TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

TANZIA Mwana JamiiForums mkongwe, Dena Amsi afariki dunia

Na kama nimekusoma vizuri wewe si "Mswahili" mwenzetu.

Sikulaumu, tamaduni zinatofautiana, kwa siye "Waswahili" huwa tunajua legacy ya marehemu tunapoomboleza na kupiga soga hapa na pale. Hatuulizi "legacy" ya marehemu katikati ya waombolezaji, ni adabu mbaya.


Mimi sio Mswahili mwenzenu, mwenzenu wewe na nani? Jiongelee mwenyewe! Usibane wigo wa msiba kwamba ni wako wewe Mswahili tu!

Halafu wewe huwezi kutathmini ufasaha wa Kiswahili ninachoandika mimi na kunipa sifa, kwa sababu wewe mwenyewe chako kimepinda! Lakini hiyo si mada ya leo.

Unasema msibani watu hujua legacy ya marehemu kwa kupiga soga hapa na pale, kwa hiyo kumbe "legacy ya marehemu" kitu hicho kipo na hujulikana, hata misiba ya Kiswahili.

Sasa hapa kuna kurasa zaenda hamsini tumejaza marudio ya RIP Dena Amsi, Inna Lillahi wa Inna, Bwana amempenda zaidi kamuua, pole sana tunakukumbaka... tunakukumbuka kwa lipi? Hakuna anaejua!

Halafu kwenye misiba, iwe ya Kiswahili au ya Ki-Spanish, kuna mtu anasimama rasmi anamuongelea marehemu kirefu, na wengine husoma eulogy kujaribu kueleza legacy ya marehemu. Usinambie ni kukutana kupiga soga, kupiga mayowe ya vilio, kuzika, kurudi kula ubwabwa, kuondoka! Mswahili wa wapi wewe?

Dunia imebadilika siku hizi, huyu Dena ambae kurasa hamsini hakuna anaemkumbukia kwa lolote tusije kuwa mithili ya waombolezaji wa kukodishwa.

Nafikiri hata wewe ukifa regardless of any legacy utayoiacha tutakuandikia tu RIP upumzike kwa amani simply because ulikuwa MwanaJF mwenzetu


Hapana ahsante, mimi nikifa msijaze kurasa ndeeefu za R.I.P na kariri za Inna Lillahi wa Inna na Bwana ametoa Bwana ametwaa kwa kumpiga limkuki la mdomo kwenye bifu na wafugaji.... no, spare me with the superstitious horse dang please kama hakutakuwa na cha mno nilichokiachia legacy zaidi ya "alikuwa mwanajamii mwenzetu..."
 
Mungu amtendee haki!
Sijui kabisa Siri za Mungu, lakini Kwa mujibu wa maandiko ya Mungu, mtu akifa huhukumiwa papo hapo kulingana na matendo yake.
Neema ya kuiona pepo ipo duniani kabla hatujafa, Kwa maana ya kutengeneza matendo yetu yampendezeshe Mungu.
 
Mimi sio Mswahili mwenzenu, mwenzenu wewe na nani? Jiongelee mwenyewe! Usibane wigo wa msiba kwamba ni wako wewe Mswahili tu!

Halafu wewe huwezi kutathmini ufasaha wa Kiswahili ninachoandika mimi na kunipa sifa, kwa sababu wewe mwenyewe chako kimepinda! Lakini hiyo si mada ya leo.

Unasema msibani watu hujua legacy ya marehemu kwa kupiga soga hapa na pale, kwa hiyo kumbe "legacy ya marehemu" kitu hicho kipo na hujulikana, hata misiba ya Kiswahili.

Sasa hapa kuna kurasa zaenda hamsini tumejaza marudio ya RIP Dena Amsi, Inna Lillahi wa Inna, Bwana amempenda zaidi kamuua, pole sana tunakukumbaka... tunakukumbuka kwa lipi? Hakuna anaejua!

Halafu kwenye misiba, iwe ya Kiswahili au ya Ki-Spanish, kuna mtu anasimama rasmi anamuongelea marehemu kirefu, na wengine husoma eulogy kujaribu kueleza legacy ya marehemu. Usinambie ni kukutana kupiga soga, kupia mayowe ya vilio, kuzika, kurudi kula ubwabwa, kuondoka! Mswahili wa wapi wewe?

Dunia imebadilika siku hizi, huyu Dena Amsi ambae kurasa zaenda hamsini za pole na R.I.P. hakuna anaemkumbukia kwa lolote tusije kuwa mithili ya waombolezaji wa kukodishwa.



Hapana ahsante, mimi nikifa msijaze kurasa ndeeefu za R.I.P na kariri za Inna Lillahi wa Inna na Bwana ametoa Bwana ametwaa kwa kumpiga bisu la mdomo kwenye bifu na wafugaji.... no, spare me with the horse dang please kama hakutakuwa na cha mno nilichokiachia legacy zaidi ya "alikuwa mwanajamii mwenzetu..."
Nenda msibani utaikuta legacy huko.
Maneno mingi ya nini.
 
Mkuu kwanini ukereke kwa kitu ambacho hakikupunguzii chochote kwenye maisha yako ya kila siku!? Haya "makurasa mengi" hapa yanakupunguzia nini wewe!?

Acha hizo Mkuu kama huna la maana la kuandika kufuatia kifo cha huyu mwenzetu pita kimya kimya.

Niende msibani nitazikuta legacy, na nyinyi hizo pole si mkatoe msibani, makurasa mengi hapa ya nini?
 
Tindikali

Imenibidi nicheke tu..!!

Huu mjadala unaweza kwenda na kujirudia rudia yaleyale. Niliyoandika yamejitosheleza mumo kwa humo.
Wewe member wa JF kama Mimi na marehemu japo tuna tofauti ya "Uswahili" wetu. Kama hujatambua
legacy ya marehemu toka kurasa ya kwanza wakati nawe memba pia inawezekana msiba haukuhusu kama nilivyosema
awali.

Hakuna Mtu akafariki na hajaacha legacy. Kwa muktadha wa Dena Amsi ni wale waliomfahamu kupitia mabandiko na mijadala baina yao iwe mizuri au mibaya, ikiwa pia na wale waliokutana ana kwa ana japo mwanzo ni JF.

Utamaliza nguvu zako kutaka legacy unayoweza kuipata humuhumu kupitia mahusiano yake na members tena kupitia pen names na mtiririko wa kurasa kwenye uzi huu wa msiba wake, lah kama unataka kitabu cha legacy yake sina hakika kama kitaandikwa.
 
Hii ndio picha yake aliekuwa Member mwenzetu....
 

Attachments

  • 1482956980056.jpg
    1482956980056.jpg
    73.7 KB · Views: 60
nimeandika posti mbili ndefu nikianisha swali langu, kama hujanielewa sidhani kama kuna jinsi ya kuiweka vingine.



Legacy ningeiweka kwa muktadha wa nyinyi Waswahili ningeeleweka?

Kwa hiyo huu msiba wawahusu Waswahili tu? Nitaiwekaje legacy kwenye muktadha wa legacy za Kiswahili kama labda mimi sio Mswahili?

Waswahili kuhuzunika msibani ni jambo la kawaida na kama sijahuzunika msiba haunihusu. Kwa hiyo huu ni msiba wa Kiswahili mimi siwezi kuulewa, sio?

Msiba wa Kiswahili ni kwamba hauna mambo ya kueleza kuhusu legacy za marehemu, tunamkumbukia nini marehemu, ni tunalia weee, tunazika, tunakula ubwabwa, tunajaza ma pages ya R.I.P, tuna move forward!

Sawa ndugu, labda sintakaa nikaelewa misiba ya Kiswahili!
Unatafuta umaarufu kwa falsafa za kijinga sio?
 
Dah!
Inauma jamani!
Natamani nione picha enzi za uhai wake,nilianza kuona post na comment zake 2011 kama sikosei,nilikuwa msomaji tu kabla sijajiunga humu.
Mungu ampuzishe kwa amani
 
Back
Top Bottom