Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree

Hana Bachelors degree, ila ana Masters degree; swali lililopo hapa ni hilo

"Mwana FA: Waziri Pekee kwenye Baraza la mawaziri asiye na Degree"​

basi aambie mods warekebishe waandike hivyo kwamba ni waziri pekeeasiye na B.degree. ana elimu ya kuunga unga amesoma Adv Dipl. na masters ndani ya miaka mitatu
 
basi aambie mods warekebishe waandike hivyo kwamba ni waziri pekeeasiye na B.degree. ana elimu ya kuunga unga amesoma Adv Dipl. na masters ndani ya miaka mitatu
.... Siyo jukumu langu ila najua kuwa ana Masters degree aliyopata Coventry University, ambacho ni chuo chenye accreditation inayotambulika duniani.

Elimu yake siyo ya kuunganunga kama unavyodai. Nimeangalia profile yake pale Bungeni ni kuwa alimaliza miaka mitatu ya undergradte IFM alikopatia diploma akajiunga na Coventry kwa mwaka mmoja kupata Masters. Ni rekodi iliyonyooka labda kama wewe una taarifa tofauti.

1716819965771.png
 
DALALI MKUU usichoelewa ni kua miaka hiyo IFM haikua na bachelor degree kama ilivyo sasa, ila walikua na Advance diploma ambayo ndo hiyo kapata FA, na hiyo ni equivalent to degree ya sasa.
Na sasa IFM waliachana na huo mfumo nao wana degree pia.

Hapo Kiranga kamuongelea Nyerere nadhani nae alipata kitu kama hii ndio maana wana masters.

Japo no kawaida ya wabongo kubeza waliofanikiwa kuwazidi ila ni vyema tukawa na taarifa sahihi ama lah kuruhusu mbongo zipokee mambo +ve kuhusu waliotuzidi kuliko kufumbata -vity tu, na kuwaatack kwa wivu tu.
 
DALALI MKUU usichoelewa ni kua miaka hiyo IFM haikua na bachelor degree kama ilivyo sasa, ila walikua na Advance diploma ambayo ndo hiyo kapata FA, na hiyo ni equivalent to degree ya sasa.
Na sasa IFM waliachana na huo mfumo nao wana degree pia.

Hapo Kiranga kamuongelea Nyerere nadhani nae alipata kitu kama hii ndio maana wana masters.

Japo no kawaida ya wabongo kubeza waliofanikiwa kuwazidi ila ni vyema tukawa na taarifa sahihi ama lah kuruhusu mbongo zipokee mambo +ve kuhusu waliotuzidi kuliko kufumbata -vity tu, na kuwaatack kwa wivu tu.
Kwa Nyerere, degree ya kwanza ya University of Edinburgh ilikuwa inaitwa Masters. Yani hata angetoka sekondari A Level na kwenda kwenye hiyo degree angemaliza na kupata Masters.

Nimeweka kitabu cha Profesa wa University of Edinburgh Thomas Molony "Nyerere : The Early Years" kaelezea hilo vizuri.

Nyerere hakuwa na Masters kwa maana ya degree ya pili, alikuwa na degree ya kipekee, ni kama Bachelor inayoitwa Masters.

Na yeye hata hakujisumbua kuwaelezea Watanzania kwamba Masters yake si degree ya pili, ni degree ya kwanza.
 
Hiz elimu zitawatoa watu roho, sasa hiyo ndiyo SiiVii gani sasa🤣
 
Elimu ya vyuo vya nje huwa havina complication, vina utaratibu wa kuvusha watu darasa kutokana na uwezo fulani wa muhusika; unaweza kuta kijana wa miaka 23 ana Phd.
Na ndio wavumbuzi wakubwa wakati sisi tuna kina kabudi.
 
Back
Top Bottom