TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Duh.....
 
daah!kifo cha ghafla kinauma
 
jf ni msitu ndo maana tunaambiwa tuishi vzr na watu humu
 
Loeli vipi nadhani mwanzo watu walieleweka kuficha privacy ya mtu wewe umechunguza na kuamua kuanika... Humu kuna walioshiriki msiba na mazishi kuna ndugu na jamaa... Walielewa umewahi sana... Inaweza kuwa umeguswa kama sisi ila Mdogo Mdogo me natamani hata tuwape familia rambirambi

 
Kuna wakati unaweza kudhani kwamba utamuona akitembea, utamuona akicheka na hata kukutania. Amezimika kama taa, Amezimika kama mshumaa katika ya upendo. SICHOK KUKWAMBIA NENDA UKALALE SALAMA, LAKINI UKIMUONA NEEMA MWAMBIE NAMSALIMIA
Mkuu za kupotea Neema yupi
 
Wekeni picha sasa tumfahamu Marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…