T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
2007 wengi tu hawakuwa na simu. Na kipindi kile hazisajiliwi hata transaction za simu bado.
Nilisoma vibaya, I am sorry.Ni babu yangu. Baba yupo uko kanisusa na mimi nina mpango nimfungie vifoo tuone kama nitashindwa kuishi.
Ila mpaka baharia anafikia hatua ya kujipiga kitanzi...yani inaonekana wazi maji yalimfika shingoni...halafu akakosa mtu wa kumpa ushauri mzuri...dah inaumiza sana
Nimepitia nyuzi kadhaa za mwana...kumbe ameanza kulalamika siku nyingi juu ya changamoto anazopitia watu wakawa wanamchukulia poa...
Nimeamini JF watu wapo really sana kama mtu akipost anachangamoto basi inawezekana 90% ya kile anachokizungumzia kweli kinagusa maisha yake..
Angalizo wana JF tuwe tunatoa ushauri kadri wa uwezo wetu tuache mizaha mingi..sometimes uzi wa mtu unaweza ukawa about life and death...so let things sometimes
Huyo last seen yake ni ijumaa mchana. Sijui nini kitakuwa kinaendelea.Cc Mayala B Dont do anything, we love you .
Huyo last seen yake ni ijumaa mchana. Sijui nini kitakuwa kinaendelea.
Aisee inaogopesha mno, mwenye taarifa zake au mawasiliano nae itabidi atujuze huyu ndugu yetu kama bado mzima.
Usiongee kama hujui. Mpauko ameandika story ya maisha yake hapa. Huko nyuma alishafanya majaribio kama si manne basi matano ya kujinyonga. Naona this time kafanikiwa.Apumzike kwa Amani, dada uliyemtosa huyu mwana jf una hatia
Namba yake ya zantel haipatikani hata ukituma sms haifiki inafailKuna namba yake moja ya Zantel ile nadhani alikua anawasiliana nami WhatsApp but sina uhakika sana kama ndo yenyewe ambayo iko kwenye baadhi ya moja ya nyuzi zake.
Kwangu ilifutika sababu sikua nimeisave na simu ikafuta messages kabla sijamjibu. Nitajaribu kumtafuta kesho nione ukweli wa hii taarifa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Anakusanya rambirambiBado taarifa hii ina utata. Ina maana mdogo wa 'marehemu' bado anatumia simu ya kakaye kwa zaidi ya mwezi sasa!?
Hii kitu hata mimi nashangaa ukiingia jf online ukiangalia unaona last seen muda huo huo ulioingia ww yani kila ukiangalia dakika zinasoma muda uliangalia profileMbona yupo online mpaka muda huu hapa Jf! Itakuwa ameji Meja Kunta au ni huyo ndugu yake anaperuzi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Namba yake ya zantel haipatikani hata ukituma sms haifiki inafail
Sent using Jamii Forums mobile app