Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 78,790
- 128,275
Nani anayo nini?Si kweli anayo.
Andika sentensi kamili basi.
Unafukuzwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nani anayo nini?Si kweli anayo.
Labda ni Advanced diploma enzi hizoJenista Mhagama waziri wa nchi ofisi ya Rais Utumishi...
Diploma ya ualimu vuuuu Masters
Jionee...
Mimi naijua historia ya Tanzania ila sema labda sifikii kiwango chako .Na nauhakika wanaoijua kukuzidi ni malaki ya watu lakini sioni kama wanahaki ya kusema hujui historia kwa kutoijua data 1.Jifunzen kukosoa kwa staha .unataka sema wewe unajua kila kitu kuhusu historia ya Tanzania .Basi, nishajua kwa nini hatuelewani.
Hujui historia ya Tanzania.
Ingawaje sina hakika kama chuo kilichompa masters ni chuo halisi au ni kati ya vyuo vyenye kugawa masters na Ph.D. kama njugu, napena kusema kuwa inawezekana kupata master degree bila kuwa na bachelors degree. Napenda ikumbukwe kuwa advanced diploma zilizokuwa zinatolewa na vyuo kama Mzumbe, IFM, Ustawi na vinginevyo, diploma zake zilikuwa zinatambulika kulinana na bachelors degree katika vyuo vya USA, Australia, Uingereza, n.k. Wanafunzi wangu wengi waliyopata advanced diploma walienda USA, UK., na kwingneko na kupata masters na Ph.D. hata kabla yangu. Kwa hiyo mheshimiwa siyo wa kwanza kupata masters bila bachelors degree.Mbunge wa Muheza, Mwana FA alipataje Master's Degree bila kuwa na Bachelor degree?
Inashangaza sana hiiwww.jamiiforums.com
Kama alipata advanced diploma basi tungeona ordinary diploma apo kwenye CV yake, inawezekana vipi kutoka certificate to advanced diplomaIle ni Advanced Diploma in insurance siyo diploma jombaa admin wa bunge alichemka
Hujafikia kiwango cha kujibizana nami.Mimi naijua historia ya Tanzania ila sema labda sifikii kiwango chako .Na nauhakika wanaoijua kukuzidi ni malaki ya watu lakini sioni kama wanahaki ya kusema hujui historia kwa kutoijua data 1.Jifunzen kukosoa kwa staha .unataka sema wewe unajua kila kitu kuhusu historia ya Tanzania .
Hiyi adv ..kasoma akiwa star..wako kwenye peak...hadi akaanza kazi nbc pale posta tunamuona...Kama ana Advance Diploma hivi kama sijakosea , all in all jamaa ana kichwa na akili zake
Kama alipata 1st class yawezekana. Ila mmmhhhh....Kama alipata advanced diploma basi tungeona ordinary diploma apo kwenye CV yake, inawezekana vipi kutoka certificate to advanced diploma
Yap! Na ndio nakumbuka hivyo, JF watu wanapenda kuandika ili waonekane nao wamoHiyi adv ..kasoma akiwa star..wako kwenye peak...hadi akaanza kazi nbc pale posta tunamuona...
Sawa .Hujafikia kiwango cha kujibizana nami.
Kwa kazi inayohitajika, nitahitaji unilipe nikurudishe darasani.
Na kwa sasa sina muda wala nishati ya kufundisha historia.
Kukosoa kwa staha ni muhimu kwako, si kwangu, hivyo usinipandikizie staha zako kwangu.
Mimi naweka kipaumbele kwenye kukuambia ukweli kuliko kukustahi kwa fake modesty.
You should learn to appreciate that.
Hamna utaratibu huo mkuu, sawa na kujenga msingi alafu ukaanza kupaua wakati kuta hatuzioni.Kama alipata 1st class yawezekana. Ila mmmhhhh....
Yule wa kule Peramiho anayo degree ?Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Hizo, Ni Kweli AnazoAwe na shahada au asiwe na shahada, kwangu hilo si la muhimu sana.
Kama ana uwezo mzuri wa utendaji kazi kwa uadilifu, inatosha.
Lililo la muhimu kwangu ni kama kweli anazo hizo sifa za kitaaluma zilizoainishwa hapo.
Ni kweli ana Master’s? Ni kweli kasoma na kuhitimu kwenye hizo taasisi?
Unajuaje hana refa?FA awe mfano wa kupigiwa mfano kwa vijana wengine sio lazima uwe na refa au a stellar background kukaa meza Moja na wakuu.
Hakujawahi kuwa na advanced diploma in Education..na ingekua hivyo ingeandikwa. Mzumbe walikua wanatoa advanced diploma those days na iliandikwa.Labda ni Advanced diploma enzi hizo