Hapana Mkuu. Tayari walishalitaja jina lake hapa JF kabla ya mimi. Mimi nikafanya jitihada za kufuatilia zaidi ili nimfahamu. Cha msingi sioni sababu ya kuficha jina la member kama ameshafariki kwa kuwa hakuna wa kuweza kumfuatilia tena kwa mambo yake hata kama alikuwa anti-christ anabaki kuwa hivyo tu.Loeli vipi nadhani mwanzo watu walieleweka kuficha privacy ya mtu wewe umechunguza na kuamua kuanika... Humu kuna walioshiriki msiba na mazishi kuna ndugu na jamaa... Walielewa umewahi sana... Inaweza kuwa umeguswa kama sisi ila Mdogo Mdogo me natamani hata tuwape familia rambirambi
Oooh masikini Dena Amsi....Kabinti bado...Mungubakupe pumziko lake la kweli milele yote!Hii ndio picha yake aliekuwa Member mwenzetu....
[emoji15] [emoji15] [emoji15]Dena (Leah F. Komba) ......Mungu anaufahamu ukweli wa afya yake mpaka anafariki.Rest in
Hivi MTU ni marehemu kuweka taarifa zake shida nini?Duh umenishtua sana kumbe Dena Amsi ndio Leah Komba
Binafsi namfahamu marehemu (Leah Komba) nimewahi kufanya field ofisi ambayo alikuwa anafanya kazi na nimewahi kumfanyia kazi zake nyingi nakumbuka mara ya mwisho tuliwasiliana alipata kazi Kenya akahamia Nairobi
Pumzika kwa amani Leah
Baada ya kuona jina nimekwenda Facebook kuangalia..nimekuta hii picha..(r.i.p Leah)Hivi MTU ni marehemu kuweka taarifa zake shida nini?
Kanza ili akumbukwe vema inatakiwa taarifa sake ziwe wazi ili watu waguswe zaidi...
Heeh huyu mbona namfahamu...amewahi kuwa mfanyakazi wa Shirika moja kubwa la sirikali la maw......Baada ya kuona jina nimekwenda Facebook kuangalia..nimekuta hii picha..(r.i.p Leah)
..Nadhani ndio yeye.
Barikiwa sana Mkuu...Baada ya kuona jina nimekwenda Facebook kuangalia..nimekuta hii picha..(r.i.p Leah)
..Nadhani ndio yeye.
Huku JF wengi ID zetu ndio zinafanya tusijuane,mimi bila kuandikwa real name sikumjua kabisa kumbe ni mtu ambaye nilikuwa namfahamu kabisaHeeh huyu mbona namfahamu...amewahi kuwa mfanyakazi wa Shirika moja kubwa la sirikali la maw......
OOh, sorry mkuu!Huyo ni mtu mwingine
I seeHapana Mkuu. Tayari walishalitaja jina lake hapa JF kabla ya mimi. Mimi nikafanya jitihada za kufuatilia zaidi ili nimfahamu. Cha msingi sioni sababu ya kuficha jina la member kama ameshafariki kwa kuwa hakuna wa kuweza kumfuatilia tena kwa mambo yake hata kama alikuwa anti-christ anabaki kuwa hivyo tu.
KimefanyajeKisukari Kisukari
JamaniRIP Dena
Mkongwe wetu wa JF toka tunaiita Jambo chat