Amalize kwanza mshiko walio mpa ndipo ajue mwanamume anatakiwa kuwa na akiba ya maneno. Alituambia yeye ni star.. Wajumbe ni balaa,,, kura mbili jamani kwa mtoto wa mjini??Tamaa mbaya sana. Nini kilimtoa akipokuwa na alijua kuwa yupo kimasilahi.....
Anasema kila mtu ashinde kivyake hakuna kubebwa!kwani aliyemtuma kuhama anasema je wakuu
Imewapa za uso. Maan awana dhani wao star kuliko Chama..Yanayowatokea wale wote waliouza utu wao ni uthibitisho kwamba majority ya watu wanapenda zaidi VYAMA kuliko MTU. Ukihama Chama utajikuta upo peke yako huko na wale watu uliodhani ni die-hard fans wako, hawatakufuata wala kukuunga mkono.
Nadhani hii kitu hata Membe had to learn the hard way.
Habari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Habari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.
Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
Ya kweli haya?
Tamaa mbaya sana. Nini kilimtoa akipokuwa na alijua kuwa yupo kimasilahi.....
Malipo ni Hapa hapa duniani
Alishaambiwa atakuwa Lijualibaridi kama hamkuelewa subirini mtaona na mtaelewa!
Pale mjumbe anapovua lile shati la kijani na kutinga nguo za uraiani.
Pole sana Lijuakali!View attachment 1524598
Kwa kipindi kile ccm jimbo la kilombero lilikuwa la chadema tu,maana hata aliekuwa mbunge mteketa aliteuliwa tu lkn ilishinda chadema na alikuwa regia mtema kwa hiyo baada ya kuona mambo magumu ccm wakamtuma kingunge aje kuweka mambo sawa ndio akatangazwa mteketa huku regia mtema akipewa viti maalum,kwa bahati mbaya alifariki huyu dada kwa ajali ya gari na maziko yake kikwete alikuja ,wakati huo lijua likali bado anatunza dawa stoo pale ifakaraKina Lijualikali, Mtolea nk walishinda Ubunge kwa sababu ya kampeni za mafuriko. Lowasa aliwaomba wananchi wamchagulie wabunge. Hawa jamaa hawakushinda kwa sababu ya sera au kuwa popular. Hata wangebaki upinzani, this time wasingeshinda ng'oo. Bora wabaki CCM wanaweza wakakumbukwa kwenye teuzi nyingine.