Mwana J.F..Unakula Tsh.ngapi kwa siku?

Mwana J.F..Unakula Tsh.ngapi kwa siku?

[1]-Asubuh-supu ya kuku 5000+1300 ya maji k/njaro.
[2]Mchana-wali samaki/maini sh 6000+2500 maji na matunda.
[3]Usiku-mayai 6 ya kienyeji sh3000+4000 mboga za majani,matunda na maji.
jumla 22000/=tu but per day naingiza faida ya 150K
 
Mkuu unless hii picha umedownload tu naomba nikuulize swali...

Kwenye hizo sauces hapo chini kulia, hiyo ya kijani nimeiona kwenye mexican joints nyingi, huwa ni nini!??
Mkuu kiswahili chake sikijui ila hapo kuna mchanganyiko wa

-basmati rice
-naan
-(a pita-like bread)
-grilled meats
-samosas
-dosai
 
Mm matumizi yangu kwa siku huwa yanaangalia jana yake nimeingiza kiasi gani mfukoni
 
Asubuhi supu 500 + chapati 400 = 900
Mchana ugali 1000 + maji kandoro 200 = 1200
Jioni ugali 1000 + miguu ya kuku 500= 1500
Viroba 1000 + sigara 500

Jumla 5100.

Daaah kwa bajeti hiyo we nimchumi wa uhakika mkuu.
 
Kati ya 5,000/- hadi 6,000/- per meal, hiyo ni lunch na dinner, breakfast labda jumamosi. Na bia mbili usiku nanywea nyumbani 6,000/-. Wastani ni 18,000/-. Weekend inategemea ila nikitoka sio zaidi ya 50,000/- kwa siku hizi kwa vile nimepunguza sana kampani
 
Hahaha weekend ni shida kwa kweli..hapo ndo unapotamani uwe umeoa maana kupika unaona uvivu na njaa unasikia, unaishia kwenda kula chakula hata hushibi ila ghali!

Yani mimi huwa napanga kabisa..asubuhi nikiamka nitachemsha samaki ninywe supu na chapati, baada ya hapo samaki wawili nitawaunga vizuri nitengeneze mchuzi wa kutosha lunch na jioni.

Labda najisemea leo nitapika wali kwenye rice cooker wa kutosha mchana na jioni. Nikitoka gharama ni vinywaji tu tena mimi hata vilevi situmii so kichwani bajeti ni ndogo mno.

Subiri uamke sasa...mara RRONDO amekupitia mnaenda kunywa mtori Liquid kule Kigamboni...ukirudi hapo umechoka na uvivu juu wala samaki huwakumbuki..unaishia kwenda kula nje the rest of the day!!! Tena usiombe hiyo siku kuwe na games jioni ndo kabisaaa jiko litakusikia tu kwa jirani...weekends ni mbaya sana aisee kwa mifuko ya bachelors wengi!!!
Weekend ijayo arsenal vs man utd, huwa naangalia big games Samaki Samaki early kick off so mpira plus lunch at least 20k, game ya saa 1800,2030 hapo itabidi npige na dinner hapi hapo another 20k. Mpira unaisha saa tatu na nusu hivi wale wa usiku wanaanza kuingia panapendeza inabidi nijiunge nao hadi sita au saba hivi another 20k assuming im alone and not interest with anyone minimum budget 60k.
 
Asubuhi supu 500 + chapati 400 = 900
Mchana ugali 1000 + maji kandoro 200 = 1200
Jioni ugali 1000 + miguu ya kuku 500= 1500
Viroba 1000 + sigara 500

Jumla 5100.

Hahaa...Hiyo menu ya jioni, ugali na miguu ya kuku imenichekesha sana, duu!
 
Weekend ijayo arsenal vs man utd, huwa naangalia big games Samaki Samaki early kick off so mpira plus lunch at least 20k, game ya saa 1800,2030 hapo itabidi npige na dinner hapi hapo another 20k. Mpira unaisha saa tatu na nusu hivi wale wa usiku wanaanza kuingia panapendeza inabidi nijiunge nao hadi sita au saba hivi another 20k assuming im alone and not interest with anyone minimum budget 60k.


Halafu kumbe kweli bana nikajua anatuuzia chai: Hivi vyakula naweza kuvipata Uingereza?

Hiyo mechi naisubiria kuliko game yetu aisee.

Haha samaki samaki duh kuna jamaa yangu hivi anapendaga kusema KUUPATA UKIMWI NI HADI ULOGWE yeye hadi kapewa jina hapo samaki samaki (vile vibao vilivyobandikwa). Pale si sehemu ya sport sport maana lazima uchojoe noti tu. Mimi nikitumia hela nyingi kwa Kigamboni kwetu nimeenda beach Kipepeo kiingilio 5k na msosi kama pork 16k unaweza kula ukawaambia wakuwekee ule tena baadaye...huwa sipendi sport sport kwenye hela yangu sibakizi change!!!
 
Kwa hiyo tang'ana anakula 154k kwa siku!?? Au maisha ni ghali kiasi hicho huko UK???
Hamna kitu kama hicho. Kfc 4pc meal +pepsi £3.99 mchana umepita. Jioni anapita kwa wapakistan ananunua chips+wings+pepsi £3.99. Less than £8 amekula mchana na jioni na anapiga box minimum £7/hr.
 
Huu uzi ukichangia sanaa utaonekana unatafuta sifa au unawatenga mademu!! Kumbe ni maisha halisi ya watu wanayoishi

Hapa naona wameweka hela ya msosi tu na bajeti ya vinywaji hamtumii baada ya msosi
 
... assuming im alone and not interest with anyone minimum budget 60k.

Hahaha uoe tu mkuu hahaha.

shemeji yako alikuwaga Arsenal ilikuwa raha sana kwenda naye kucheki games. Masharti yake yalikuwa nivae jezi ya Arsenal na yeye avae ya kwangu ya Chelsea. Msimu uliopita ulikuwa raha maana nikimcheka leo wikiendi ijayo nakula kichapo.

Ila anasaidia sana kupunguza bajeti za kijinga za mupe muruke.

Siku asipoenda mechi ikikaribia kuisha tu utapokea sms: Baby kwani mechi haiishi tu.

Yani alikuwa updated hadi alikuwa na app ya livescore sema mwishoni nilimbadilishia timezone akawa haelewi inaendaje endaje..sipendagi ujinga wakati mwingine..dah umenikumbusha machungu mkuu!!doh
 
Halafu kumbe kweli bana nikajua anatuuzia chai: Hivi vyakula naweza kuvipata Uingereza?

Hiyo mechi naisubiria kuliko game yetu aisee.

Haha samaki samaki duh kuna jamaa yangu hivi anapendaga kusema KUUPATA UKIMWI NI HADI ULOGWE yeye hadi kapewa jina hapo samaki samaki (vile vibao vilivyobandikwa). Pale si sehemu ya sport sport maana lazima uchojoe noti tu. Mimi nikitumia hela nyingi kwa Kigamboni kwetu nimeenda beach Kipepeo kiingilio 5k na msosi kama pork 16k unaweza kula ukawaambia wakuwekee ule tena baadaye...huwa sipendi sport sport kwenye hela yangu sibakizi change!!!
Kipepeo kuna football? Nianze kuja. Kule south beach 10k kiingilio halafu kuna vitu vya plastic vya pepsi kama huku kwetu kwenye vibanda umiza.
 
Piga hesabu Asubuhi hiyo
14991179_702198949938535_462541079255427063_o.jpg
Unakula aloo masala na ghobi masala pamoja na naan miksa mint chatney asubuhi?[emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom