Mwamuzi wa Mechi ya Yanga na Mamelodi awaomba Watanzania waache kumshambulia kwa Matusi kwa kuwa si yeye aliyetoa maamuzi ya Kukataa Goli

Mwamuzi wa Mechi ya Yanga na Mamelodi awaomba Watanzania waache kumshambulia kwa Matusi kwa kuwa si yeye aliyetoa maamuzi ya Kukataa Goli

refa gani aliyeeleza..Unazijua ethics za professional referees kuhus mitandao ya kijamii..
Refa mkubwa kama yule ametoka kuchezesha fainal ya afcon majuzi Ivor coast vs Nigeria awe na Follewers 1600?...Mbona una reasoning ya kipumbav na ya kijinga namna hii😬😬😬
Naona insta gram kafuta account
Jinga jinga kama jina lako na roho ya kimaskini tu ndiyo inayokutesa Kolowizards [emoji38]View attachment 2956589
Kati yangu mimi na rais wako wa utopolo nani ana roho ya kimasikini?
 

Attachments

  • Screenshot_20240405_232604_Gallery.jpg
    Screenshot_20240405_232604_Gallery.jpg
    75.4 KB · Views: 1
Acha hizo kijana, kwenye mpira mataifa mengine hadi mchezaji wa 12 anaingia uwanjani kudai lolote hasa za afrika kaskazini huko, leo watanzania wanapiga kwenye mshino unaona si sawa how!!
sahihi kabisa Yanga walitakiwa wafanye hivyo wakiwa uwanjani palepale,sio mpaka waende penati wakose waanze kapanga njama za kummaliza Motsepe siku akija Bongo.
 
Uto waliroga sn and walikua na uhakika ndio maana wachezaji wa mamelod walionekana wa kawaida sn na yule mwamuzi hawatamuacha salama wanasubiri tu upepo upoe utasikia tu kitakachowakuta
 
Tayari refa kafunguka na ametusaidia pakubwa sana pale anaposema there is always mistakes in football, hapo amekiri kuna makosa yalifanyika sasa tumepiga hatua moja kudai haki yetu ya mabilioni ya kuingia nusu fainali. Refa aseme ni mistake gani amemaanisha maana kuna mistakes za maksudi na bahati mbaya, refa akabwe zaidi koo akizidiwa atamwaga mboga na tupambane VAR room officials tuwapate majina tuwafuate kwenye pages zao tukawacharue na wao hadi ukweli ujulikane na Africa nzima wajue bongo hatukubali kuonewa!!

Yanga sasa tukomae na mwamuzi kutafuta jina la officer alietoa maamuzi VAR room ni nani na mpaka anakataa goli ataje alitumia vigezo gani na atuambie kwa nini VAR room hawakuchora mstari kwenye mpira au kuonesha watazamaji sababu ya kukataa goli , Manara amrudie tena mwamuzi ataje jina la alietoa maamuzi VAR kesi ianze upya!

Yaani hapa ndo kumekucha wanayanga hatutakiwi kukubali kurudishwa nyuma kisoka maisha ni vita na soka ni ajira na huleta utajiri na furaha kwa nchi, Yanga tukomae sasa na VAR room officials wa mechi hadi wafunguke, hii itasaidia kuhalalisha madai yetu ya match fixing pale na wao wakianza kujichanganya kama refa ambae hajasema ni goli au sio goli maana hata yeye hana jibu baada ya kuona ngoma imedundia ndani laivu na hakukuwa na sababu ya VAR kukataa goli!!

Nchi nyingi zinaonea wabongo this time tuwaoneshe our true colours kuwa hatuonewi na hatukimbii kesi. Tuwapuuze wanasimba wanaotubeza tunaposaka haki yetu hawa mbumbumbu mfupa wa robo fainali hawauwezi.

Dalili za ushindi ndio zimeanza kwa refa kufunguka sasa wanayanga tukomae na wengine VAR room nao wafunguke na kwakuwa wameanza kuweweseka tutaujua ukweli siku si nyingi. Refa atuambie vigezo VAR room walivyomwambia kuwa sio goli!!

Barua ya Yanga kwa CAF imesaidia sana mechi mbili za robo fainali zilizobaki jana niliziangalia na zilichezeshwa kwa haki na wenye msuli TP Mazembe na Waarabu kupita! Hongera sana uongozi wa Yanga, daima mbele, nyuma mwiko.

Ahsante Sana Bugatti
Simba walianza way back 1993 kupambania haki baada ya Stella Abidjan kuchezesha wachezaji ambao hakuwa kwenye orodha ya usajili.

Kama umeanza kufuatilia mpira juzi, sio rahisi kujua Umuhimu wa Simba katika Soka la Tanzania barani Africa.
 
Bongo hakuna VAR wala goal technology hivyo hakuna kesi kwa refa kuamua anavyoona inafaa, huna akili kama ile aliyonayo mwanao!! Wakati mwingine uwe unaficha ujinga wako yaani we una akili kuliko taasisi nzima ya Yanga? Unafikiri wameandika tu bila kujadiliana nini kiandikwe, Kwani we umesoma sheria St kayumba ya rufiji au mvomero! Punguza ujuaji tuachie kesi yetu haikuhusu!!

Simba mmevurugwa na matokeo ya Yanga baada ya kuvunja rekodi zenu hamna cha kutambia tena.

Na bado, hii ni game ya wanaume, tulia kolo kafute vumbi mbao yenu ngao ya jamii , Yanga wamesema CAF waangalie uwezekano wa match fixing kutokana na viashiria vya haki kutoonekana ikitendeka na sio kuwa Yanga wametuhumu CAF direct acha kupotosha watu, kweli English ni janga la taifa!!

Sikujua kumbe unawaza kwa kutumia nanihii!
Hivi goli la kagera suger unahitaji VAR kujua kuwa lile ni goli?
Hivi ile penality ya Geita ili hitaji VAR ili kujua ile ilikuwa ni faulu badala ya penality?
Na faida ya VAR imeonekana kwenye mechi yenu na ndio maana ikalikataa goli sasa unacho lalamika nini?

Mwaka juzi kwenye mechi ya robo fainal ya shirikisho dhidi ya Orando Simba walifungwa goli la kuotea na refa akaweka mpira kati na VAR ilikuwepo lakini alikataa kwenda kuhakiki.
Mwaka jana kwenye mechi na waydad Balake alifunga goli halali likakataliwa na refa kwa madai ya kuotea lakini haikuwa hivyo , lakini pamoja na hayo yote hatukushudia huu mijadala wa kipumbavu kama tunayo ishuhudia kutoka kwenu sasa hivi.

Kati ya taasisi iliyo jaa vilaza hapa Tz ni Yanga na ndio maana haijawahi kushinda kesi hata moja na hata hii mtashindwa vibaya sana na faini juu.
 
Refa kuwasiliana na VAR ROOM ni jambo la kawaida katika muda wote wa mchezo.
Kuhusu offside ya pale utopolo qzizi alipiga shuti likadunda kwenye mstari wa goli mpira ukatoka nje.mchezaji wa mamelodi akaupiga kichwa ukatoka nje.kipa akauchukua ule mpira.refa akaufuata.akawasiliana na var room.wakasema sio goli.kama ingekuwa sio offside ina maana utopolo angepewa KONA apige.ila kwa kuwa ni off side.refa akampa kipa apige yeye.mnafeli wapi?
Offside mpira ungepigwa Kwa kuwekwa chini, kiufupi goli limekataliwa si Kwa sababu ya offside Bali Kwa Mujib wa var ofcers waliomo room walimdanganya refa kuwa mpira haijavuka mstari, kuhusu kutokuwa Kona napo ni makosa ya refa pia make ule mpira baada ya beki kuupiga kichwa, kipa alienda kuudakia nje lkn refa aliona kama umedakiwa ndani ndomana alimpa kipa aunzishe ukiwa kwenye mikono ya kipa.
 
Mjadala umekuwa mkubwa sana, nafikiri timu zetu zisajili washambuliaji wenye uwezo mkubwa vingenevyo mashabiki watakuwa wanatamanishwa tu. Washambuliaji wa Yanga wangekuwa wazuri Mamelodi wangepigwa home and away. Mechi ya Yanga imewatesa sana wanayanga, kwa jinsi viongozi walivyo serious msimu ujao watafanya usajili mzuri zaidi.
 
Hivi goli la kagera suger unahitaji VAR kujua kuwa lile ni goli?
Hivi ile penality ya Geita ili hitaji VAR ili kujua ile ilikuwa ni faulu badala ya penality?
Na faida ya VAR imeonekana kwenye mechi yenu na ndio maana ikalikataa goli sasa unacho lalamika nini?

Mwaka juzi kwenye mechi ya robo fainal ya shirikisho dhidi ya Orando Simba walifungwa goli la kuotea na refa akaweka mpira kati na VAR ilikuwepo lakini alikataa kwenda kuhakiki.
Mwaka jana kwenye mechi na waydad Balake alifunga goli halali likakataliwa na refa kwa madai ya kuotea lakini haikuwa hivyo , lakini pamoja na hayo yote hatukushudia huu mijadala wa kipumbavu kama tunayo ishuhudia kutoka kwenu sasa hivi.

Kati ya taasisi iliyo jaa vilaza hapa Tz ni Yanga na ndio maana haijawahi kushinda kesi hata moja na hata hii mtashindwa vibaya sana na faini juu.
Umepigwa nje ndani bao 3-0, Unapata wapi nguvu za kujadili mambo ya utopolo?
 
Offside mpira ungepigwa Kwa kuwekwa chini, kiufupi goli limekataliwa si Kwa sababu ya offside Bali Kwa Mujib wa var ofcers waliomo room walimdanganya refa kuwa mpira haijavuka mstari, kuhusu kutokuwa Kona napo ni makosa ya refa pia make ule mpira baada ya beki kuupiga kichwa, kipa alienda kuudakia nje lkn refa aliona kama umedakiwa ndani ndomana alimpa kipa aunzishe ukiwa kwenye mikono ya kipa.
Una uhakika gani kuwa walimdanganya?kwanini unaamini walimdanganya na hakukuwa na goal line technology?
 
Refa kuwasiliana na VAR ROOM ni jambo la kawaida katika muda wote wa mchezo.
Kuhusu offside ya pale utopolo qzizi alipiga shuti likadunda kwenye mstari wa goli mpira ukatoka nje.mchezaji wa mamelodi akaupiga kichwa ukatoka nje.kipa akauchukua ule mpira.refa akaufuata.akawasiliana na var room.wakasema sio goli.kama ingekuwa sio offside ina maana utopolo angepewa KONA apige.ila kwa kuwa ni off side.refa akampa kipa apige yeye.mnafeli wapi?
Jinaa lako linasadifu wajihi wako
 
Umepigwa nje ndani bao 3-0, Unapata wapi nguvu za kujadili mambo ya utopolo?
Bora aliyepigwa nje ndani ana adabu.kuliko huyo utopolo. Anayelalamika dunia nzima.utadhani yeye ndo wa kwanza kufunga goli la utata
 
Mtu amekupotezea bilioni 7. Alafu anasema samahani, alafu iwe imeisha tu kienyeji. Ngoja na mm niende huko insta akaoge mitusi
Mahera alidhulumu uchaguzi mkawa kimya mambo ya kijinga mnaenda kutukana
 
Umepigwa nje ndani bao 3-0, Unapata wapi nguvu za kujadili mambo ya utopolo?
Mm nachukulia mpira kama burudani na ndio maana nikifungwa nakubaliana na matokeo.
Tofauti na nyinyi utopolo mnao uchukulia mpira kama utumwa na ndio maana ni siku ya 3 mnaendeleza mijadala ya kijinga.
 
Back
Top Bottom