Ulikuwa vibe.... [emoji23][emoji23][emoji23]Mrangi nimewah kukutukana nikiwa vyombo[emoji1787][emoji1787]! Hebu kuwa mkweli[emoji38]...ulipiga usk kwa namba ngeni nikaask tu kwa ukali ww nan?[emoji1787][emoji1787]ukayeya!maana nilikua nishalala...doh! Ww bwana ![emoji28]
Pole sana. Walipiga hela kupitia wewe na haukunufaika nazo?Kuna watu humu walitumia matatizo yangu for their own advantages.
Wewe humjui huyo dada.
Wewe humjui huyo dada.
Yupoje mkuu kwani?Hamjui huyo dada.
Sio mtu mzuri huyo.
Ndiyo.
Angefungua I'd mpya mngedai I'd ya zamani binadamu hamtabiriki. Kwenye moja ya thread zake alitaja majina yake, namba ya simu na jina la chuo alichosoma....mlitaka utambulisho gani mwingine?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ameen mkuuPole sana, matatizo tumeumbiwa binadamu, wewe unaweza kuwa na changamoto hiyo ukaona kama Mungu amekuacha lakini kuna mwingine ana changamoto kubwa zaidi cha muhimu ni kutokukata tamaa na kumtegemea Mungu tu
Asante sana mkuuPole sana, hebu check na hao pia
AmeenPole sana, nadhani kama jamii na taifa sasa inatupasa kuona namna ya kuadress hili tatizo na kutafuta ufumbuzi kwa wote wanaohitaji kusaidika.
Tatizo ni kubwa kwenye jamii kuliko tunavolitathmini.
Mungu awape tumaini nyote mnaopitia changamoto ...
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndo hivyo mkuu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kama Kuna cyber bulling act naomba ishuke jumla jumla na hili li YEHODAYA na genge lake wanajijua, mijitu mibaya sana [emoji57]
Rules za JF ziangaliwe upya Utani uwepo kwenye baadhi majukwaa tuIla mpaka baharia anafikia hatua ya kujipiga kitanzi...yani inaonekana wazi maji yalimfika shingoni...halafu akakosa mtu wa kumpa ushauri mzuri...dah inaumiza sana
Nimepitia nyuzi kadhaa za mwana...kumbe ameanza kulalamika siku nyingi juu ya changamoto anazopitia watu wakawa wanamchukulia poa...
Nimeamini JF watu wapo really sana kama mtu akipost anachangamoto basi inawezekana 90% ya kile anachokizungumzia kweli kinagusa maisha yake..
Angalizo wana JF tuwe tunatoa ushauri kadri wa uwezo wetu tuache mizaha mingi..sometimes uzi wa mtu unaweza ukawa about life and death...so let things sometimes
Naja naja nimetumiwa pm kuwa umesema nilikutapeli...sasa sion hata hyo comments .hebu uwe mkwel...uliandika uzi mods wakafuta....then ushimen akanichek nikamwambia huyu dogo anahitaj msaada..akasema yy ataandika uzi...two day ikawa kimya...nikawasiliana na Elli...nikamwwleza..yy ndo akaamua kwenda far ahead akawasiliana na maxence..na muda wote huo mm ww eli tunawasiliana...max akakupa go ahead ukanionyesha...Kuna watu humu walitumia matatizo yangu for their own advantages.
Single mothres gani unazungumzia? Ni hawa wanaoona kuishi na wanaume kunawazibia riziki na kuamua kukaa peke yao ili wapate nafasi ya kudanga? Unakuta wana mabwana kibao? Au ni wale ambao kwa namna moja au nyingine wamepata bahati mbaya na kutokuwa na wenza?Kuna mtu niliwah mwambia pm..mtu anaanzisha uzi kuwananga single mazaz ..huyo huyo ukimsoma sana anakuambia amelelewa na mama....kama kuna makundi yanafaa kuheshimiwa ni hili jamani!...mie nawajua maarufu wawili kwa kukandia wamama hawa! Automatic nikawachukia!
Imagine that was so bad... Jukwaa kama MMU nimeacha kupitia it's full of crap heads.
Sent using Jamii Forums mobile app
Single mothres gani unazungumzia? Ni hawa wanaoona kuishi na wanaume kunawazibia riziki na kuamua kukaa peke yao ili wapate nafasi ya kudanga? Unakuta wana mabwana kibao? Au ni wale ambao kwa namna moja au nyingine wamepata bahati mbaya na kutokuwa na wenza?
Kumbe alikuwa anakuongelea wewe?.Hanna huyu dogo hakuchangiwa kitu nimeelzea kila kitu na yy anajua nashangaa anasema tulipiga hela kwa mgongowake doh..jamani hizo ni laana! Na wotr walioahidi kwangu wtatua hela hakuna hata mmoja alotuma. Na walipatwa majanga na yy anajua hilo..anywys!