Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona Fomu za wagombea zingine ziko huko Chadema Kwa nini ashoboke na ya CCM?Watu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda .
Mwana ccm ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
Huyo ni mwanaccm. Katiba haitamki form itolewe moja ila kwa kila mwanachama mwenye sifaMbona Fomu za wagombea zingine ziko huko Chadema Kwa nini ashoboke na ya CCM?
Achague Chadema shida nini?Huyo ni mwanaccm. Kayiba haitamki form itolewe moja ila kwa kila mwanachama mwenye sifa
mpina Jr. sioWatu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda .
Mwana ccm ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.

Watu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda .
Mwana ccm ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
Huu ndiyo ukweli.Watu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda .
Mwana ccm ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
Tuambie mwana CCM kindakindakiInasemaje?
Fomu 1Tuambie mwana CCM kindakindaki
Chama cha machawaWatu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
Jamaa ana hoja nzito.tunasubiri MajibuWatu ndani ya CCM wamechoka sasa na kuondoa uoga uliotanda.
Mwana CCM ameamua kumwaga mboga bila kujali nini yatamtokea mbele ya safari.
Amchana Nchimbi na viongozi wote waliopo nyuma ya uchaguzi ujao kuwa wanavunja Sheria ya CCM.
Demokrasia ya fomu moja??Huyu amediriki kusema kwani ndio demokrasia.Hivi Mbowe huwa anagombea na nani na ameshinda mara ngapi Uenyekiti wa Chadema?Au ni Mwenyekiti wa kudumu mpaka kufa?
A pot calling a kettle black.