Mwana JF aliyepo hapa Samaki Samaki ya Mlimani City tupeane company mie nipo fresh mfukoni

Mwana JF aliyepo hapa Samaki Samaki ya Mlimani City tupeane company mie nipo fresh mfukoni

Tajiri huyo hana njaa ya papuchi. Anataka kushare blessings zake na watu😂😂
Lamda kama tajiri atakuwa hamisi, ila kama kitendea kazi kipo njema lazma kuna maswala fulani yataendelea baada ya kilaji.
 
Lamda kama tajiri atakuwa hamisi, ila kama kitendea kazi kipo njema lazma kuna maswala fulani yataendelea baada ya kilaji.
Aiseeee hauoni kaalika hadi mabaharia😂😂😂😂
 
Umeitwa wewe unakuja na mashosti zako wa nini? Na guest muingie wote na mashost zako mkapigwe mtu 3 ndani ya track moja 😎😎😎
😀😀😀 alitaka kukoleza shangwe.. si unajua panapo kuwa warembo mambo hayaendi vibaya hata wana huwa wastaarabu ili kuvitia warembo
 
😀😀😀 alitaka kukoleza shangwe.. si unajua panapo kuwa warembo mambo hayaendi vibaya hata wana huwa wastaarabu ili kuvitia warembo
Vipi mabaharia hawakutimba kweli, wazee wa Neutral by Kitonga?!
 
😀😀😀 alitaka kukoleza shangwe.. si unajua panapo kuwa warembo mambo hayaendi vibaya hata wana huwa wastaarabu ili kuvitia warembo
Hao ungewapiga mkwaju tu. Si wamekuja timu. Kuna ka ghorofa kako opposite na Samaki Samaki. Ungeji quarantine nao mpaka kukuche!
 
Hao ungewapiga mkwaju tu. Si wamekuja timu. Kuna ka ghorofa kako opposite na Samaki Samaki. Ungeji quarantine nao mpaka kukuche!
Ka Blue Bird. Eeh! Na nilichukua hapo room ili pawe karibu na sehemu ya bata
 
Tajiri huyo hana njaa ya papuchi. Anataka kushare blessings zake na watu😂😂
Siku ile ukweli sikuwa na njaa ya papuchi.. nilikuwa na njaaa ya kufurahi pamoja na marafiki wapya tu
 
Mzee wa Temboni tukutane pale this weekend, nlishawahi kukutana na Hornet na chapombe Hazard CFC sometimes last year hapo 5N
Baada ya wiki tatu, nitarudi tena nijoin na miamba hapo 5N inaonekana patamu, nisichopendea pale kila mtu ana uwezo wa ku manage.. kuna madogo wengine wanakaaga kule chooni wanavuta bangi na wadada, hata kama mtu una vitu vya thamani inakuwa shida
 
Back
Top Bottom