Heaven Sent
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 32,682
- 98,253
bi mkubwa nimesoma maelezo ya Mentor hapo juu, fanya tu uwe unaenda kwake. Kwanza huwa anapika mwenyewe (how sweet), pili kila ukiwa unaondoka kuna at least 50k yako. Mungu akupe nini tena, mengine yatayokupata huko ni ajali tu kazini tehBahati mbaya alivyotaja situmii, so mie bado ni mgeni wako shemeji, na ratiba ishakamilika.