MtamaMchungu
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 8,974
- 12,662
Kuna makosa mengi sana kwenye hiyo WebsiteKwanini mkuu fafanua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna makosa mengi sana kwenye hiyo WebsiteKwanini mkuu fafanua
Ulikuwa ukisoma advance diploma, unakwenda kufanya shahada ya pili moja kwa mojaHata hiyo historia ya aina yake si ya aina yake hivyo.
Nyerere alitoka Makerere na Diploma, akaenda Edinburgh akatoka na Masters, hivyo hivyo.
Kwa hivyo ni vitu vilivyofanyika miaka mingi tu, hata kabla ya uhuru.
Amejitahidi kuunga unga mpaka ametoboa. Enzi hizo wanapigana vijembe na akina Lady Jaydee kwenye wimbo wa wanaume kama mabinti, hata usingeweza kumdhania kama angefika hapo alipo.
Yes,Kuna makosa mengi sana kwenye hiyo Website
Ukiangalia mtililiko Ni from IT certificate then Ordinary diploma ya insuranceUlikuwa ukisoma advance diploma, unakwenda kufanya shahada ya pili moja kwa moja
Hapana. Nyerere hana shahada ya pili.Ulikuwa ukisoma advance diploma, unakwenda kufanya shahada ya pili moja kwa moja
Inawezakana...kama ni Masters nina uhakika, tulikuwa wote IFM at the same time, ila sio class mojaYes,
Changamoto hazikosekani hususani in third world countries
Kwa muda mwingi na ukisoma comments za wadau wanasema means FA alitoka ordinary diploma ya insurance mpk masters ya finance
Mkuu
Kiranga alisema kua kwa ulaya Ni sawa mtu anaweza kusoma ordinary diploma mpaka masters
Hata Advanced Diploma inakubalika ukitaka kusoma Post Graduate diploma. Wewe Phd uliipataje kama kitu kidogo kama hiki hujui?Post graduate diploma unasoma ukiwa na DEGREE na hata kwenye ku apply post graduate diploma kigezo Ni degree ya kwanza E.g Mimi ninayo moja ya FINANCE nilitumia degree ku apply nikasoma mwaka mmoja then nikafaulu na kufanikiwa kuipata
Mtililiko ❌, mtiririko ✅..... we jamaa hiyo PhD uliipatia Gambosh?Ukiangalia mtililiko Ni from IT certificate then Ordinary diploma ya insurance
Angalia mtililiko
Aliwahi kuitwa MwanaFAtuma 🤣Amejitahidi kuunga unga mpaka ametoboa. Enzi hizo wanapigana vijembe na akina Lady Jaydee kwenye wimbo wa wanaume kama mabinti, hata usingeweza kumdhania kama angefika hapo alipo.
Umejiuliza na kujijibu mwenyewe 😊 siitaji battleHata Advanced Diploma inakubalika ukitaka kusoma Post Graduate diploma. Wewe Phd uliipataje kama kitu kidogo kama hiki hujui?
Wakati mwingine kwenye uandishi tunakosea kwani wewe mjukuu wa kujitegemea wa mama Samia hukosei😊Mtililiko ❌, mtiririko ✅..... we jamaa hiyo PhD uliipatia Gambosh?
Ila sikuwa namrefer Nyerere. Hata hapa Tanzania kwa baadhi ya fani uikuwa ukifanya advanced dipoma, ilikuwa ni equivalent na shahada ya kwanza, ulikuwa unaendelea na shahada ya pili moja kwa moja.Hapana. Nyerere hana shahada ya pili.
Ana shahada ya kwanza inayoitwa Masters. It's a weird and ancient degree from Scotland.
Kasome kitabu cha Profesa wa The University of Edinburgh anaitwa Timothy Molony, kitabu kinaitwa "Nyerere: The Early Years". Humo utakuta mpaka maksi alizopata Nyerere.
Inawezekana kwa wenzetu huko nje ilikuwa inawezekana, ila kwa hapa Tanzania ukiwa na ordinary diploma ni lazima ufanye shahada ya kwanza kabla ya kuendelea.Ukiangalia mtililiko Ni from IT certificate then Ordinary diploma ya insurance
Angalia mtililiko
Ko ukiwa na advanced diplom ndo usome masters nyie acheni kutuchora sema ndoiv jamaa kajitahid kuunga mpk kafik ila iyo masters yake ndo inaleta utata maybe ipo ivo tusibishe sanaInawezekana kabisa na itakuwa diploma yake ni Advanced Diploma, si jambo la kushangaza wala.
Afadhali ya Mwana FA, enzi zake akiwa Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB) taarifa za Freeman Aikaeli Mbowe za kielimu katika Tovuti Rasmi ya Bunge ilikuwa "ANAJUA KUSOMA NA KUANDIKA" tu! Ahahahahaha! Usisahau hapo King Musukuma ni LA SABA! Kudadadeki!! Ahahahahaha!!!!Mwana FA anaweza Kuingia kwenye Historia ya aina yake, kwanza kwa Kusoma Masters bila kuwa na Degree lakini pia Kuwa waziri asiye na Degree katika baraza la Mawaziri
Hivi ilikuaje akasoma masters bila kuwa na Degree, inawezekana?
hii ndiyo CV yake kwa mujibu wa tovuti Rasmi ya Bunge
Education History :
School Name/Location Course/Degree/Award From To Level Coventry University Masters of Science in Finance 2009 2010 Masters Degree Institute of Finance Management (IFM). Diploma in Insurance 2004 2007 Diploma Institute of Finance Management (IFM). Certificate in Infromation Tehnoloy 2003 2004 Certificate
Muhariri ❌, mhariri ✅Wakati mwingine kwenye uandishi tunakosea kwani wewe mjukuu wa kujitegemea wa mama Samia hukosei😊
ndio maana wauzaji wa content wote ulimwenguni WAMEAJIRI WAHARIRI 😅
asante ndugu muhariri MamaSamia2025
Sawa nakubali,Muhariri ❌, mhariri ✅
Dogo kwa elimu yake ndogo na umaskini aliokulia lakini kafanikiwa kuunda kampuni kubwa kama wasafi ambayo imeajiri watu wengi sana, na sio wasafi tuu kuna mengi na wengi mnajua sina haja kuyaongelea, kama sio akili nyingi ni nini? dont hate brotherUnasema anaakili sana kwa kutumia vigezo gani