Mwana J.F..Unakula Tsh.ngapi kwa siku?

Sitaki kuhesabu hela niliyo tumia sababu machungu nayopataga ni hatari
 
unategemea na uchum mwaka jana nilkuwa na2mia milion 1 kwa cku ila kaz ninazobika mwaka huu nasahau had kula xo huwa na2mia 3000[emoji26] [emoji26] [emoji26]
 
Asubuh = Chapati + supu =3500

Mchana = Wali + Maini + maji =4500

Jioni = Wali + samaki + maziwa+ maji=5000

Vocha + usafiri = 3000

Total~16000
 
  1. Cofee marrybrown: Cappuccino = 4500/=
  2. Nakula chochote gharama hua inachezea 3500 - 13,000/= inategemea na siku
  3. Maji: Nakumat = 900 * 2 = 1800
 
Teh teh teeeeeh!!! Nikijifungia ndani usinishangae.
 
[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]
 
Wabana matumizi... Wa kujiachia leo tukutane hapa.

Kutokujua unatumia kiasi gani kwa siku hata kwa chakula unachokula mwenyewe....
Mkuu,

Badilisha kichwa cha habari yako kisomeke " ......... unatumia Shilingi ngapi kwa ajili ya kununulia chakula ........"

Kaka ...
 
asbuhi 3,chapati, 600 mchana 6,ndizi mbivu 600 usiku ugali wa dona maharage samaki na parachichi moja 5000, vocha 1000
 
Mimi ni mwanachuo ndo kwanza first year..... Kwa siku naweza kutumia 4000 mpk 4500 huku nikiwa nangojea boom au hela za magufuli.... Ili niweze kutumia 6000 kwa siku
 
Na kuhusu vocha nawashukuru sana halotel maana ka vocha kangu ka jero mb 600 ambazo natumia ku peruzi peruzi jamii kujifunza vitu vipya na maoni ya raia pia ku google baadhi ya vitu bila kusahau kujibu jibu message za whatsapp....... Naweza tumia siku tatu mpk nne hzo mb 600
 
Laki 3 kwa wiki kwenye vyakula na vinywaji, mimi na familia
 
Hiyo gharama inatutosheleza kabisa wawili jirani.

Hahah tui-round off iwe 30,000/- kwa siku. It is reasonable kabisa...

Teh teh teeeeeh!!! Nikijifungia ndani usinishangae.

Hahaha ukiwa na mtu ndani unakula nyumbani mara nyingi.

Nakumbuka hapa juzi nilikaa na mtoto wa aunt yangu anasoma chuo. Nilikuwa nampa 250,000/- kwa mwezi yani siwazi kabisa nitakula nini.

Mwisho wa mwezi tunaenda zetu ferry tunanunua mchele, unga, sukari na mafuta...mboga anapanga ratiba mwenyewe plus kuhakikisha anapata ya kwake ya lunch akiwa chuo na iliwezekana kabisa...ndipo nikaamini hata nikioa sitapata shida sana.

[emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85] [emoji85]

hiyo ni past tense ticha lol!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…