Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Embu nitajie mtu hata mmoja aliyewahi kusaidiwa na Manengelo.
Mkuu, kwanza sitaki nieleweke vibaya kwa watu kwamba nina kutetea. Lakini mimi sikuzote huwa nasimamia kile ninacho kiamini, hii haijalishi hata kama kuna mtu ataumia kutokana na msimamo wangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimeamua kusema mwenyewe sijaona kama ni tatizo jamani...nilikuwa najaribu kumpa tu mfano mdogo maana anadhani anakujua sana wakati anakujua kwa sehemu ndogo sanaUnakosea sana!...narudia tena mkinga ww unakosea.. Ya nn kuweka hapa?...ili imponye nan?...segito wewe
Nimeamua kusema mwenyewe sijaona kama ni tatizo jamani...nilikuwa najaribu kumpa tu mfano mdogo maana anadhani anakujua sana wakati anakujua kwa sehemu ndogo sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, nakumbuka sana hii issue. Na niliamua kukaa kimya baada ya kupekua mambo flani na nikajiridhishaManengelo alipiga hela inavyosemekana...unakumbika uliwah nichek kwa simu?
Mkuu, nakumbuka sana hii issue. Na niliamua kukaa kimya baada ya kupekua mambo flani na nikajiridhisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Sikumbuki shuka wakati kumekucha.Usiku bado ni mzito as long as JF itaendelea ku exist hivyo nimefanya KUSISITIZA
Umenena vizuri Sana mkuuShida haipo kwa kijana.. ipo kwenu.
ukimsaidia mtu lazima useme humu?
Tenda wema nenda zako nyie mnaelewa vipi?
Wapo watu wanatoa misaada mikubwa. Huwezi kuta anakaa anasema kua nimemsaidia kitu fulani..Biblia inasema ukitoa sadaka mkono wa kushoto usijue! Nyie mwafanya hivo?
Sio kila mtu lazima ajue kua mnatoa misaada, Toeni yabaki ndani ya mioyo yenu!
Ukisoma huu uzi mwanzo mwisho unaona kila mtu anasema jinsi anavyosaidia/alivyosaidia..msaada hautangazwi. Kuna mtu namjua kamsaidia sana huyo Robin pesa mingi sana ila hata kuja kwenye huu uzi hajaja. Hua anasaidia wengi sana humu ila huwezi muona akiongea kitu kwasababu anajua Definition and how ya kutoa Sadaka/msaada
Washirika mnateteana.Kijana ebu acha kuwapotosha watu humu. Ebu usilazimishe kufanya kusaidiwa iwe wajibu, and niliwahi kusema hapa mara kadhaa kwamba "unapenda sana kulalamika" na kulazimisha usaidiwe kili ambacho wewe ndie unataka, yaani anae kusaidia afuate vile unataka wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea na maisha yako amani itawale.Ila ww kama unaoenda amani ya nafsi yako basi nakuomba uniambie wangap walichanga then nikulipe leo hii!
Kumbe kuna mambo mengi yanakusumbia moyoni mwako...! Eti kila mishe nimefanya...! Sasa hata km nadanganya unahis nafaidika na nn?...unadhan mie ndo wakuletewa hela za matumizi! Bora ujoin tu ! Acha hasira zisizo na maana!... Ila nakupa pole!...
Alizikwa Kijiji gani.Basi Mimi niliwawakilisha msibani . mpaka kijijini kwao Mufindi alizikwa 26.01.2020. Sikujua kama alikuwa member.View attachment 1369605View attachment 1369606
Sent using Jamii Forums mobile app
Njoo pmMimi mwenyewe nimehudhuria sana pale CCBRT Msasani lakini naona kama nimepoteza hela yangu tu.
Yaani kila ikifika leo, ya jana afadhali.
Tatizo kila siku linakuwa.
Udogoni nilikuwa nasikia fresh tu.
Ila navyozidi kukua ndio tatizo linapanuka.
Hakuna hata ndugu mmoja anayenipigia simu zaidi ya kuchati kupitia sms.
Sent using Jamii Forums mobile app
Washirika wa nini mkuu..??Washirika mnateteana.
.....teh[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]