Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Masihara pembeni...[emoji102] [emoji102]

Ufipa FC naikubali;kwao hata goli halali...lazima refarii kaotea..[emoji58]
 
Dejavu kumbe huwa unayaonaee ndio maana tunayaita mapugi
Bila kusahau nakukubali vibayaa
 
Ahsante kaka!
 
Hahahahah kiranga bana
Hawa watu wengine tunawaita "kisirani kiso rehani". Yani kisirani hiki unaweza kukuta mtu anadaiwa anataka kufungwa, kakosa rehani, ukamtolea rehani, halafu akakugeuzia wewe kisirani kwa nini umemtolea rehani asifungwe!

Yani mtu kaanzisha thread very positive, taja watu unaowakubali. The main theme of the thread is a "feel good thread", we have more than our fair quota of negative threads.

Mapaka mbishi na critic ninayemkosoa mpaka Mungu nimemtaja mtu namkubali kwa kazi yake.

Halafu anakuja mtu anabadili somo, analeta habari za watu ambao anapunguza kuwakubali.

Kama vile kaulizwa ataje watu anaopunguza kuwakubali.

Mradi awe negative tu.

Huyu lazima atakuwa ana uteja wa negativity, yani akikaa bila kuwa negative anapata arosto inabidi atafute tu njia ya kuwa negative.
 
Umepatia kabisa kumuuliza ndio maana wengi hufeli mitihani
 
Taja hata initials za jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…