TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Laiti sisi Binaadam tungalijua kilichopo mbeleni mwetu, nna hakika Kufuru zingezidi/tungezidisha.

Hakika kwa kila jambo Mwenyezi Mungu anasababu zake.

Mwenyezi Mungu atabaki kuwa Mwenyezi Mungu, na sisi Binaadam tutabaki kuwa Binaadam.

duh! hata mwezi haujaisha tumepga story sana tu leo ndo napata hizi taarifa

hakika binadamu wote tutaonja mauti.

Hakika Kiongozi

Mungu akulaze mahala pema peponi amen

AMEN
 
INNALILLAHI WAINALILLAHI RAJIUUN,MPENDWA DADA YANGU DENA AMSI,NAKUKUMBUKA SANA NA TENA UNISAMEHE DADA YANGU,NILIWAHI KUKUTANIA KWAMBA,AAH TUMEJUA KWAMBA UNA GARI,UKANIIJIA PM NA KUNIAMBIA "KAKA YANGU KWANI KUWA NA GARI NI KOSA? BASI UNISAMEHE KAKA YANGU"TUKAWA MARAFIKI DADA YANGU,DAAH NAKUKUMBUKA SANA NA ALLAH AKUPE JANNATUL L FIRDAUS,ULALE SALAMA PEPONI AMEEN.
AAMIN
 
Ni habari za kusikitisha kwa familia ya JamiiForums kwa ujumla wake.

Inadaiwa marehemu Dena Amsi amefariki jana baada ya kuugua kwa siku kadhaa.

Taarifa za kina juu ya nini kilitokea na msiba upo wapi zitafuatia.

Mwenyezi Mungu amsamehe dhambi zake na kumjalia pumziko la milele.

R.I.P Dena Amsi

==================
Mwenyezi Mungu ailaze roho ya marehemu dada yetu mahala pema peponi. Amina [emoji120]
 
Pole sana Kiongozi.

Tunashukuru sana kwa Taarifa za kina.

Napenda sana nije kuwapa pole Wafiwa.

Kwa bahati mbaya kwa hivi sasa nipo mbali na Nyumbani.

Panapo Majaliwa InshaAllah Bongo nitatua Mwezi wa Pili.

Kwa kweli haya maelezo yamenigusa sana.

Mwenyezi Mungu ailaze Roho ya Dada yetu LEAH FLAVIAN KOMBA pema PEPONI,

AAMIN
Asante sana
 
RIP Dena Amsi. Mwenyezi Mungu akupe pumziko la milele. Amina. Nime visit Facebook wall yake but sijaona post yoyote except picha ambayo inatumika kama Avatar yake. Nilichogundua ni kuwa address yake ni Gisenyi Nchini Rwanda na kuna watu wawili ambao nahisi alikuwa na undugu nao (1) Philemon Amsi (2) Amsi Slaa. Maybe huyo wa kwanza anaweza kuwa ndugu yake. Kwa upande wa huyo philemon Amsi, mara ya mwisho ku post kwenye wall yake ni mwaka 2013, so kuna maswali mengi kuliko majibu. Tukesheni tukiomba, kwani hatujui muda wala saa, Pumzika kwa Amani-DA
 
Itoshe kusema apumzike kwa amani huko aliko, niliwahi kuongea nae tena kwa chemba ni balaa, RIP DENA AMSI.
 
R .I. P dena amsi nimesoma post yako ya wallet daa nimeumia

By the way miaka ya nyuma sana kulikuwa na Uzi wa wanajf waliotutoka hebu wenye uwezo wa update ule Uzi pia namkumbuka mwanajf mwenzetu nimesahau jina aligongwa na Gari akiwa kwenye pikipiki darisalama akafariki
 
R .I. P dena amsi nimesoma post yako ya wallet daa nimeumia

By the way miaka ya nyuma sana kulikuwa na Uzi wa wanajf waliotutoka hebu wenye uwezo wa update ule Uzi pia namkumbuka mwanajf mwenzetu nimesahau jina aligongwa na Gari akiwa kwenye pikipiki darisalama akafariki
Sio huyo tu, mm pia nawafaham wanajf wawili waliofariki ndani ya mwaka huu.
 
Back
Top Bottom