Mwamuzi wa Mechi ya Yanga na Mamelodi awaomba Watanzania waache kumshambulia kwa Matusi kwa kuwa si yeye aliyetoa maamuzi ya Kukataa Goli

Mwamuzi wa Mechi ya Yanga na Mamelodi awaomba Watanzania waache kumshambulia kwa Matusi kwa kuwa si yeye aliyetoa maamuzi ya Kukataa Goli

kama ingekuwa sio offside ina maana utopolo angepewa KONA apige.ila kwa kuwa ni off side.refa akampa kipa apige yeye.mnafeli wapi?
Kwa nini ile offside 🐸🐸hawaizungumzii?

Ukiangalia vizuri video inaonesha wazi kuwa Aziz ki alikuwa ameotea.

Mwakarobo juniors watulie tu wametolewa kihalali kabisa
 
Mm nachukulia mpira kama burudani na ndio maana nikifungwa nakubaliana na matokeo.
Tofauti na nyinyi utopolo mnao uchukulia mpira kama utumwa na ndio maana ni siku ya 3 mnaendeleza mijadala ya kijinga.
Mjadala Huu ni mwaka mzima for your information. Yanga imewekeza mabilioni mambo si rahisi kama mnavyowaza makolo mliotolewa kihalali kwa kuzidiwa uwezo uwanjani sote tumeona mkipigwa na Al Ahly kama ngoma na sote tumeshuhudiwa Yanga ikionewa na hata refa mwenyewe anakiri kuna makosa yametokea we unabisha ndo maana tuliwapiga khamsa 5G akili hamna nyie mbumbumbu
 
Unahitaji Daktari wa akili, yani Aziz Ki video inaonesha kapokea Mpira yuko nyuma akaanza kupasua kijiji cha mabeki wa Mamelodi , we itakuwa umecheki mechi kwenye TV yako ya chogo maana hizo TV ndo zilionesha unavyosema!!

Offside watu wanayosema ni mchezaji wa Yanga aliekuwa mbele ambae Aziz Ki hakumuona ye aliliona goli tu na akamtungua kipa Williams, yule mchezaji wa Yanga wala hakupasiwa na wala Aziz Ki hakupiga krosi hivyo yule mchezaji anaedaiwa kusababisha offside hakuingilia mchezo, yaani pamoja na uto sisi kulalamika kuonewa pia mnatupa kazi ngumu ya kuwafundisha soka makolo mbumbumbu kabisa.

Alietolewa kihalali ni Simba ndo maana mko kimya na Africa nzima iko kimya, unataka kusema watu wote ni wajinga kusema Yanga kaonewa hadi wa south wenyewe? We mtu mmoja tu ndo umeona ni halali Yanga kuonewa!! Mbumbumbu ni mbumbumbu tu
Kwa nini ile offside 🐸🐸hawaizungumzii?

Ukiangalia vizuri video inaonesha wazi kuwa Aziz ki alikuwa ameotea.

Mwakarobo juniors watulie tu wametolewa kihalali kabisa
 
Unahitaji Daktari wa akili, yani Aziz Ki video inaonesha kapokea Mpira yuko nyuma akaanza kupasua kijiji cha mabeki wa Mamelodi , we itakuwa umecheki mechi kwenye TV yako ya chogo maana hizo TV ndo zilionesha unavyosema!!

Offside watu wanayosema ni mchezaji wa Yanga aliekuwa mbele ambae Aziz Ki hakumuona ye aliliona goli tu na yule mchezaji hakupasiwa hivyo hakuingilia mchezo, yaani pamoja na kulalamika kuonewa pia mnatupa kazi ya kuwafundisha soka makolo mbumbumbu kabisa
Wewe ulikuweoo uwanjani au na wewe uliangalia kwa chogo screen.

Punguza makasiriko mmeshakuwa Mwakarobo juniors kihalali kabisa.
 
Wewe ulikuweoo uwanjani au na wewe uliangalia kwa chogo screen.

Punguza makasiriko mmeshakuwa Mwakarobo juniors kihalali kabisa.
Tuachieni kesi yetu na CAF nyie tafuteni ushindi wa pili NBC premier league ndo saizi yenu
 
Tukishamaliza kulalamika. Mwanyeto sijui mwameto atolewe unahodha hafai. Nahodha anatakiwa kuwa ngangari na sio muoga muoga
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mashabiki wa uto ni wapumbavu na wajingaa.
Wakwendree kulee, wamuache refa wa watu.
 
Ac
Dooh. Injinia hersi ana mashabiki mizigo sana.ndo maana sishangai kuwaona mkikimbizana mitandaoni kutukana watu.
OK club bingwa africa na shirikisho tanzania ilikua inatoa timu mbili.
Baada ya simba kufanya vizuri caf points zikaongezeka tukawa tuna peleka timu 4.
Sawa utopolo?
Acha umbumbumbu wako sasa kupeleka timu 4 madunduka kaibebaje yanga? Rage uje huku amepatikana mmoja 😂😂😂
 
Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee (VAR)

Mwamuzi huyo ameeleza hayo wakati aki-chat Instagram na Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara...

Mwamuzi Beida Pahane ameweka wazi kuwa wakati wa faulo ya lomalisat wanao-control VAR walishindwa kutoa maamuzi hivyo walihitaji msaada wake ndio
maana aienda kuwasaidia lakini Kwenye Goli la aziz.ki hakwenda kuthibitisha kwenye VAR kwa sababu haikuwa kazi ngumu kwa wanao-control VAR kutoa maamuzi,
walimueleza mapema kuwa sio goli, hivyo kama kuna makosa yoyote walaumiwe wao.

Mwamuzi Beida Dahane amefunguka kuwa hawezi kuomba msamaha kwa Watanzania kwani hakuhusika katīka maamuzi, kama kuna kosa lolote amefanya basi
ataomba msamaha kwa Mungu..


Mwamuzi Beida Dahane amesisitiza kwamba yeye ndiyo anatakiwa kuombwa msamaha maana anashambuliwa sana kutokana na sakata hili, wakati wanaotakiwa
kushambuliwa ni watu wa VAR...

View attachment 2956306


CHAT ZA DM KATI YA HAJI NA MWAMUZI..

View attachment 2956309
View attachment 2956310
View attachment 2956311
View attachment 2956312View attachment 2956313
Watanzania ni wajinga

Wameonja mambo ya Goli la Mkono ambayo wanajidaia kunyanyasia Wanyonge kwenyw Sanduku la Kura.

Vipi Wana Yanga inauma sana??
 
Goli lilifungwa dakika ya 57, maamuzi kaja kuyafanya dakika ya 62. Muda wote huo wa dakika 5 mpira ulikuwa umesimama. Je, hakuona sababu ya yeye mwamuzi wa kati kwenda kuangalia mwenyewe kwenye VAR wakati ilikuwepo just pale pembeni ya Uwanja? Yaani tukio linalopelekea mpira kusimama kwa dakika 5 refa haoni ulazima, udadisi wala umuhimu wa kushuhudia tukio hilo?

Mbaya zaidi, mpira ule uliporudi uwanjani ulitolewa nje na mchezaji wa Mamelody Sundowns, lakini mwamuzi alipokataa goli na kuamuru mpira uendelee aliwapa Mamelody wauanzishe badala ya kuamuru Yanga wapige kona.

By the way, Hongera sana DR Mambo Jambo Kwa kulishikia kidedea swala hili na kuleta updates kwa kila hatua na kwa kila kinachojili. Ingawa wewe ni upande ule mwingine.

Saludo!
Mambo ya NEC haya......Tanzania tuna vuna tunachopanda hadi Nje ya mipaka yanatukuta
 
Kwa mara ya kwanza Mwamuzi wa kati aliyechezesha mechi ya juzi kati ya Mamelodi Sundowns na Yanga Beida Dahane raia wa Mauritania amefunguka kwamba
asilaumiwe kwa lolote lile kwenye sakata la goli la Aziz ki kukataliwa bali lawama zote ziwaendee waliokuwa wana-control Video Assistant Referee (VAR)

Mwamuzi huyo ameeleza hayo wakati aki-chat Instagram na Aliyekuwa Msemaji wa Yanga Haji Sunday Manara...

Mwamuzi Beida Pahane ameweka wazi kuwa wakati wa faulo ya lomalisat wanao-control VAR walishindwa kutoa maamuzi hivyo walihitaji msaada wake ndio
maana aienda kuwasaidia lakini Kwenye Goli la aziz.ki hakwenda kuthibitisha kwenye VAR kwa sababu haikuwa kazi ngumu kwa wanao-control VAR kutoa maamuzi,
walimueleza mapema kuwa sio goli, hivyo kama kuna makosa yoyote walaumiwe wao.

Mwamuzi Beida Dahane amefunguka kuwa hawezi kuomba msamaha kwa Watanzania kwani hakuhusika katīka maamuzi, kama kuna kosa lolote amefanya basi
ataomba msamaha kwa Mungu..


Mwamuzi Beida Dahane amesisitiza kwamba yeye ndiyo anatakiwa kuombwa msamaha maana anashambuliwa sana kutokana na sakata hili, wakati wanaotakiwa
kushambuliwa ni watu wa VAR...

View attachment 2956306


CHAT ZA DM KATI YA HAJI NA MWAMUZI..

View attachment 2956309
View attachment 2956310
View attachment 2956311
View attachment 2956312View attachment 2956313
Hahahaa.....pale aliposema You didn't go to Overlook
 
Back
Top Bottom