Kabisa mkuuAma kwwli kifo ni chauchungu sana na akizoelekk R.I,P
Tunaweza kupata Picha yake na Maelezo au Historia yake pamoja na ugonjwa wake japo kwa ufupi ili tumjue??Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena Amsi