Namkumbuka huyo mzee !!!Alikuwa anaeleweka Sana!!(Tamb z a)!??
Kweli hata uwe Kipofu unaweza uka deliver na wanafunzi wakaelewa...
Sent using Jamii Forums mobile app
Lazima Utakuwa class Mate ama tulisoma mchepuo inayokaribia kufanana .....
Lazima Utakuwa class Mate ama tulisoma mchepuo inayokaribia kufanana .....
Ulivyoandika tu nikaspot kuwa ni yeye Kabisa!!
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe ni nani vile [emoji23][emoji23][emoji23]!??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Inawezekana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna unaweza kumpatia mtu vyote kutokana na shida alizo nazo Ila Kama yeye binafsi haijaikubali Hali yake no uselessNdugu huna cha kujilaumu! Tena Ahsante kwa kuwa na Utu wa kumsaidia mtu kwa kuwa ana shida, bila ya kujuana naye kwa undani. Binafsi huyu marehemu alinishirikisha baadhi ya masuala na nilisaidia nilivyoona itamsaidia. Kati ya ujumbe wa mwisho nafikiri ni Desemba, aliniarifu wamempatia vyeti vyake na ameahidiwa uwezekano wa kupata kazi kama si Januari ni Februari.
Kinachoniacha hoi ni leo hii kujua kuwa sikuwa peke yangu niliyemsaidia, na ambacho sielewi zaidi ni kwa vipi mtu anayepewa aina mbalimbali ya misaada iwe ni mawazo, fedha, connections, n.k. ,tena na watu baki bado anakuwa na hali ya kukata tamaa mpaka kujitoa uhai wake?
Hatuwezi kupata majibu, ila bado inanishangaza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mods wako active na uzi wa "kula tunda kimasihara " wanachomoa comments zilizo very erotic au zile zenye identity exposingJF usipokua na Roho ngumu unaweza ukajiua
Mimi nawalaumu mods. Maxence na wengine. Sawa JF ni platform ilitotengenezwa kwa nia nzuri. Ni sehemu ambayo watu wamepewa uhuru wa kujieleza huku ID zao zikibaki anonymous. Dhamira ilikua ni kuendeleza na kukomaza demokrasia.
Shida inakuja hapa mods wanashindwa ku control contents or hawataki na kuamua kupuuzia ilimradi ku maintain "traffik" Kwenye hii site. JF imetoka kwenye motto yao ya "home of great thinkers" imekua "home of bullies".
Humu ndani kuna makundi ya watu wanakua bullied. Celebrities, politicians,Single mothers, wanawake ambao sio bikra, depressed people wanaokuja kuomba ushauri kwa ku take advantage ya anonymity ya JF kwamba hamna anaewajua humu personally hivyo anaweza kueleza shida zake bila fedheha ya aina yoyote. Cha kushangaza ni kua nyuzi na replies za kebehi na bullying mods hawazitilii maanani wao wanakomaa na "matusi tu". Acheni hizo.
I blame his death on moderators. Sijui ku tag ila ningewatag wote. Acheni double standards, hypocrisy na misogynistic behaviour. Jifunzeni kwa Zuckerberg yeye anajitahidi sites zake ziwe bully free.
Sent using Jamii Forums mobile app
Basi Mimi niliwawakilisha msibani . mpaka kijijini kwao Mufindi alizikwa 26.01.2020. Sikujua kama alikuwa member.View attachment 1369605View attachment 1369606
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeumia Sana Sana Sana,,,ilah tatizo liko hapa
Jf inachukuliwa tofauti na Kila member
Kuna wengine wanaona Ni sehemu ya burudani
Wengine wanaona Ni sehemu ya kupotezea muda
Yaani hawaichukulii seriously Kama sehemu unaweza pata msaada wa muhimu,,,
Kwaiyo anapokuja mtu ana tatizo seriously,,watu wanashindwa kuamini, wanaona Ni masiala,,end of the day watu wanaanza kutoa michango kulingana na jinsi wanavyoichukulia JF,,,nimefuatilia nyuzi kadha za marehemu,,nimeumia mno ,,natamani ningeiona hata nyuzi moja kabla marehemu hajachukua uamuzi huo mgumu,,
Anyway,it's too late,,
Nadhani ifike wakati tubadilike kulingana na nyuzi,,ukiona nyuzi ina usiriasi na wewe jaribu kuwa siriasi,,Kama huwezi kua siriasi nenda kwenye nyuzi za masihara,,,
Haya Sasa mwenzetu tayari hayupo Tena, na wengi walimshauri Aina za sumu humu,,wengine wakawa wanauliza kabisa bado hujajiua TU mpaka saizi,,,
Kabisa mtu mziima,msomi ,mwenye familia,great thinker ,unamuuliza mtu"bado hujafa TU"
Mtu anaongea kabisa kuwa tayari ameshafanya several attempts za kujiua ,,,lakini mtu haamini anazidi kumshauri nonesenses
Haya wote mliomshauri Aina za sumu na mliomkumbusha ajiue fanyeni sherehe,mfurahie maana tayari ushauri wenu umefanya kazi
Asante mliotoa ushauri mzuri
Pumzika Kaka mpauko
Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
Imagine single mama yupo mtaani huko ramani hazisomi mume kamkimbia hajui mtoto atamlisha nini anaingia humu ku refresh anakutana na nyuzi za kumkashifu na kumkebehi. JF inaelekea kua mtandao wa ovyo sana.Mods wako active na uzi wa "kula tunda kimasihara " wanachomoa comments zilizo very erotic au zile zenye identity exposing
Lakini anafanyiwa cyber bullying kwa comment za ajabu ajabu wao wanakunywa kahawa tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Si wewe ndo umenifundisha uchawi mkuu au umesahauUtakuwa mchawi wewe , hivi unajua stress wewe ? Wanajiua matajiri wenye magari na majumba sembuse simu ya infinix Tena Chinese brand ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuu,Mkuu umeongea kwa hisia, hongera Sana umeandika vizuri!!
Nilikuwa nasoma comment wapo watu walikuwa wanamkejeli na wengne kumtaka afanye maamuzi haraka!!
All in all Mungu awasamehee
Sent using Jamii Forums mobile app
I could save this deathKijana alikuwa bado mdogo alikuwa na nafasi bado ya kupata maisha aliyoyahitaji.Niwahase nyie vijana mlipo humu wakati mwingine mambo yakiwa magumu msikimbilie kukatisha maisha yenu .View attachment 1369628
Sent using Jamii Forums mobile app
Mikoba uachiwe na Bibi yako uje nipakazie mimiSi wewe ndo umenifundisha uchawi mkuu au umesahau