Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja nilete ushahidi wa picha teh...Wewe mbona hujuani na mimi [emoji15] [emoji15]
Mimi nakuweza vizuri sana, kila kona... [emoji12]Wewe kwani nakuweza basi! Sikuwezi hata tone ngoja niwe mpole tu[emoji14]
Mmmmhhhhhhhhh!!!!!!Kuwafanyia Maombi waliotutangulia ni Muhimu sana
Duh. Ndo naiona hii update sahivi..Msiba upo Bunju na wanatarajia kuzika leo. RIP Dena Amsi
Kuna wakati unaweza kudhani kwamba utamuona akitembea, utamuona akicheka na hata kukutania. Amezimika kama taa, Amezimika kama mshumaa katika ya upendo. SICHOK KUKWAMBIA NENDA UKALALE SALAMA, LAKINI UKIMUONA NEEMA MWAMBIE NAMSALIMIALeah Komba daah sijawahi kukujua ndani ya JF ila nimekujua nje ya JF toka 2008 kupitia kwa mdogo ako Stellah , nenda mama kapumzike ila umejua kuniliza dada yangu!!! Wakati mdogo ako stella ananitaarifu kuhusu kifo chako niliona kama ndoto!!! Juzi nakuona kwa mara ya mwisho kwenye jeneza kama umelala baadae utaamka, kumbe utohamka tena!!!....pumzika kwa amani dada angu tupo nyuma yako.
Ameshalazwa kwenye nyumba yake ya mileleMbona hakuna updates zozote?
Ndo nimejua leo..Ameshalazwa kwenye nyumba yake ya milele
Oh sawaNdo nimejua leo..