TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Mungu amlaze pema ndugu yetu.Bwana ametoa,Bwana ametwaa,jina la Bwana lihimidiwe Amina!
 
Daaaah.... Kazi ya Mungu haina makosa


Raha ya milele umpe eeh bwana
Na mwanga wa milele umuangazie
Apumzike kwa amani

Amina!
 
Pumzika kwa amani rafiki Dena amsi, nilibahatika kuonana na wewe tukaenjoy kwa muda mfupi tuliokutana. Nimehuzunika sana, Mungu aifariji familia yako
Samahani mkuu na pole sana, kama hutojali,huyo ktk avatar ndiyo picha yake halisi marehemu?
 
Pumzika kwa amani rafiki Dena amsi, nilibahatika kuonana na wewe tukaenjoy kwa muda mfupi tuliokutana. Nimehuzunika sana, Mungu aifariji familia yako
Mkaenjoy... hongereni.
 
Was last seen 18 Dec 2016 jamani. So sad indeed.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…