Fiziolojia
JF-Expert Member
- Oct 19, 2019
- 815
- 1,080
Inapendeza kuona wana jf wakiishi kama wanafamilia.Chukua mkuu, ukifika hapa tunaweka mambo sawa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapendeza kuona wana jf wakiishi kama wanafamilia.Chukua mkuu, ukifika hapa tunaweka mambo sawa.
Leo pamejaa sana na sasa hivi umetoka wa Diamond wanapiga ya Alikiba ule wimbo wa seduce 😁😁😁😁Hapa mezani niko na watu wa system wanne wananinywesha amarula (wananiagizia kata mti panda mti) wao wanakunywa Whithki
Mazungumzo yetu yanashusu kilimo cha matikiti maji na kilimo cha mbogamboga kwenye green house.
Umevaaje mkuu
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Hapa mezani niko na watu wa system wanne wananinywesha amarula (wananiagizia kata mti panda mti) wao wanakunywa Whithki
Mazungumzo yetu yanashusu kilimo cha matikiti maji na kilimo cha mbogamboga kwenye green house.
Leo pamejaa sana na sasa hivi umetoka wa Diamond wanapiga ya Alikiba ule wimbo wa seduce 😁😁😁😁
Tumeuona mkono wako bwana... [emoji443][emoji444][emoji445]
By zabron singers
Hii pini inapigwa hapa samaki now aisee!!
Mziki mnene CD mia 7Yaaaniiii ni songi baada ya songi.
Fiiireeeeeee.
Ngoja kidogo! Nahifadhi fomu za ku Go mbeyaVyovyote mkuu.. utavyo penda
Mwana Jf aliepo hapa samaki samaki ya mlimani city tupeana company mie nipo fresh mfukoni .
Hatariiii aahahahahhaaa
nikisoma muandiko nakufahamu, kuna sehemu tunakuwa pamoja nje na hapa jf, nimeunganisha code, umetoka shamba, grano coffee na tone ya uandishi, ningeona jana mapema ningekupitia hapoPoa mkuu. Nilikuja tu sikiliza mzika na kujichangamsha kidogo. Mda huu naondoka nikapumzike
Watu wa Jf waoga sana.. kila mtu waha hisi ni wa system tu... kumbe wengine wapo kwa ajiri ya burudani zao tu. Jana palinoga .. ila niliondoka majira ya saa sita na nusu hivi. Watu shamba tayari tupo njiani kurudi mashambani mwetu .. next time nita ku dmnikisoma muandiko nakufahamu, kuna sehemu tunakuwa pamoja nje na hapa jf, nimeunganisha code, umetoka shamba, grano coffee na tone ya uandishi, ningeona jana mapema ningekupitia hapo
Am not far from there ila duh nilisoma uzi mmoja humu jamaa ashamtambulisha huyo member kuwa akipotea ndugu zake wajue ni yeye...ila siyo weweMwana Jf aliepo hapa samaki samaki ya mlimani city tupeana company mie nipo fresh mfukoni .