Mwana JF yupi unamkubali sana na kwanini unamkubali?

Duhhh....
Hii sasa roho mbaya kabisa.....
Hivi nyie wadada wa jf niliwakosea nini..!!??
Yaani hakuna hata anae nikubali...[emoji30][emoji30][emoji30]
 
Heaven Sent
[emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] [emoji120] . Mbarikiwe sana wapenzi
 
Waooooh asante hakika nimefurahi sanaa kifupi umekuwa mtu uliyenielewa haraka sanaa

Sina meng ya kusema umemaliza kila kitu samahan kwa kuchelewa kuona comment majukumu yalinibana.[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]Humble rafiki wa faida.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…