Umeitwa wewe unakuja na mashosti zako wa nini? Na guest muingie wote na mashost zako mkapigwe mtu 3 ndani ya track moja πππNaruhusiwa kuja na shost zangu?
Au utakimbia utuachie bill?
Tajiri huyo hana njaa ya papuchi. Anataka kushare blessings zake na watuππUmeitwa wewe unakuja na mashosti zako wa nini? Na guest muingie wote na mashost zako mkapigwe mtu 3 ndani ya track moja πππ
Lamda kama tajiri atakuwa hamisi, ila kama kitendea kazi kipo njema lazma kuna maswala fulani yataendelea baada ya kilaji.Tajiri huyo hana njaa ya papuchi. Anataka kushare blessings zake na watuππ
Aiseeee hauoni kaalika hadi mabahariaππππLamda kama tajiri atakuwa hamisi, ila kama kitendea kazi kipo njema lazma kuna maswala fulani yataendelea baada ya kilaji.
Aiseeee hauoni kaalika hadi mabahariaππππ
Ningekuwepo ningekuja tuongee jinsi ya kupambana pamoja huko shambani.Sana yani.. mpunga nimeuza wa kutoshaaa... nazila hapa Dar pesa alafu narudi shambani tena
πππ alitaka kukoleza shangwe.. si unajua panapo kuwa warembo mambo hayaendi vibaya hata wana huwa wastaarabu ili kuvitia waremboUmeitwa wewe unakuja na mashosti zako wa nini? Na guest muingie wote na mashost zako mkapigwe mtu 3 ndani ya track moja πππ
Dah kwahio ulikuwa kama Don Licio LucchesiNa kulikuwa na warembo haswaaa πππ
Vipi mabaharia hawakutimba kweli, wazee wa Neutral by Kitonga?!πππ alitaka kukoleza shangwe.. si unajua panapo kuwa warembo mambo hayaendi vibaya hata wana huwa wastaarabu ili kuvitia warembo
Hao ungewapiga mkwaju tu. Si wamekuja timu. Kuna ka ghorofa kako opposite na Samaki Samaki. Ungeji quarantine nao mpaka kukuche!πππ alitaka kukoleza shangwe.. si unajua panapo kuwa warembo mambo hayaendi vibaya hata wana huwa wastaarabu ili kuvitia warembo
Mzee wa Temboni tukutane pale this weekend, nlishawahi kukutana na Hornet na chapombe Hazard CFC sometimes last year hapo 5NUchumi hauruhusu bia inaanzia buku 5 hapo nitapasikia kwenye bomba wakati 5N napiga kwa buku 3 mpaka 2.5
Baada ya wiki tatu, nitarudi tena nijoin na miamba hapo 5N inaonekana patamu, nisichopendea pale kila mtu ana uwezo wa ku manage.. kuna madogo wengine wanakaaga kule chooni wanavuta bangi na wadada, hata kama mtu una vitu vya thamani inakuwa shidaMzee wa Temboni tukutane pale this weekend, nlishawahi kukutana na Hornet na chapombe Hazard CFC sometimes last year hapo 5N