TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Tena ujinga wa mwisho ambao hata mm ndio unanigharimu maisha yangu kwa sasa
Naishi maisha kama digi digi kwa ajili ya upole ,busara ,huruma yangu
Ndio.mana wenye roho mbaya wanafanikiwa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nioneshe wapi niliposema umenitapeli?

Mbona unajishtukia dada angu?
 
Nimerumiwa pm comments zake..na hii ni 2nd tym..kuna kipindi nilipigwa ban ...kuna mchizi akaniambia naja naja anasema umekula hela zake...sikuuona huo uzi...! Haya yaishe!
Weka ushahidi nilipoandika kwamba umenitapeli pesa?

Kwanza ni pesa zipi hizo ulizonitapeli dada angu?

Nilichoandika mimi kwenye huu uzi ni kwamba watu wawe makini na watu wanaojitokeza kujidai wanataka kutoa msaada basi.
 
Mkuu wapi nilipotaja jina la huyu dada?

Mbona unajishtukia mkuu?

Hivi unadhani humu JF ni wangapi waliojitokeza kusema watanisaidia matatizo yangu kulingana na uwezo wao Mungu aliowajalia, sasa iweje unajishtukia bila sababu ya msingi? Nini kilichojificha nyuma ya pazia?
 
I think now Max was right! Dogo amtake radhi huyu Dada wa watu aiseee. Duh ni last week tu tulikua tunaulizana jinsi ya kukupa chochote tulifikia mahali tukataka hata tukope kwa ajili yako Leo wewe ndio wa kusema hivi?
Mkuu acha kujishtukia, pia acha unafiki.

Sijamtaja huyo dada popote na wewe sijakutaja popote , sasa iweje unajishtukia?

Kaka kuwa na amani tu.
 
Ndio baadhi ya binadam bro

Mm hapa moyo umekufa kabisa sijui itakuwaje kusaidia wengine sijui kwa nn wahitaji ni walalmishi na waongo mda mwingine vinaumiza sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe huwajui hawa watu.

Tafadhari ukipata muda ,pitia thread zote humu JF ambazo kuna watu wanahitaji msaada ,95% utaona comments zao na zipo kwenye positive way 100% ila zina contradictions ndani yake.

Dada Hannah usinione mimi ni mchoyo wa fadhila ila ninachokizungumza nina kifahamu.
 
Naunga mkono hoja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dada umechelewa, si kila mwenye shida atabaki kuwa na shida miaka nenda miaka rudi maisha yanabadilika.
 
Mkuu,humjui huyo unayemuunga mkono.

Jiulize kwa nini kila biashara itakayodajiliwa humu JF yeye ameshawahi kuifanya?
 
Dogoleeee achaga bangeeee! Acha kusingiziaga uongo??

Don't make a promise you can't fulfill...
Mkuu.

Pitia kwa umakini thread za watu wanaoomba msaada humu JF lazima utaona huyu dada ajitokeze .

Pia jiulize kwa nini kila biashara itakayojadiliwa humu JF yeye ameshawahi kuifanya?
 
Huwajui hao watu.

Wapo watatu.

Na hata hizi screenshot anazotuma usidhani labda ni ngeni machoni mwangu, kama ni ngeni aje huyo dada athibitishe.

Usidahaike nao mkuu.

Kuwa nao tu makini, inatosha.
 
Jamani huu ni uongo.

Hapa jamaa anajifanya huyo dada hajui chochote.

Kwa kifupi hizi screenshot alinitumia huyo huyo dada maana kuna kipindi nilikata tamaa kuelezea shida zangu humu wakanishawishi niongee na uongozi ndipo nikaongea na mhariri na Maxence Melo, na Melo niliongea Whastap moja kwa moja nikamueleza situation yangu .

Melo na Mhariri baada ya kujiridhisha walirudisha uzi wangu jukwaani ila nilijifikiria mwisho wa siku nilipoona natukanwa na kudhihakiwa jukwaani nikamjulisha huyu dada kwamba nataka niongee na Melo afute nyuzi zangu maana nimechoka kutukanwa ,huyu dada akakataa kata kata ila sikumsikiliza nikaongea na Melo afute nyuzi zangu zote nazohitsji msaada maana niligundua hawa hawana nia nzuri na mimi maana hata nikiwapigia simu walichokuwa wanakiongea unaona kabisa sio watu wazuri ni matapeli mwisho wa siku wataniletea matatizo .
 
We unazingua si yashaisha angalia mbele
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yalifanyika yote hayo kwa huyo marehemu na hicho cheti aliweza kigomboa, wapo watu waliendelea kumshika mkono pia.
Roho ya mauti ilitawala roho ya uzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umeongea kwa hisia sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ooooo kumbe ni kweli unasema manengelo, Elli ni matapeli.
Embu tupe habari kamili tukae nao mbali.
Huwajui hao watu.

Wapo watatu.

Na hata hizi screenshot anazotuma usidhani labda ni ngeni machoni mwangu, kama ni ngeni aje huyo dada athibitishe.

Usidahaike nao mkuu.

Kuwa nao tu makini, inatosha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni sana!
Asamehewe tu maisha yana mengi mapito

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…