TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Ndugu huna cha kujilaumu! Tena Ahsante kwa kuwa na Utu wa kumsaidia mtu kwa kuwa ana shida, bila ya kujuana naye kwa undani. Binafsi huyu marehemu alinishirikisha baadhi ya masuala na nilisaidia nilivyoona itamsaidia. Kati ya ujumbe wa mwisho nafikiri ni Desemba, aliniarifu wamempatia vyeti vyake na ameahidiwa uwezekano wa kupata kazi kama si Januari ni Februari.
Kinachoniacha hoi ni leo hii kujua kuwa sikuwa peke yangu niliyemsaidia, na ambacho sielewi zaidi ni kwa vipi mtu anayepewa aina mbalimbali ya misaada iwe ni mawazo, fedha, connections, n.k. ,tena na watu baki bado anakuwa na hali ya kukata tamaa mpaka kujitoa uhai wake?
Hatuwezi kupata majibu, ila bado inanishangaza.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kuna unaweza kumpatia mtu vyote kutokana na shida alizo nazo Ila Kama yeye binafsi haijaikubali Hali yake no useless

Marehemu hakuwa ikubali Hali yake kwa mujibu wa maelezo yake

Aliona Kama amedhulumiwa uzima

Alitamani awe Kama zamani kitu ambacho pengine isingetokea

Pia ukichagiza na Hali ngumu ya maisha yake ya kwao

Ndio iliyopelekea kuchukua uamuzi huo mgumu.

Nafikiria alikuwa tatizo kubwa la kisaikolilojia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
JF usipokua na Roho ngumu unaweza ukajiua

Mimi nawalaumu mods. Maxence na wengine. Sawa JF ni platform ilitotengenezwa kwa nia nzuri. Ni sehemu ambayo watu wamepewa uhuru wa kujieleza huku ID zao zikibaki anonymous. Dhamira ilikua ni kuendeleza na kukomaza demokrasia.

Shida inakuja hapa mods wanashindwa ku control contents or hawataki na kuamua kupuuzia ilimradi ku maintain "traffik" Kwenye hii site. JF imetoka kwenye motto yao ya "home of great thinkers" imekua "home of bullies".

Humu ndani kuna makundi ya watu wanakua bullied. Celebrities, politicians,Single mothers, wanawake ambao sio bikra, depressed people wanaokuja kuomba ushauri kwa ku take advantage ya anonymity ya JF kwamba hamna anaewajua humu personally hivyo anaweza kueleza shida zake bila fedheha ya aina yoyote. Cha kushangaza ni kua nyuzi na replies za kebehi na bullying mods hawazitilii maanani wao wanakomaa na "matusi tu". Acheni hizo.

I blame his death on moderators. Sijui ku tag ila ningewatag wote. Acheni double standards, hypocrisy na misogynistic behaviour. Jifunzeni kwa Zuckerberg yeye anajitahidi sites zake ziwe bully free.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mods wako active na uzi wa "kula tunda kimasihara " wanachomoa comments zilizo very erotic au zile zenye identity exposing


Lakini anafanyiwa cyber bullying kwa comment za ajabu ajabu wao wanakunywa kahawa tu



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi Mimi niliwawakilisha msibani . mpaka kijijini kwao Mufindi alizikwa 26.01.2020. Sikujua kama alikuwa member.
IMG-20200226-WA0000.jpeg
IMG-20200226-WA0001.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umeongea kwa hisia, hongera Sana umeandika vizuri!!
Nilikuwa nasoma comment wapo watu walikuwa wanamkejeli na wengne kumtaka afanye maamuzi haraka!!
All in all Mungu awasamehee
Nimeumia Sana Sana Sana,,,ilah tatizo liko hapa

Jf inachukuliwa tofauti na Kila member
Kuna wengine wanaona Ni sehemu ya burudani

Wengine wanaona Ni sehemu ya kupotezea muda

Yaani hawaichukulii seriously Kama sehemu unaweza pata msaada wa muhimu,,,

Kwaiyo anapokuja mtu ana tatizo seriously,,watu wanashindwa kuamini, wanaona Ni masiala,,end of the day watu wanaanza kutoa michango kulingana na jinsi wanavyoichukulia JF,,,nimefuatilia nyuzi kadha za marehemu,,nimeumia mno ,,natamani ningeiona hata nyuzi moja kabla marehemu hajachukua uamuzi huo mgumu,,

Anyway,it's too late,,

Nadhani ifike wakati tubadilike kulingana na nyuzi,,ukiona nyuzi ina usiriasi na wewe jaribu kuwa siriasi,,Kama huwezi kua siriasi nenda kwenye nyuzi za masihara,,,

Haya Sasa mwenzetu tayari hayupo Tena, na wengi walimshauri Aina za sumu humu,,wengine wakawa wanauliza kabisa bado hujajiua TU mpaka saizi,,,

Kabisa mtu mziima,msomi ,mwenye familia,great thinker ,unamuuliza mtu"bado hujafa TU"

Mtu anaongea kabisa kuwa tayari ameshafanya several attempts za kujiua ,,,lakini mtu haamini anazidi kumshauri nonesenses

Haya wote mliomshauri Aina za sumu na mliomkumbusha ajiue fanyeni sherehe,mfurahie maana tayari ushauri wenu umefanya kazi

Asante mliotoa ushauri mzuri

Pumzika Kaka mpauko

Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mods wako active na uzi wa "kula tunda kimasihara " wanachomoa comments zilizo very erotic au zile zenye identity exposing


Lakini anafanyiwa cyber bullying kwa comment za ajabu ajabu wao wanakunywa kahawa tu



Sent using Jamii Forums mobile app
Imagine single mama yupo mtaani huko ramani hazisomi mume kamkimbia hajui mtoto atamlisha nini anaingia humu ku refresh anakutana na nyuzi za kumkashifu na kumkebehi. JF inaelekea kua mtandao wa ovyo sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Rest in peace soldier,na yoyote anayetaka kugive up a give up anayetaka kwenda mbele let's move forward
 
It really hurts 4 sure,,,lakini nina imani Kila mmoja amejifunza kitu kutoka kwa Kaka yetu huyu alietangulia mbele za haki

May your soul rest in peace bro

Sent using Jamii Forums mobile app,using POP 2 power
 
Kujiua ni kufa kizembe sana,mm siwezi kujiua,bila changamoto hakuna maisha,
Kuna wakati mtu anakuwa kwenye wakati mgumu sana mpaka anakosa majibu anaangukia kujiua,


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom