Pole sana, ila huwa nasikia kuna vifaa vya kusaidia kusikia?Mimi mwenyewe nimehudhuria sana pale CCBRT Msasani lakini naona kama nimepoteza hela yangu tu.
Yaani kila ikifika leo, ya jana afadhali.
Tatizo kila siku linakuwa.
Udogoni nilikuwa nasikia fresh tu.
Ila navyozidi kukua ndio tatizo linapanuka.
Hakuna hata ndugu mmoja anayenipigia simu zaidi ya kuchati kupitia sms.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe humjui huyo dada.Aaagh kumbe wewe ndie dada manengelo!!! He said ..." manengelo ni mwanamke mwema sana"
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe humjui huyo dada.Manengelo hawezi kumtukana, Labda kama alikuwa anampigia akiwa vyombo au ubize kwenye Kazi zake
Ova
Sent using Jamii Forums mobile app
Mishipa inayopeleka mawasiano imekauka nimetumia takribani siku 270 kumeza vidonge ili mishipa irudi kwenye hali yake lakini wapi.Pole sana. Hosp wanasema shida ni nini? Ulishajaribu tiba kwa njia ya mitishamba? Pole sana...nakutia moyo mkuu, usije ukakata tamaa. Mungu akuinue kwa upendo mkuu nawe uione asubuhi yako ikiwa njema na yenye kusikia kila jambo! Jipe moyo, tuko pamoja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamjui huyo dada.
Hiyo ni kwa baadhi tu.Pole sana, ila huwa nasikia kuna vifaa vya kusaidia kusikia?
Kuna watu humu walitumia matatizo yangu for their own advantages.Wale wenzetu wanaokujaga huku kuomba msaada wa ada mfano @najanaja tukiwa nacho tuwasaidie kama hatuna tusiwaseme vibaya (wamekuwa wakitolewa maneno makali wengine wanadiriki kusema wasiombe watafumuliwa marinda).
Hauwezi kujua huo msaada wako anauhitaji kiasi gani na pengine ungemuokoa na maamuzi ya kujiua au hayo maneno yako ya kejeli yangempelekea ajione si kitu aamue kujiua.
Watu wengi wanaojiua ni mapenzi au hali ngumu za maisha. Tujifunze kumsaidia mtu akiwa hai. Sio hadi afe ndio tuanze kusema "hata mimi alinifuata pm ningejua ningemsaidia, au hata Mimi niliona Uzi wake nikajua ni utani.".
Ni kweli wengine wanaomba misaada wakiwa wana nia mbaya na wengine ni kweli ana shida. Ukibarikiwa moyoni saidia na usipobarikiwa kumsaidia epuka kumtolea maneno ya kejeli.
Leo kuna watu wakisikia Najanaja kajinyonga kwa sababu alishindwa kuendelea na masomo na hata biashara alizotamani kufanya alikosa mtaji, watu wataishia kusema " ningejua ningemsaidia". Kama upo kwenye nafasi ya kumsaidia mtu msaidie usisubiri afe ujilaumu.
NB. Kuna watu pia watasema Mimi ni Naja naja.
Sent using Jamii Forums mobile app
Upo sahihi dada anguKama mtu kaomba msaada na una mashaka unaweza kuamua kutokutoa msaada wako lakini epuka kutoa maneno ya kejeli kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Alishaathirika kiakili, alihitaji msaada wa afya ya akili.Marehemu mm nilikua nachat naye sana kwanza ni mlalamishi kwa kila kitu..then alikua na hasira! Apumzike tu sasa
Pole sana, hebu check na hao piaMishipa inayopeleka mawasiano imekauka nimetumia takribani siku 270 kumeza vidonge ili mishipa irudi kwenye hali yake lakini wapi.
Vidonge bei ni 50,000 unapewa vidonge 90 unatakiwa umeze kimoja tu kila siku.
Vikiisha unarudi hospitali.
Nilirudi mara 3 pale CCBRT.
Mwisho daktari akaniambia hili tatizo labda lijaribiwe kupitia mashine za kusikia.
Nikaelekea meneo ya mtaa wa MINDU pale Upanga nikapimwa tena.
Matokeo yakasomwa kwamba hata zile mashine hazitoweza kunisaidia.
Ili nielewane na mtu vizuri natakiwa niangaliane nae usoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana, nadhani kama jamii na taifa sasa inatupasa kuona namna ya kuadress hili tatizo na kutafuta ufumbuzi kwa wote wanaohitaji kusaidika.Mishipa inayopeleka mawasiano imekauka nimetumia takribani siku 270 kumeza vidonge ili mishipa irudi kwenye hali yake lakini wapi.
Vidonge bei ni 50,000 unapewa vidonge 90 unatakiwa umeze kimoja tu kila siku.
Vikiisha unarudi hospitali.
Nilirudi mara 3 pale CCBRT.
Mwisho daktari akaniambia hili tatizo labda lijaribiwe kupitia mashine za kusikia.
Nikaelekea meneo ya mtaa wa MINDU pale Upanga nikapimwa tena.
Matokeo yakasomwa kwamba hata zile mashine hazitoweza kunisaidia.
Ili nielewane na mtu vizuri natakiwa niangaliane nae usoni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ungefanya nini mkuu?It's very unfortunate kijana, member mwenzetu kujitoa uhai.
For some reason, sijawahi kuona uzi wake hata siku moja hadi leo. Naumia kutomsoma mapema.
Pumzika kwa amani mkali.
Kijana alikuwa bado mdogo alikuwa na nafasi bado ya kupata maisha aliyoyahitaji.Niwahase nyie vijana mlipo humu wakati mwingine mambo yakiwa magumu msikimbilie kukatisha maisha yenu .View attachment 1369628
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee....nadhani Maxence Melo na wenzake wana lakujifunza katika hili, namna ya kuzilinda nyuzi za watu wanaohitaji msaada kama Robin na single mothers. Single mother wanatukanwa sana humu JF lkn hakuna hatua yeyote inachukuliwa na modsHapa kweli kuna majuto. Hizi comments wakati akihitaji msaada zinasikitisha. RIP!!!
View attachment 1369645
Pole sana, matatizo tumeumbiwa binadamu, wewe unaweza kuwa na changamoto hiyo ukaona kama Mungu amekuacha lakini kuna mwingine ana changamoto kubwa zaidi cha muhimu ni kutokukata tamaa na kumtegemea Mungu tuHiyo ni kwa baadhi tu.
But sometimes najisikia vibaya mtu akisema fulani HASIKII vizuri.
Yaani natamani hata kulia
Sent using Jamii Forums mobile app