TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums Miguu ya Kuku/ Mpauko afariki dunia

Humu jf kuna watu wana roho mbaya sana.
Ila mpaka baharia anafikia hatua ya kujipiga kitanzi...yani inaonekana wazi maji yalimfika shingoni...halafu akakosa mtu wa kumpa ushauri mzuri...dah inaumiza sana

Nimepitia nyuzi kadhaa za mwana...kumbe ameanza kulalamika siku nyingi juu ya changamoto anazopitia watu wakawa wanamchukulia poa...

Nimeamini JF watu wapo really sana kama mtu akipost anachangamoto basi inawezekana 90% ya kile anachokizungumzia kweli kinagusa maisha yake..

Angalizo wana JF tuwe tunatoa ushauri kadri wa uwezo wetu tuache mizaha mingi..sometimes uzi wa mtu unaweza ukawa about life and death...so let things sometimes

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna namba yake moja ya Zantel ile nadhani alikua anawasiliana nami WhatsApp but sina uhakika sana kama ndo yenyewe ambayo iko kwenye baadhi ya moja ya nyuzi zake.

Kwangu ilifutika sababu sikua nimeisave na simu ikafuta messages kabla sijamjibu. Nitajaribu kumtafuta kesho nione ukweli wa hii taarifa.
Aisee inaogopesha mno, mwenye taarifa zake au mawasiliano nae itabidi atujuze huyu ndugu yetu kama bado mzima.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna namba yake moja ya Zantel ile nadhani alikua anawasiliana nami WhatsApp but sina uhakika sana kama ndo yenyewe ambayo iko kwenye baadhi ya moja ya nyuzi zake.

Kwangu ilifutika sababu sikua nimeisave na simu ikafuta messages kabla sijamjibu. Nitajaribu kumtafuta kesho nione ukweli wa hii taarifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Namba yake ya zantel haipatikani hata ukituma sms haifiki inafail

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumzikaga kwa amanii, tutakujaga kuonanaa

Don't make a promise you can't fulfill...
 
RIP Mpauko.. His truly last seen hii hapa... Umegundua nini hapo? Tarehe na mwezi aliyojiunga JF ndio tarehe na mwezi aliyoonekana kwa mara ya mwisho tofauti mwaka tuu...!!!
Screenshot_20200225-031503~2.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom