duh! hata mwezi haujaisha tumepga story sana tu leo ndo napata hizi taarifa
hakika binadamu wote tutaonja mauti.
Mungu akulaze mahala pema peponi amen
Binaadam siku zote hatufahamu kinachotujia mbele yetu.Majuzi alitoa neno kwenye Uzi wake Wa picha yangu ya leo
JamaniKama sijakosea Uzi wake wa mwisho hapa jukwaani ulizungumzia wanaume kuweka fedha kwenye wallet
Safari ya woteHii safari ya wote ila mwenzetu umetangulia nenda salama swahiba waambie tunakuja.
AAMININNALILLAHI WAINALILLAHI RAJIUUN,MPENDWA DADA YANGU DENA AMSI,NAKUKUMBUKA SANA NA TENA UNISAMEHE DADA YANGU,NILIWAHI KUKUTANIA KWAMBA,AAH TUMEJUA KWAMBA UNA GARI,UKANIIJIA PM NA KUNIAMBIA "KAKA YANGU KWANI KUWA NA GARI NI KOSA? BASI UNISAMEHE KAKA YANGU"TUKAWA MARAFIKI DADA YANGU,DAAH NAKUKUMBUKA SANA NA ALLAH AKUPE JANNATUL L FIRDAUS,ULALE SALAMA PEPONI AMEEN.
Always Sad when a Friend diesSad to lose a friend.
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu dada yetu mahala pema peponi. Amina [emoji120]Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.
Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.
Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.
Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.
R.I.P Dena Amsi
==================
Asante sanaPole sana Kiongozi.
Tunashukuru sana kwa Taarifa za kina.
Napenda sana nije kuwapa pole Wafiwa.
Kwa bahati mbaya kwa hivi sasa nipo mbali na Nyumbani.
Panapo Majaliwa InshaAllah Bongo nitatua Mwezi wa Pili.
Kwa kweli haya maelezo yamenigusa sana.
Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya Dada yetu LEAH FLAVIAN KOMBA pema PEPONI,
AAMIN
Asante mkuu wote tumempoteza mwenzetu. Apumzike kwa amani huko alipo. InshaAllahJamani.
Kiongozi, na wewe Pole sana
Hii ndio picha yake aliekuwa Member mwenzetu....
Sio huyo tu, mm pia nawafaham wanajf wawili waliofariki ndani ya mwaka huu.R .I. P dena amsi nimesoma post yako ya wallet daa nimeumia
By the way miaka ya nyuma sana kulikuwa na Uzi wa wanajf waliotutoka hebu wenye uwezo wa update ule Uzi pia namkumbuka mwanajf mwenzetu nimesahau jina aligongwa na Gari akiwa kwenye pikipiki darisalama akafariki