Mwana JF aliyepo hapa Samaki Samaki ya Mlimani City tupeane company mie nipo fresh mfukoni

Mwana JF aliyepo hapa Samaki Samaki ya Mlimani City tupeane company mie nipo fresh mfukoni

unanyege au??kipindi unajiunga JF wenzio tayari tuna miaka 7 kachambe ulalewe....nyie kuitana sijui bar wakati unajua group ananymous ili iweje mtukamate vizuri
Hahaha duh...
 
Una kila dalili ya mtu mwenye msongo wa mawazo, angalia usije jiua tu, ...

Ankula huu masikini na hasara juu......

Yu waapii eehhh yu waapiii eeehhhhh.....

Nimejikuta tuu naimba aahahahahahhaaaa.
 
Sawwwa sawwwaaa rafiki wa Emmy.

Huezi amini nilitaka nikutag eti mana najua ndio maeneo yako hayo. We si ndio E.. cal E...eer au nimechanganya madesa. 🤣🤣🤣
Rafiki libaki moyoni mwako.. 😀😀😀.. umeng'amua vyema hujakosea hata kiduchu
 
Back
Top Bottom