mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Sawa mwakarobo JRAl ahaly 3 vs Simba 0
Umelewa ww....na hunielewi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa mwakarobo JRAl ahaly 3 vs Simba 0
Umelewa ww....na hunielewi
Kweli baadhi ya Watanzania hawana muda wa kujiridhisha na mambo.Ameshasema Mpira makosa Hutokea Msameheni Bure bhna nyinyi wenyewe Mmekosa Penalty
yale yale ya manara.Kumamake naenda kuongeza nguvu ya kumtukana hadi afunge page yake
Yawezekama lugha kwako ni tatizo, mbona ref kaeleza vizuri hapo juu au ndo mmeamua kubisha tu?Hamna lolote.
Referee Review Area imeekwa kwaajili ya muamuzi kwenda kujiridhisha pia.
Alitakiwa aende akajiridhishe licha ya kusikia kutoka VAR.
Pia mbona kama kajichanganya??
Maana Lomalissa alivyocheza foul yeye aliamua moja kwa moja yellow card ila baada ya sekunde kadhaa VAR ndio wakamwambia akaangalie na nahisi labda wamemwambia akatizame huwenda ikawa ni possible red card ila alipotizama akakataa akasema ni yellow card.
Kwa nini asingefanya hivyo kwenye goli pia??
Kajikanyaga mwenyewe na maelezo yake.
refa gani aliyeeleza..Unazijua ethics za professional referees kuhus mitandao ya kijamii..Yawezekama lugha kwako ni tatizo, mbona ref kaeleza vizuri hapo juu au ndo mmeamua kubisha tu?
Amesema kuwa refa ataitwa kutazama VAR tu pale wasaidizi wa kwenye VAR room wakishindwa kutoa uamuzi juu ya tukio lakini lile limeonekana ni rahisi hivyo hakukuwa na sababu ya yeye kwenda.
Huyu ndo mchawiYawezekama lugha kwako ni tatizo, mbona ref kaeleza vizuri hapo juu au ndo mmeamua kubisha tu?
Amesema kuwa refa ataitwa kutazama VAR tu pale wasaidizi wa kwenye VAR room wakishindwa kutoa uamuzi juu ya tukio lakini lile limeonekana ni rahisi hivyo hakukuwa na sababu ya yeye kwenda.
Yawezekana we ni fala kabisa, kwamba unahisi kila mtu anatumia social media? Utajuaje kama amefungua akaunti jana au juzi?refa gani aliyeeleza..Unazijua ethics za professional referees kuhus mitandao ya kijamii..
Refa mkubwa kama yule ametoka kuchezesha fainal ya afcon majuzi Ivor coast vs Nigeria awe na Follewers 1600?...Mbona una reasoning ya kipumbav na ya kijinga namna hii😬😬😬
Lugha kwangu sio tatizo ila wewe hujaelewa nini nimelenga.Yawezekama lugha kwako ni tatizo, mbona ref kaeleza vizuri hapo juu au ndo mmeamua kubisha tu?
Amesema kuwa refa ataitwa kutazama VAR tu pale wasaidizi wa kwenye VAR room wakishindwa kutoa uamuzi juu ya tukio lakini lile limeonekana ni rahisi hivyo hakukuwa na sababu ya yeye kwenda.
Haki ya uchaguzi vipi🤣Na bado Hajasema Mpaka Aseme asituletee Ujinga Manara Peke yake hatoshi bado tutamfata mpaka huko Mauritania Tumpe za Uso sio ndio Tanzania Haki yetu haidhulumiwi
Na ww n walewale hamna unachokijua..nikikuta unatawaliw na mkeo sitashangaa...Yawezekana we ni fala kabisa, kwamba unahisi kila mtu anatumia social media? Utajuaje kama amefungua akaunti jana au juzi?
Nyie ndo wale mnaosoma "chuo chetu kiko ghorofa ya pili" halafu chini disco juu bar. Vete ala mierda.
Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee (VAR)
Mwamuzi huyo ameeleza hayo wakati aki-chat Instagram na Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara...
Mwamuzi Beida Pahane ameweka wazi kuwa wakati wa faulo ya lomalisat wanao-control VAR walishindwa kutoa maamuzi hivyo walihitaji msaada wake ndio
maana aienda kuwasaidia lakini Kwenye Goli la aziz.ki hakwenda kuthibitisha kwenye VAR kwa sababu haikuwa kazi ngumu kwa wanao-control VAR kutoa maamuzi,
walimueleza mapema kuwa sio goli, hivyo kama kuna makosa yoyote walaumiwe wao.
Mwamuzi Beida Dahane amefunguka kuwa hawezi kuomba msamaha kwa Watanzania kwani hakuhusika katīka maamuzi, kama kuna kosa lolote amefanya basi
ataomba msamaha kwa Mungu..
Mwamuzi Beida Dahane amesisitiza kwamba yeye ndiyo anatakiwa kuombwa msamaha maana anashambuliwa sana kutokana na sakata hili, wakati wanaotakiwa
kushambuliwa ni watu wa VAR...
View attachment 2956306
CHAT ZA DM KATI YA HAJI NA MWAMUZI..
View attachment 2956309
View attachment 2956310
View attachment 2956311
View attachment 2956312View attachment 2956313
Hii ni kweli inasikitisha. Sasa kwanini alimpa kipa auanzishe tena? Je aliuanzisha kama nani?Uko sahihi kwa 100%.
Kama ilikuwa ni offside, mpira ulipaswa kutengwa chini na kupigwa. Lakini refa hakufanya hivyo bali aliudondosha mbele ya kipa ili uendelee.
Binafsi nadhani refa alichanganyikiwa, baada ya VAR room referees kumpa amri ya kuachana na mpango wake wa kutaka kureview goal!
Jinga jinga kama jina lako na roho ya kimaskini tu ndiyo inayokutesa Kolowizards [emoji38]OFF SIDE
Yanga wangeelekeza Nguvu kubwa kufundisha wachezaji wao kupiga penati.Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee (VAR)
Mwamuzi huyo ameeleza hayo wakati aki-chat Instagram na Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara...
Mwamuzi Beida Pahane ameweka wazi kuwa wakati wa faulo ya lomalisat wanao-control VAR walishindwa kutoa maamuzi hivyo walihitaji msaada wake ndio
maana aienda kuwasaidia lakini Kwenye Goli la aziz.ki hakwenda kuthibitisha kwenye VAR kwa sababu haikuwa kazi ngumu kwa wanao-control VAR kutoa maamuzi,
walimueleza mapema kuwa sio goli, hivyo kama kuna makosa yoyote walaumiwe wao.
Mwamuzi Beida Dahane amefunguka kuwa hawezi kuomba msamaha kwa Watanzania kwani hakuhusika katīka maamuzi, kama kuna kosa lolote amefanya basi
ataomba msamaha kwa Mungu..
Mwamuzi Beida Dahane amesisitiza kwamba yeye ndiyo anatakiwa kuombwa msamaha maana anashambuliwa sana kutokana na sakata hili, wakati wanaotakiwa
kushambuliwa ni watu wa VAR...
View attachment 2956306
CHAT ZA DM KATI YA HAJI NA MWAMUZI..
View attachment 2956309
View attachment 2956310
View attachment 2956311
View attachment 2956312View attachment 2956313
Hajui kitufe cha block kilipo?Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee (VAR)
Mwamuzi huyo ameeleza hayo wakati aki-chat Instagram na Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara...
Mwamuzi Beida Pahane ameweka wazi kuwa wakati wa faulo ya lomalisat wanao-control VAR walishindwa kutoa maamuzi hivyo walihitaji msaada wake ndio
maana aienda kuwasaidia lakini Kwenye Goli la aziz.ki hakwenda kuthibitisha kwenye VAR kwa sababu haikuwa kazi ngumu kwa wanao-control VAR kutoa maamuzi,
walimueleza mapema kuwa sio goli, hivyo kama kuna makosa yoyote walaumiwe wao.
Mwamuzi Beida Dahane amefunguka kuwa hawezi kuomba msamaha kwa Watanzania kwani hakuhusika katīka maamuzi, kama kuna kosa lolote amefanya basi
ataomba msamaha kwa Mungu..
Mwamuzi Beida Dahane amesisitiza kwamba yeye ndiyo anatakiwa kuombwa msamaha maana anashambuliwa sana kutokana na sakata hili, wakati wanaotakiwa
kushambuliwa ni watu wa VAR...
View attachment 2956306
CHAT ZA DM KATI YA HAJI NA MWAMUZI..
View attachment 2956309
View attachment 2956310
View attachment 2956311
View attachment 2956312View attachment 2956313
Refa alishachanganyikiwa allkuwa na mawazo mengi sanaKwa nini kama halikuwa goli? Mbona basi akuamulu mpira upigwe kona wakati aliyeutoa nje kwa kichwa ni beki wa Mamelod?
Badala yake akawapa faida mamelod kuanza mpira.
Kuna maswali ya kujiuliza hapa.