Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi jamaa huwa ni balozi wa masigara au ndio ujanja?Kwenye video kaweka masigara sigara yake, imekua kama uchafu kwny video
Huu wivu wako je utamfanya asipate pesa? Acha chuki za kifala weKwenye video kaweka masigara sigara yake, imekua kama uchafu kwny video
Humu watu mna wivu aisee! Ndiyo 90 percent wa member humu ni ni masikini wa mali na akili! Jukwaa la kipuuzi sana hiliHuyu jamaa kashaacha uchawa kwa yule jamaa wa gsm!?
Konde mwanzo mwisho anabanja tu [emoji3][emoji3]Nasikiliza huu ujio mpya wa Mwana FA ft Harmonize.
Kweli Mwana FA ni Jay Z tulienae. Punchline[emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Mipango Babaa sihitaji shida na wana ,Mipango ya Namba.Huyu jamaa kashaacha uchawa kwa yule jamaa wa gsm!?
Wacha kupoteza furaha yako kwa vitu visivyo faida nawe. Utateseka sana nchi hii.nilikuwa na mkubari sana mwana FA ila alivoingia ccm tu na kupata ubunge wa vimemo na nyimbo zake zote mpaka zile za nyuma nikazichukia sababu zimekaa kiccm
Beat imekaa kizee mno,P funk haezi tengeneza upuuz kama ule
Itakua beat ya Bei rahisiGachi B hamna kitu
Tunatoa maoni, hujaZuiliwaHuu wivu wako je utamfanya asipate pesa? Acha chuki za kifala we
Kaharibu sana, dressing code yake mbaya mno haifanani na location kabisaKonde kaharibu shooting
Hata wewe mpuuzi, kama sio mpuuzi unafanya nini humu?Humu watu mna wivu aisee! Ndiyo 90 percent wa member humu ni ni masikini wa mali na akili! Jukwaa la kipuuzi sana hili
Hivi jamaa huwa ni balozi wa masigara au ndio ujanja?
Baada ya kuzichukia umenufaika nininilikuwa na mkubari sana mwana FA ila alivoingia ccm tu na kupata ubunge wa vimemo na nyimbo zake zote mpaka zile za nyuma nikazichukia sababu zimekaa kiccm