli na kuamuru mpira uendelee aliwapa Mamelody wauanzishe badala ya kuamuru Yanga wapige kona.
By the way, Hongera sana DR Mambo Jambo Kwa kulishikia kidedea swala hili na kuleta updates kwa kila hatua na kwa kila kinachojili. Ingawa wewe ni upande ule mwingine.
Saludo!
Kama kulikuwa na OFFSIDE, mpira unawekwa chini na kupigwa. Kwanini alipewa golikipa na akaupiga kama vile aliudaka? Au wewe mwenzetu uliona mpira ukipigwa kuashiria OFFSIDE?? Hakumpa kipa kweli?OFFSIDE. Ndo maana refa hakutoa KONA KWA UTOPOLO. Sasa kama unabisha hayo ni matatizo yako binafsi
Matako wewe hakukua na offside,mpira ulitolewa nje mchezaji akauleta ndani na refa kwa kukataa goli akampa kipa aanzishe.Kama is ingekuwa OFFSIDE. utopolo wangepiga KONA maana aliytoa ni mchezaji wa mamelodi kwa kichwa.AKILI UNAZO ZITUMIE.
Nadhani anajifunza sasa kwamba mchezaji wa 12 ana nguvu gani, hii inaenda kumpa another free education from Africa football 😂!.Amaleta Utani kwenye Vitu serious
😂😂😂😂😂Huyu jamaa akili kizibo.Kwahiyo wewe mwenzetu uliona mpira ukipigwa kuashiria OFSIDE?? Hakumpa kipa kweli?
ID yake huyu mjingamimi inaakisi utumbo anouandika😂😂😂😂😂Huyu jamaa akili kizibo.
Sasa kama Ni offside kwanini Alisimamisha Mpira kwa Dakika 10 nzima si angetoa Jibu moja tu Mpira ni Offside sasa kuna haja gani ya Kuhangaika na VAR wakati ni offside..OFFSIDE. Ndo maana refa hakutoa KONA KWA UTOPOLO. Sasa kama unabisha hayo ni matatizo yako binafsi
Hata mimi namshangaa.Sasa kama Ni offside kwanini Alisimamisha Mpira kwa Dakika 10 nzima si angetoa Jibu moja tu Mpira ni Offside sasa kuna haja gani ya Kuhangaika na VAR wakati ni offside..
Sometimes Tuelewe mpira ili tucomment mimi n8 shabiki wa Simba ila Yanga wanastahili goal lao..na haikuwa Offside kama imgekuwa Offside tusingekuwa Tunaongea maswala ya Goal Line na Refa tena
Labda huenda hata hajui kinachojadiliwa ni nini! 🤣🤣Hata mimi namshangaa.
Kama ingekua offside ungeona kibendera kimeinuliwa basi,kusingekua na mjadala wa kujadili uhalali wa goli.
Na ingekuwa OFFSIDE mpira ungewekwa chini na kupigwa. Lakini, alipewa golikipa na kuupiga kama vile aliudaka..!!Sasa kama Ni offside kwanini Alisimamisha Mpira kwa Dakika 10 nzima si angetoa Jibu moja tu Mpira ni Offside sasa kuna haja gani ya Kuhangaika na VAR wakati ni offside..
Sometimes Tuelewe mpira ili tucomment mimi n8 shabiki wa Simba ila Yanga wanastahili goal lao..na haikuwa Offside kama imgekuwa Offside tusingekuwa Tunaongea maswala ya Goal Line na Refa tena
Ulitaka kipa apige vipi ndo ujue ilikuwa offside?Kama kulikuwa na OFFSIDE, mpira unawekwa chini na kupigwa. Kwanini alipewa golikipa na akaupiga kama vile aliudaka? Au wewe mwenzetu uliona mpira ukipigwa kuashiria OFFSIDE?? Hakumpa kipa kweli?
Shida kubwa aliyonayo ni upenzi wake kwa Simba. Yaani mahaba yanamtoa akili mpaka anaoneka mwehu tu anayeandika asichokijua..!!Labda huenda hata hajui kinachojadiliwa ni nini! 🤣🤣
Kwa kuweka chini mahala ilipotokesa OFFSIDE...!! By the way, offside iliamuliwa na refa au wewe? Maana hakukuwa na filimbi ya refa, wala kibendera kuashiria offside..!! Sasa wewe mwenzetu OFFSIDE unaitoa wapi?Ulitaka kipa apige vipi ndo ujue ilikuwa offside?
ID yake huyu mjingamimi inaakisi utumbo anouandika
Hivi wewe, hili la offside umelitoa wapi?Sawa.endelea kukaza FUVU.endeleeni kupiga kelele mtarudishiwa goli lenu.roma alisema kichwa kisichokuwa na akili ni mzigo kwa shingo.
Vizuri.kama aliyetoa mpira ni mchezaji wa mamelodi na refa hakutoa kona.nini tafsiri yake.?Kwa kuweka chini mahala ilipotokesa OFFSIDE...!! By the way, offside iliamuliwa na refa au wewe? Maana hakukuwa na filimbi ya refa, wala kibendera..!! Sasa wewe mwenzetu OFFSIDE unaitoa wapi?