Mwana J.F..Unakula Tsh.ngapi kwa siku?

Mwana J.F..Unakula Tsh.ngapi kwa siku?

Asubui- Mihogo/Chapazi za 500.
Mchana- Ugali na mboga za majani. 1500.
Usiku Ugali na maharage 1200.
Jumla 3200/-
 
Food lovers.

Aisee hiyo kitu niliikutaga kwenye malls za wenzetu mamtoni huko...sikujua na bongo kuna places kama hizo!

Vipi gharama zake wanatupiga au fair???

Lazima nipatafute hapo mahali aisee...
 
Weekdays
Tsh. 10,000 - 15,000

Weeknd

Tsh. 30,000 -100,000
Kwa kweli weekend hasa jumamosi nimeamua niiache kwasababu huwa inatumika bajeti kubwa kuliko ya wiki nzima! Sometimes unarudi home huamini umetumia kiasi fulani kirahisi tu.
 
Aisee hiyo kitu niliikutaga kwenye malls za wenzetu mamtoni huko...sikujua na bongo kuna places kama hizo!

Vipi gharama zake wanatupiga au fair???

Lazima nipatafute hapo mahali aisee...
Somehow fair kulingana na quality ya sehemu.
 
Kwa kweli weekend hasa jumamosi nimeamua niiache kwasababu huwa inatumika bajeti kubwa kuliko ya wiki nzima! Sometimes unarudi home huamini umetumia kiasi fulani kirahisi tu.
Yamenitokea jana. Leo nataka nitumie minimum yangu. Ila unaweza kupanga hivi . Ila ukienda kutembea inatokea vile......
 
Labda kutonana na umri wako 23years (Umezaliwa:1993) ndio unaona hiyo pesa per day ni nyingi,nakumbuka kuna dingi glani miaka ya 95' alikuwa anatumia 50,000/= per day tulikuwa tunashangaa sana kama wewe unavyoshangaa sasa.
Hahahahaaaaa
Yan wewe mda wote ulioishi hapa duniani unakula 45Elf Tumbo lako lina ukubwa gan...!??
 
Yamenitokea jana. Leo nataka nitumie minimum yangu. Ila unaweza kupanga hivi . Ila ukienda kutembea inatokea vile......
Jumapili huwa sitoki at least kupunguza unnecessary spending. Saturday kuna mambo ya mpira ukiunganisha na night life ukijicheki 100k kwishney!
 
Mi najishangaa sana kwann siendelei kwa sababu kipato changu km tsh 60,000 per day na matumizi yangu pamoja na mkopo wa bank ni 35000 lkn sipigi hatua karibu miaka miwili mambo yamesimama sijui kwann wakuu.
kaandike (malengo yako) vtu unavyovitaka ufanye kwenye kioo unachojtizamia geto au andika kwenye mlango wa rum upande wa ndani.
 
Labda kutonana na umri wako 23years (Umezaliwa:1993) ndio unaona hiyo pesa per day ni nyingi,nakumbuka kuna dingi glani miaka ya 95' alikuwa anatumia 50,000/= per day tulikuwa tunashangaa sana kama wewe unavyoshangaa sasa.
Wewe una umri Gani?
 
Asubuhi 2000 supu mchana 2000 ugali
Jioni 2000 wali safari moja 2500 Na maji kutwa nzima 1500 matumizi kwa siku ni 10,000/=•
 
Kwa kweli weekend hasa jumamosi nimeamua niiache kwasababu huwa inatumika bajeti kubwa kuliko ya wiki nzima! Sometimes unarudi home huamini umetumia kiasi fulani kirahisi tu.


Hahaha weekend ni shida kwa kweli..hapo ndo unapotamani uwe umeoa maana kupika unaona uvivu na njaa unasikia, unaishia kwenda kula chakula hata hushibi ila ghali!

Yani mimi huwa napanga kabisa..asubuhi nikiamka nitachemsha samaki ninywe supu na chapati, baada ya hapo samaki wawili nitawaunga vizuri nitengeneze mchuzi wa kutosha lunch na jioni.

Labda najisemea leo nitapika wali kwenye rice cooker wa kutosha mchana na jioni. Nikitoka gharama ni vinywaji tu tena mimi hata vilevi situmii so kichwani bajeti ni ndogo mno.

Subiri uamke sasa...mara RRONDO amekupitia mnaenda kunywa mtori Liquid kule Kigamboni...ukirudi hapo umechoka na uvivu juu wala samaki huwakumbuki..unaishia kwenda kula nje the rest of the day!!! Tena usiombe hiyo siku kuwe na games jioni ndo kabisaaa jiko litakusikia tu kwa jirani...weekends ni mbaya sana aisee kwa mifuko ya bachelors wengi!!!
 
Back
Top Bottom