Uchaguzi 2020 Mwana wa kulitafuta Lijualikali kalipata, baada ya kuangukia pua Ubunge ajaribu udiwani na kuambulia kura 5. Adaiwa kutamani kurudi CHADEMA

Uchaguzi 2020 Mwana wa kulitafuta Lijualikali kalipata, baada ya kuangukia pua Ubunge ajaribu udiwani na kuambulia kura 5. Adaiwa kutamani kurudi CHADEMA

Ni yule librarian?!!! 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Jamani sio dharau lkn mwanamme mzima unasomea degree ya library
Hata km namdharau sawa tu mbona yeye kadharau wananchi wa kilombero waliomuamini. Mimi ni nani nisimdharau mtu mwenye mazereu.
 
Yanayowatokea wale wote waliouza utu wao ni uthibitisho kwamba majority ya watu wanapenda zaidi VYAMA kuliko MTU. Ukihama Chama utajikuta upo peke yako huko na wale watu uliodhani ni die-hard fans wako, hawatakufuata wala kukuunga mkono.

Nadhani hii kitu hata Membe had to learn the hard way.
 
Aliyekuwa mbunge wa kilombero Peter Lijualikali aliyeunga mkono juhudi ameangukia Pua kura za Maoni CCM baada ya kupata kura 2 za Ubunge na kura 5 za udiwani .Apanga kumuangukia Mbowe kuomba msamaha na kurudi Chadema.Wajumbe wa CCM noma Sana wagombea walikuwa wakiwauliza tuko pamoja wanajibu tuko pamoja Kwenye kura sasa.
IMG_20200802_135940.jpg
 
Hebu tuwekeni sawa, mchakato huu ulichelewa kufanyika kwasababu zipi? Au upo ndani ya ratiba za CCM kwenye kura za maoni?
 
Yanayowatokea wale wote waliouza utu wao ni uthibitisho kwamba majority ya watu wanapenda zaidi VYAMA kuliko MTU. Ukihama Chama utajikuta upo peke yako huko na wale watu uliodhani ni die-hard fans wako, hawatakufuata wala kukuunga mkono.

Nadhani hii kitu hata Membe had to learn the hard way.
Imewapa za uso. Maan awana dhani wao star kuliko Chama..
 
Hayo ndiyo malipo stahili kwa wasaliti na hapo bado Lijualikali atajikuta yupo mpweke kabisa kwenye jamii
Habari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
 
Habari kutoka huko jimboni kilombero hali ya mtoto wa mjini Lijualikali ni tete kisiasa.

Baada ya kuunga mkono juhudi kuangukia mikononi mwa spana za wajumbe wa ccm na kuambulia kura 2 ameamua kujiongeza na kwenda kwenye kura za maoni udiwani akaambulia kura 5,Sasa anaomba kurudi
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Kina Lijualikali, Mtolea nk walishinda Ubunge kwa sababu ya kampeni za mafuriko. Lowasa aliwaomba wananchi wamchagulie wabunge. Hawa jamaa hawakushinda kwa sababu ya sera au kuwa popular. Hata wangebaki upinzani, this time wasingeshinda ng'oo. Bora wabaki CCM wanaweza wakakumbukwa kwenye teuzi nyingine.
Kwa kipindi kile ccm jimbo la kilombero lilikuwa la chadema tu,maana hata aliekuwa mbunge mteketa aliteuliwa tu lkn ilishinda chadema na alikuwa regia mtema kwa hiyo baada ya kuona mambo magumu ccm wakamtuma kingunge aje kuweka mambo sawa ndio akatangazwa mteketa huku regia mtema akipewa viti maalum,kwa bahati mbaya alifariki huyu dada kwa ajali ya gari na maziko yake kikwete alikuja ,wakati huo lijua likali bado anatunza dawa stoo pale ifakara

Sent from my itel S11 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom